Kwahiyo baada ya kumuua huyo Bibi,ulilipwa kwa kumuua Bibi au kwa Kuua Mbwa?ilibidi nistop deal yule bibi alizikwa nyumbani kwako
Wandewa wamalawi tumechokozwa, kubanangwa, na kubagazwa kabla na baada ya tarehe 29.
Wee tulogee tu wale wauwaji. Kila Aiyeuwa wenzie kama anauwa pants au mnyama pori.
Emmanuel Nchimbi anatokea karibu na kijiji chenu. ?
Toka hapa wacha urongo wako wewe.
Duuh,
Kama ni kweli mna mkakati gani dhidi ya watekaji, wafiraji, wauaji..?
Nikikuuliza kwanini tusimshawishi huyo Mzee akaenda bungeni akapiga wabunge wote, Kisha aende ikulu, nk. Utasema uchawi hautumiki hivyo.
Nyie ndiyo mnahadithia watu kwamba mtu Fulani kapata pesa kwa njia za kichawi, lakini papo hapo utahadithia uchawi siyo kwa ajili ya kunufaika kiuchumi.
Haya uchawi unatumikaje?? Na umejuaje unatumikaje??Uchawi ungekua unatumika km ambavyo wee unataka, hapa Duniani pasingekalika? Mtu hawezi kutoka take avamie mtu asiyehusika kisa tu ana uwezo was kumuumiza? Na uchawi anao? Ukitaka kujua hilo wee mchokoze afu uone.
Muda sio rafikiMambo ni mengi sana.
Hii chai ya Nazi ni tamu sana 😋Nimekumbuka Polisi walikuja kijijini kwetu, tena walikua wamekuja kufanya msako was wawindaji holela, coz kijijini kwetu kupo karibu na msitu mnene, ila sio hifadhi.
Basi walivyofika wakafikia kwa mtendaji was kijiji, wakapokelewa, walivyomaliza mazungumzo yao, wakaambiwa kuna vijana fulani hao ndio hodari was kuwinda wanyama pori bila kibali wala ruhusa,
Sasa walivyofika kwa kijana m1 hawaku mkuta muhusika, ila walimkuta mzazi wake, yaan baba ake, katika kuhoji baba anagoma kutoa ushirikiano, si wakaanza kumpiga yule baba, acha wambaluzee, wanashangaa anageuka cobra, asiwaumize nini, polisi wawili walifia hospital ya mkoa, kwa kuchelewa matibabu, toka palee, heshima na adabu.
Waajiriwa was serikali wakija kijijini kwetu wanaishi kwa tahadhari..kwetu uchawi unanunuliwa tena kwa grade, ni bei yako tu.
Uwongo gani huu unaleta. Yaelekea hata kwenye ndoa utakuwa unamdanganya mkeo kutwa.Budaa,
What's wrong?
cocastic wewe hujafanikiwa kununua ili tuone namna unavobadilikaNimekumbuka Polisi walikuja kijijini kwetu, tena walikua wamekuja kufanya msako was wawindaji holela, coz kijijini kwetu kupo karibu na msitu mnene, ila sio hifadhi.
Basi walivyofika wakafikia kwa mtendaji was kijiji, wakapokelewa, walivyomaliza mazungumzo yao, wakaambiwa kuna vijana fulani hao ndio hodari was kuwinda wanyama pori bila kibali wala ruhusa,
Sasa walivyofika kwa kijana m1 hawaku mkuta muhusika, ila walimkuta mzazi wake, yaan baba ake, katika kuhoji baba anagoma kutoa ushirikiano, si wakaanza kumpiga yule baba, acha wambaluzee, wanashangaa anageuka cobra, asiwaumize nini, polisi wawili walifia hospital ya mkoa, kwa kuchelewa matibabu, toka palee, heshima na adabu.
Waajiriwa was serikali wakija kijijini kwetu wanaishi kwa tahadhari..kwetu uchawi unanunuliwa tena kwa grade, ni bei yako tu.