Lakasa chika7
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 511
- 1,336
Bashe ni kijana wa rostam, nchimbi..mkakati unapikwa suala la muda tu.Kama kuna mtu anajua nini huyu jamaa alokosea atutonye maana alikuwa waziri mbunifu na mwenye uwezo wa hali ya juu wa kujieleza