BASATA wapo wapi? Wasanii wa muziki siku hizi wanaimba matusi waziwazi, tena bila uoga

Ata Ambwene Mwasongwe mkuu? Huyu ndo binafsi yangu nyimbo zake nazikubali sanaaaaaa, anaanzaga kama kastori fuln mwisho anafanya connection na masuala ya Sir God. Hakika namwelewa na nyimbo zake zina mafundisho mengi sana. But hao wengineeeeeee, sijui labda Joel Lwanga nae anafuata uimbaji wa Ambwene ila yy anaingizia biashara sanaaaa
TULIPOTOKA NI MBALI inanibariki sana
 
Usinibanie naona utamu sijui nini nini maaana taamu .. Lulu diva yaaan daah
"Sifikirii kutumia kinga hata waseme una virus, sikupakii mkongo...." Bilnass huyo anamwambia nandi DO-ME

Wenye teenagers tujue tuu watoto wetu wanawapenda hawa watu. Tusichoke kuwakumbusha kwamba hayo mambo sio
 
Ata Ambwene Mwasongwe mkuu? Huyu ndo binafsi yangu nyimbo zake nazikubali sanaaaaaa, anaanzaga kama kastori fuln mwisho anafanya connection na masuala ya Sir God. Hakika namwelewa na nyimbo zake zina mafundisho mengi sana. But hao wengineeeeeee, sijui labda Joel Lwanga nae anafuata uimbaji wa Ambwene ila yy anaingizia biashara sanaaaa
Kabisaaaaaaaaa mm nikiskilizaga nyimbo za Ambwene kidogo zinanitia moyo maana ya dunia Ni mengi.
 
Tukimbizane nini Salome wangu/
Hiyo michezo ya jogoo/

Mbona watima chini Salome wangu/
Ukimuona jongoo/

Inamana kidogo shika magoti/
Mi nimesimama Kama ngongoti/

Mtoto JoJo sio roboti/
Chumbani bingiri bingiri samasoti/



Utamu kolea, aporokoto/
Tingali tingali ndani kwa moto/

Nitamnyongea msokoto/
Niteme sumu kali Kama koboko/


Hawa vijana hawa
 
Usije bebi ukanicharanga/
Ukakichambua moyo ukakaranga/

Mie bebi kwenye msambwanda/
Huwa siendagi ngenge Ni nganga/
 
Ana bonge la shiii ikipigwa hii upo na mother au ding unaondoka kwa aibu au kupokea simu ya uongo bila kutaka aibu kinyama
 
Kwa beat za nyimbo unasahu kilichoimbwa. Sitashangaa kumuona mwanabasata akiruka majoka na kuserebuka kwa utam wa nyimbo zile
 
Tukimbizane nini Salome wangu/
Hiyo michezo ya jogoo/

Mbona watima chini Salome wangu/
Ukimuona jongoo/

Inamana kidogo shika magoti/
Mi nimesimama Kama ngongoti/

Mtoto JoJo sio roboti/
Chumbani bingiri bingiri samasoti/



Utamu kolea, aporokoto/
Tingali tingali ndani kwa moto/

Nitamnyongea msokoto/
Niteme sumu kali Kama koboko/


Hawa vijana hawa
I see.
 
Kuna juzi nilienda kwenye part mtoto kapata daraja la kwanza kwa ufaulu. Kufika pale tukala ngoma zetu za zamani akina Franco akina Gurumo na Bitchuka yaani kuanzia NUTA JUWATA MLIMANI PARK NA OSS ya akina kikumbi Mwanza Mpango. Maquiz na Simba Wanyika mara paap tukasikia mama wa mtoto aliyefaulu akasema sasa umefika muda wa kuwapa fursa watoto wafurahi na muziki wao zilianza kuporomoshwa ngoma za Nassib Nyange na wenzake full matusi.
 
diamond gwiji wa kuimba matusi, cha ajabu RAIS anayejinasibu kwa kumtegemea Mungu...anasema diamond ni mwanaume kwa kuimba nyimbo hizo. Hizohizo nyimbo ukiwapigia wanafunzi shuleni wanafurahia sana na wanazikalili hadi wanaimba kwa kupayuka payuka nao... Nchi ya wazinzi hii, imejificha kwa kinvuri CHA KUMPENDA MUNGU
 
Mtu makini siku zote husikiliza Gospel au kaswida, au bolingo za congo ila hizi za kidunia wachie wenyewe na wafanya biashara ndo ajira zao,

Unakaa na mtoto unasikiliza bongo fleva dah hamna channel ya katuni?
Nipo namsikiliza Nyboma
 
diamond gwiji wa kuimba matusi, cha ajabu RAIS anayejinasibu kwa kumtegemea Mungu...anasema diamond ni mwanaume kwa kuimba nyimbo hizo. Hizohizo nyimbo ukiwapigia wanafunzi shuleni wanafurahia sana na wanazikalili hadi wanaimba kwa kupayuka payuka nao... Nchi ya wazinzi hii, imejificha kwa kinvuri CHA KUMPENDA MUNGU
Kama Ile gere ni matusi makubwa sana kaimba huyu Nyange na Tanasha. Yani aibu tupu ukipigiwa mbele ya watu wazima na watoto
 
Kuna juzi nilienda kwenye part mtoto kapata daraja la kwanza kwa ufaulu. Kufika pale tukala ngoma zetu za zamani akina Franco akina Gurumo na Bitchuka yaani kuanzia NUTA JUWATA MLIMANI PARK NA OSS ya akina kikumbi Mwanza Mpango. Maquiz na Simba Wanyika mara paap tukasikia mama wa mtoto aliyefaulu akasema sasa umefika muda wa kuwapa fursa watoto wafurahi na muziki wao zilianza kuporomoshwa ngoma za Nassib Nyange na wenzake full matusi.
 
Nadhani tukiilaumu basata huku asilimia 90% ya raia bado tunasapoti huo muziki basi tatizo linabakia kuwa ni sisi raia ndio hatupo sawa.

Kimsingi kama Raia wakisema ni marufuku kusikiliza mziki huo mziki ndani ya majumba na kuboycott mziki usio na maadili mazuri hapo utaona kama nyimbo itakayofuatia itakuwa na upuuzi mwingine.....
BADo tatizo ni mamlaka husika mfano, mimi kwangu siwezi kuruhusu mtoto aangalie hizo nyimbo za upuuzi puuzi ila atasikia kwa jirani ama mtaani anapopita bado inakuwa sijaondoa tatizo.
 
Back
Top Bottom