BASATA wapo wapi? Wasanii wa muziki siku hizi wanaimba matusi waziwazi, tena bila uoga

Ifike mahali kama taifa tuone hii hatari iliyopo mbele yetu, wasanii wa muziki siku hizi wanaimba matusi waziwazi tena bila uoga.

Hakuna aliye msafi kabisa wote wanaimba matusi tu yaani hata kusikiliza mbele ya watoto inakua ni aibu.

Je, ina maana BASATA hawaoni mambo haya? Wengine wameona kuimba haitoshi wameamua kuvua nguo kabisa na kupanda stejini kutumbuiza.

Tunaelekea wapi jamani?

Inakera sana nyimbo nyingi ni matusi tupu.

-Mayai mawili ni MBUPU - Joh Makini
-Unavyoroll unagusa golori - Sanga
-Miguu uweke kwenye mabega - ANON
-Mademu wanapenda mlenda ila hawataki vibamia - Onetime for the mazafaka
-Mbuzi kagoma,Chuma mboga - ANON
-
 
Sawa matusi hayatakiwii ila msiangalie ubaya wake tu mbona kuna faida pia mfano lile songi la mpelekee moto linafundisha vizuri tu maana kuna mademu wanakula nauli na kuhudumiwa halafu hawatoi mizigo. Sasa watu hao wakipelekewa moto shida iko wapi?
 
Ifike mahali kama taifa tuone hii hatari iliyopo mbele yetu, wasanii wa muziki siku hizi wanaimba matusi waziwazi tena bila uoga.

Hakuna aliye msafi kabisa wote wanaimba matusi tu yaani hata kusikiliza mbele ya watoto inakua ni aibu.

Je, ina maana BASATA hawaoni mambo haya? Wengine wameona kuimba haitoshi wameamua kuvua nguo kabisa na kupanda stejini kutumbuiza.

Tunaelekea wapi jamani?
Wako na frustrations za kutolipwa na ccm baada ya kuwarumia kwenye kaampenii zai. EFM wanaerewa vizuri
 
majukumu ya BASATA wangepewa TCRA...kwa muda wanyoshe hawa wasanii uchwara.... hawa jamaa wakipewa wasanii wengi watakimbilia kuimba kwaya. hawa ndio wanajua kulinda maadili ya mtanzania. wanakupa 24hrs ya kuomba radhi jamii ole wako ukatae uone.
 
Watunga sera wenyewe ndio wanapenda hizo nyimbo. Kampeni yao mwaka 2020 wamezunguka na waimba matusi.

Mimi ukweli naomba niwe mjinga tu ila sina nafasi ya kusikiliza hawa wajinga mwanzo mwisho wanaimba matusi tu.

Ukweli kama jamaa kisanaa ya muziki tupo shimoni. Huyu mtoto wa Nyange ndio kinara wa kuimba matusi.
unanmtaka kwio
 
Ifike mahali kama taifa tuone hii hatari iliyopo mbele yetu, wasanii wa muziki siku hizi wanaimba matusi waziwazi tena bila uoga.

Hakuna aliye msafi kabisa wote wanaimba matusi tu yaani hata kusikiliza mbele ya watoto inakua ni aibu.

Je, ina maana BASATA hawaoni mambo haya? Wengine wameona kuimba haitoshi wameamua kuvua nguo kabisa na kupanda stejini kutumbuiza.

Tunaelekea wapi jamani?
Kuinama nasikia pwaa pwaaaaaaaaa
Pwaaa pwaaaa pwaaaaaaaaa

Eti mimi sjiawaaaaahi

Kuingiza imezama yote pwaaaaaaaa
 
Mtu makini siku zote husikiliza Gospel au kaswida, au bolingo za congo ila hizi za kidunia wachie wenyewe na wafanya biashara ndo ajira zao,

Unakaa na mtoto unasikiliza bongo fleva dah hamna channel ya katuni?
Kwahiyo bolingo za Congo sio za kidunia?

Soma lyrics


Eti nimemlambisha
Ananiambia chombeza
Tena nikiizidisha
Ananiamba Koleza

Nikitaka kusitisha
Aniamambia Ongeza
Japo imethibitishwa
Ila itampoteza

Ikipanda ni balaa
Ikishuka ndio Hatari
Asijepata madhara
Akaitwa sanaani

Radha yake msalaha
Shira ya kizanzibari
Nami simpi miwala
Akitaka nampa


Sukari (Nampatia)
Sugar Sukari (Nampatia)
Sukari (Nampatia)
Sugar Sukari (Nampatia)

Na akilia njaa
Junjaa Sifanyi hajizi
Namjazia Jaa Juja na zitangawizi

Baba chanja Baba Chanja (Eeee)
Chukua vyote Chukua (Kulaa)
Vitafune ganja ganja (Eeee)
Chakua mwaya Chakua (Kulaa)
Ujibusti na karanga (Eeee)
Tuliza na kitumbua (Kulaa)
Jiadhali na majanga Wee
Usije ukaugua

Ikipanda ni balaa
Ikishuka ndio Hatari
Asijepata madhara
Akaitwa sanaani

Radha yake msalaha
Shira ya kizanzibari
Nami simpi miwala
Akitaka nampa

Sukari (Nampatia)
Sugar Sukari (Nampatia)
Sukari (Nampatia)
Sugar Sukari (Nampatia)

Nimroge kwa nini kashanugewa
Utamu wa sukarini Tamu kolea

Da dambua Wee dambua
Alua alua dambua
Da dambua Wee dambua
Inama kama unafua
Kigulu nyanyua
 
Kwahiyo bolingo za Congo sio za kidunia?

Soma lyrics


Eti nimemlambisha
Ananiambia chombeza
Tena nikiizidisha
Ananiamba Koleza

Nikitaka kusitisha
Aniamambia Ongeza
Japo imethibitishwa
Ila itampoteza

Ikipanda ni balaa
Ikishuka ndio Hatari
Asijepata madhara
Akaitwa sanaani

Radha yake msalaha
Shira ya kizanzibari
Nami simpi miwala
Akitaka nampa


Sukari (Nampatia)
Sugar Sukari (Nampatia)
Sukari (Nampatia)
Sugar Sukari (Nampatia)

Na akilia njaa
Junjaa Sifanyi hajizi
Namjazia Jaa Juja na zitangawizi

Baba chanja Baba Chanja (Eeee)
Chukua vyote Chukua (Kulaa)
Vitafune ganja ganja (Eeee)
Chakua mwaya Chakua (Kulaa)
Ujibusti na karanga (Eeee)
Tuliza na kitumbua (Kulaa)
Jiadhali na majanga Wee
Usije ukaugua

Ikipanda ni balaa
Ikishuka ndio Hatari
Asijepata madhara
Akaitwa sanaani

Radha yake msalaha
Shira ya kizanzibari
Nami simpi miwala
Akitaka nampa

Sukari (Nampatia)
Sugar Sukari (Nampatia)
Sukari (Nampatia)
Sugar Sukari (Nampatia)

Nimroge kwa nini kashanugewa
Utamu wa sukarini Tamu kolea

Da dambua Wee dambua
Alua alua dambua
Da dambua Wee dambua
Inama kama unafua
Kigulu nyanyua
Duh

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom