Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 16,818
- 62,032
Huyo na Nchimbi si walikuwa timu Lowasa?
Yeye na Nchimbi si ni damudamu?
Basi uwepo wake kwenye baraza huenda kungeimarisha timu Nchimbi.
Commonsense ni kuwa wapinzani wa Nchimbi hawawezi kumuimarisha kwa kumuwekea watu wake ndani ya baraza
Yeye na Nchimbi si ni damudamu?
Basi uwepo wake kwenye baraza huenda kungeimarisha timu Nchimbi.
Commonsense ni kuwa wapinzani wa Nchimbi hawawezi kumuimarisha kwa kumuwekea watu wake ndani ya baraza