Bashe hataki tujenge reli kwa fedha zetu!!

Bashe hataki tujenge reli kwa fedha zetu!!

Hahahhahahahhahahah mwenye tabia za KIKATILI hatuna hata uhusiano na for your infromation Mnyrwanda siyo Mbantu


Hauna Akili wewe, nani amekudanganya? Kwanza unaelewa hata Ubantu maana yake? Na kwa hiyo G.Ulimwengu siyo Mbantu? Wilfred Lwakatare siyo Mbantu? Nyerere hakuwa Mbantu?
 
Huyu jamaa ana-bugle preamble ya RA kupata re-entry kuona kama anaweza kurejea kupiga pesa tena. Mwaka 2008 RA alinunua hisa kwenye RVR (Kenya), mradi ambao kwa sasa umekwama. Hivyo RA anatafuta gear ya kurudi kupiga pesa tena.
 
Treborx : Tunataka nini hasa?;what's our stand? What is our heading focus?
Tunajichanganya sana!
Mkuu, nikikujibu kwa kifupi nchi yetu inahitaji sana Smart Investment. Na tunataka smart investment kwa sababu nchi yetu haina financial resources za kutosha kuwekeza katika mambo yote muhimu tunayoyataka. Wanaosema PPP wanaakisi ukweli huo. Badala ya serikali kutumia fedha za kodi kuwekeza katika miradi mikubwa kama reli au ununuzi wa ndege (tayari tumeshajua uwekezaji wa namna hiyo unaathiri sana bajeti ya nchi), basi sekta binafsi ishirikishwe kikamilifu katika uwekezaji huo. Very simple to understand, and also makes so much sense.
 
Anaweza akawa na hoja..ukifatilia tafiti mbalimbali, umaskini wa watanzania unazidi kuongezeka wakati uchumi unakuwa kwasababu sekta zinazokuwa ni zile zisizogusa maisha ya maskini moja kwa moja. Inawezekana kabisa watu wakasema uwekezaji huu ni mkakati wa kupunguza umaskini, well!! Hoja ya Bashe pengine ni kuwa tungeweza kuingia ubia through PPP halafu tukajielekeza kwenye maeneo mengine kama kilimo nk kwa kile kidogo ambacho tunacho. Anyway, this is my opinion, I could be wrong.
 
Bashe ataki kupitwa na kitu,iyo PPP si ndio kizazi cha IPTL,RICHMOND etc? Kwaiyo anataka kumrudisha boss wake ROSTAM?
 
Huyu jamaa ana-bugle preamble ya RA kupata re-entry kuona kama anaweza kurejea kupiga pesa tena. Mwaka 2008 RA alinunua hisa kwenye RVR (Kenya), mradi ambao kwa sasa umekwama. Hivyo RA anatafuta gear ya kurudi kupiga pesa tena.

hakuna mtu muongo kama wewe duniani..........kwa hali hii sijui kama maisha tutayatoa
 
Huu ni mchango wa Bashe mbunge wa nzega.

Hataki serikali itumie fedha za makusanyo kufanyia miradi na mfano alioutoa ni ujenzi wa Reli ya Kati ambayo imekuwa ni kiunganishi kikubwa kati ya mikoa ya mashariki na magharibi .
Badala yake anataka serikali itumie PPP.
Tukisema haya ni mawazo yako na si ya Bashe utakataa..?? WEKA CLIP
 
Mkuu, nikikujibu kwa kifupi nchi yetu inahitaji sana Smart Investment. Na tunataka smart investment kwa sababu nchi yetu haina financial resources za kutosha kuwekeza katika mambo yote muhimu tunayoyataka. Wanaosema PPP wanaakisi ukweli huo. Badala ya serikali kutumia fedha za kodi kuwekeza katika miradi mikubwa kama reli au ununuzi wa ndege (tayari tumeshajua uwekezaji wa namna hiyo unaathiri sana bajeti ya nchi), basi sekta binafsi ishirikishwe kikamilifu katika uwekezaji huo. Very simple to understand, and also makes so much sense.
Mkuu nakubali 100% hoja ya PPP.Inafanya kazi kwa watu CREDIBLE .Watu wenye hofu na mali ya umma watu wasio na tamaa.
Mradi Wa 10b utaambiwa 25b .
Nadhani hiyo hofu ndiyo bwana mkubwa anayo. Bahati mbaya sana wapigaji "anawajua"
 
Huyu jamaa ana-bugle preamble ya RA kupata re-entry kuona kama anaweza kurejea kupiga pesa tena. Mwaka 2008 RA alinunua hisa kwenye RVR (Kenya), mradi ambao kwa sasa umekwama. Hivyo RA anatafuta gear ya kurudi kupiga pesa tena.
Kweli kabisa anataka kumrudisha ili aje kutuibia tena
 
Ukweli wako ni upi?

huyo mnafiki angeeleza wapi kapata habari hizo kwa taarifa yenu nyie wambea rostam aziz ni zaidi ya mnavyomdhania.......... nawala hana shida ya kupiga hivyo vi deal mnavyodhani kwa hela alionayo anapiga deals kubwa zaidi. acheni umbeya fanyeni kazi
 
Nadhani hiyo imekuwa inafanyika sehemu nyingi. Ndio maana baadhi ya barabara hutoza ushuru.
 
Jamani hebu niambieni thread inasemaje maana mimi nilikua nje ndo mimengia ndani sa ivi
 
Back
Top Bottom