Butola
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 2,290
- 756
Hapa Bashe amenichekesha sana...
...Eti Bashe akawaondoa Waandishi wake ili wasisikie yale atakayoongea na Nape...
...Ghafla eti habari ya mazungumzo yale(ambayo Bashe aliwatimua waandishi wake) ikafika Mwanahalisi...
...Eti Mwanahalisi wakampigia Bashe kumuuliza ukweli wa habari hizo...
...Ikajengwa taswira ya Bashe kushangaa jinsi habari hizo zilivyofika Mwanahalisii?...??
...Mwanahalisi wakamwambia wamezipata kwenye "chumba chake cha habari"...??
...Ikajengwa taswira ya Bashe kushangaa sana...??
...Ikajengwa taswira tena ya Bashe kuwaomba sana wasizitoe hewani,kwani CCM ina matatizo mengi na wanapoelekea kama chama ni kugumu sana...??
...........................................................................
...Ukurasa unaofuata kuna habari nyingine ya Posho..ndani yake Shujaa Bashe tena, mmmh..??
...Eti Bashe akawaondoa Waandishi wake ili wasisikie yale atakayoongea na Nape...
...Ghafla eti habari ya mazungumzo yale(ambayo Bashe aliwatimua waandishi wake) ikafika Mwanahalisi...
...Eti Mwanahalisi wakampigia Bashe kumuuliza ukweli wa habari hizo...
...Ikajengwa taswira ya Bashe kushangaa jinsi habari hizo zilivyofika Mwanahalisii?...??
...Mwanahalisi wakamwambia wamezipata kwenye "chumba chake cha habari"...??
...Ikajengwa taswira ya Bashe kushangaa sana...??
...Ikajengwa taswira tena ya Bashe kuwaomba sana wasizitoe hewani,kwani CCM ina matatizo mengi na wanapoelekea kama chama ni kugumu sana...??
...........................................................................
...Ukurasa unaofuata kuna habari nyingine ya Posho..ndani yake Shujaa Bashe tena, mmmh..??