MBURE JASHA
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 200
- 46
Jf niwatu makini.umeanza kwa kukurupuka sana tafura habarikamili Kwanza ndipo u comment. naona unahamu sana yakuanzisha Chama, ccj imetokawapi hapo?
ukimtaka makonda ubaya waguse wafuatao, Nape Nauye,Samweli Sitta,Harson Mwakyambe, Enginia Stela Manyanya FredMpendazoe. Sasa nape ameguswa anawaka! Nape anafanya Dark Marketing Politics. Fumbua Macho kijana.