mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,525
- 1,177
EL yupo jamani au bado yuko ujerumani..sidhani kama anaweza kupitiwa na uhondo wa wkend hii
kwanini lakini haya malumbano ndani ya ccm??????????????
Kwasababu kale ka mkate wameshindwa kukala kwa pamoja, wengine wanakula zaidi maana muda wao unakwisha wakati wengine wanataka nao wale zaidi kwa sasa ili waweze kuwa na nguvu ya kusimama baadae kugombe nafasi mbalimbali. Sasa kinachotokea ni fitina tu . Unajua vita ya ndani ya nyumba ni nzuri maana wanauana wao kwa wao hata jirani hapati tabu. Hongereni CCM maana mnafungua milango ili wengine nao waingie.
Madaktari wameshathibitisha kwamba afya ya Lowassa ni njema kabisa. Muda huu yupo anapanga mikakati tu ya magogoni 2015.EL yupo jamani au bado yuko ujerumani..sidhani kama anaweza kupitiwa na uhondo wa wkend hii
nchi ya press conf,matamko,waraka,mkaripio,
We ngojea hao "malaigwanani" na wa "chinga" wakurupushane weeee halafu utasikia anaibuliwa mpemba mmoja yupo yupo from nowhere atuongoze.Tz ni kubwa haiwezekani kila siku chinga ndo atuongoze. Malaigwanani nanyi ni zamu yenu kukaa juu sio kila siku uPM tu. kwi! kwi! kwi!
Tz ni kubwa haiwezekani kila siku chinga ndo atuongoze. Malaigwanani nanyi ni zamu yenu kukaa juu sio kila siku uPM tu. kwi! kwi! kwi!
Hili ndio neno la straight mzee nilishawahi kulisema watu waliniambia thubutu ngoja utaona lazima mtawala atoke mwambaoni ni nyerere tuhakuna mwingine atakaa ashike nchi ahah a hha...nikamwambia safarii hii na wengine wameapa haiwezekani ndio legue hiui inaendelea bado mwandosya na Magufuli nao watakuja subiri
Ccm ilizaliwa,ikakuwa,imezeeka,na sasa inakufa....Hakuna cha kuinusuru ccm kwa sasa
Magamba yanaruka na kukanyagana .........
Huyu msomali bashe atuachie nchi yetu baba yake ametumalizia tembo wetu kibaraka mkubwa wa rostam na lowassa kundi lao ni genge la wezi.