Based ON True story


Uchawi ungekua unatumika km ambavyo wee unataka, hapa Duniani pasingekalika? Mtu hawezi kutoka take avamie mtu asiyehusika kisa tu ana uwezo was kumuumiza? Na uchawi anao? Ukitaka kujua hilo wee mchokoze afu uone.
 
Uchawi ungekua unatumika km ambavyo wee unataka, hapa Duniani pasingekalika? Mtu hawezi kutoka take avamie mtu asiyehusika kisa tu ana uwezo was kumuumiza? Na uchawi anao? Ukitaka kujua hilo wee mchokoze afu uone.
Haya uchawi unatumikaje?? Na umejuaje unatumikaje??

Mnatuambia mtu anaweza akaenda kuiba sehemu bila kushtukiwa kwa uchawi, tukisema kwanini asitumie chumaulete akaibe benki? Unaambiwa uchawi hautumiki hivyo.

Uchawi hakuna, hofu zenu tu na kulishana matango pori. Ungekuwa unafanya kazi kweli kusingekalika
 
Hii chai ya Nazi ni tamu sana 😋
 
cocastic wewe hujafanikiwa kununua ili tuone namna unavobadilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…