Bashe anusurika kutekwa

Hii ni ya kupikwa.......Hakuna ukweli hapa.....

Haina tofauti na Hekaya za Abunuwasi............

Ni muendelezo wa Bashe na New Habari Corp. kuendelea kutumika...............

Bashe na wenzako acheni kutumika na kupotosha/kujenga hofu kwa watanzania.....
 
Matunda ya Rwakatare.

Matunda ya EL, anyway Bashe ajaribu kujilinda mwenyewe asitegemee ulinzi kutoka kwenye taasisi ya serikali kwani ana maadui wengi tu ndani ya CCM pia nje kwenye Biashara za EL&Rostam kamwe hawatamwacha bila kuwa marked kama threat kwao, Hivi ile Bastola aliyomtishia Kigwangalla kule Nzega bado ipo Polisi?

Endapo kweli aligundua mapema kuwa anafuatwa basi yeye alitakiwa kuwaarifu jamaa wa karibu yake nao wachukue gari na kuwafuatilia hao jamaa kwa nyuma na wangeweza kujua namba za gari kwa urahisi kabisa kuliko juhudi alizotumia yeye binaafsi
 
Haka kamchezo ni katamu ila kna uchungu ndani yake! Hao New Habari corporation wamekuwa king makers. Mwaka 2005 magazeti ya Rai na Mtanzania and fellows ndio walimpamba sana kikwete chini ya Salva Rweyemamu ambaye kwa sasa anakula shavu ikulu na ndio mpaka sasa watanzana tunahangaikakutokana na kuingizwa chaka na haya magazet kuwa JK ni kiboko ya matatizo ya watanzania huku wakituaminisha kuwa wagombea wengine hamna kitu!. Sasa inawezekana kabisa wapinzan wenu ndani ya CCM wanaoutaka urais na ambao wanajua mbinu iliyotumika kuuingiza madarakani huu utawala uliopo wanataka kuzima hizo mbinu kabla hazijafanikiwa!
Poleni lakini kwa kuandamwa na kama mnasimamia haki basi hao wanaowawinda watashindwa!
 


Hii siyo style nyingine ya kutafuta umaarufu?
 
Nape aka Bukoba Boy punguza makali basi!imetosha!
 
Hapa katikati magazeti yenu hasa mtanzania yameandika sana habari za lwakatare na chadema na jana kuna thred ilirushwa hapa kwamba akina shonza wanatoa taarifa kwenu ili mzitoe kuumbua chadema unadhani mtapona?
 
Wakati mwakyembe akilalamika juu ya maisha yake alitaja mpaka watu na magari yaliyotaka kumteka hatukusikia polisi wakikamata au kufatilia magari hayo lakini bado matukio hayo yameendelea ila nataka hii story inaweza kuwa kweli au ya kupika muda sahihi wa kutoa taarifa ilikuwa pale wakati anafatiliwa sijui alikuwa anajiamini nini kuwa anaweza kufika kwake salama angeweza kutoa taarifa hata kwenye vyombo vya habari kwamba ninafatiliwa na wakati huo huo kuripoti polisi hii taarifa ina walakini lakini usalama wote huu shakani kutokana na kila mtu hasa mataifa yenye vita raia wake kuingia nchini
 
Bashe kapika SINEMA hii ili ku-draw attention ya watu.Kwanza amejuaje kama wanakuja kumteka?Je kama lengo ni kumpiga risasi na kuishia, wangempata vizuri aliposhuka hapo glossary.Ni ishara gani zilizoonyesha kwamba wanamfuata ili wamteke?

Nakubaliana na hoja yako.
Ingawa hali iliopo sasa hivi walio wengi wanatembea kwa tahadhari kutokana na matukio ya kutekwa kisha kungolewa meno, macho na kucha bila ganzi, lakini tukio la huyu Bashe haliingii akilini mwangu mtu ufuatwe kitambo kirefu hivyo wakati ana nafasi ya kuwasiliana na vyombo vya usalama wafuatilie nani anamfuata kwa nyuma, na pengine angeweza kuendelea na safari hadi kuishia kitu cha polisi badala ya kwenda moja kwa moja nyumbani kama alikuwa na hakika anafuatwa. Kuna kitu hakijakaa sawa hapa.
 
Membe akamatwe apewe masharti iwapo bashe lowassa dr slaa watadhurika atashitakiwa.
 
...nchi hii kama una meno, kucha, korodani, unapinga baadhi ya mambo...eti unalazimishwa kukaa kimya!!
Wao wanajua kuliko wote.
Kazi ipo.
 
Bashe pole sana aisee!

Bahati mbaya hao jamaa sio "kondoo" wapatikane kwa urahisi!
 
watamtambua yule brothermen,hamkujua mwanzoni kuwa urais ni mbio za kufa na kupona !
 

Kinachosumbua ni vita ya ma CCM! Kuiingiza CHADEMA!!
Yakigombana yenyewe poa tu si yana malizana nguvu...!!
 
Au ile Vita na Mzee wa
ndoto bado wanawindana na kulipana visasi?urais 2015 tutakimbiana hapa
nchini na kuuaana!

du membe mbona alisema akiuchukua urais watu watakimbia nchi mbona wameanza mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…