Barua: Zitto akataa posho za vikao

Barua: Zitto akataa posho za vikao

Kuna wakati Mh Zitto na wenzake walikuwa wanapokea posho mbilimbili. Hakupiga kelele wakati ule. Ametajirika sasa? Wenzake walioingia Bungeni mwaka huu kwa gharama kubwa sana wanamwelewa?

nenda kajisaidie kwanza, ukimaliza ndo uanze kuandika!!
 
kuna tofauti gani kati ya "mikutano ya bunge" na "vikao vya bunge", kama anavyosema Zitto, Mwenye kuelewa tafadhali anieleweshe.
 
kwani mahudhurio yanapimwa kwa uwepo wako bungeni au kusaini vitabu vya mahudhurio?

upuuzi sana huu... siasa za tanzania ukizipa kipaumbele unaweza kufa kabla ya umri wako...
 
Akichangia katika kikao cha Bunge leo tarehe 14 . 06. 11, Mbunge wa Bumbuli ndg January Makamba amenukuu mpango wa maendeleo wa taifa kwamba serikali imepanga kuondoa posho mbalimbali zikiwemo travelling allowances na sitting allowances.

Je kwa kauli hii, waheshimiwa watakuwa tayari kuunga mkono hoja ya Zitto ya kuondoa posho zao?

Wana JF kuna mtu ameusoma vizuri mpango huo atupashe?
 
Kwa style hii watarudi wakina malechelea wenye wito na kazi zao ..vijana wote wale wamefwata pes andugu wakitoa awaamuoni mtu watajaa wazee tu mule ndani
 
Akichangia katika kikao cha bunge leo tarehe 14 . 06. 11 mbunge wa bumbuli ndg january makamba amenukuu mpango wa maendeleo wa taifa kwamba serikali imepanga kuondoa posho mbalimbali zikiwemo travelling allowances na sitting allowances. Je kwa kauli hii, waheshimiwa watakuwa tayari kuunga mkono hoja ya zitto ya kuondoa posho zao? Wana jf kuna mtu ameusoma vizuri mpango huo atupashe?

Changa la macho, mimi nawaamini CDN na NCCR. Tutaandamana shauriyenu.
 
Hili swala la kitoto sana. Hivi ikitokea kikao ambacho yeye Zitto ndiyo mwenyekiti na imeandikwa katika ripoti na mwisho Zitto hakuweka sahihi kwenye kitabu cha waliohudhuria kwenye kikao, utasemaje kuwa Zitto hakuhudhuria kikao?

Ikiwa bungeni Zitto atafika na kuuliza maswali na mwisho wanaweza ripoti kuwa Zitto, siku fulani saa hii aliuliza hili swali bungeni na mwisho wa siku haweki sahihi ya mahudhurio, bado watalazimisha kusema kuwa Zitto hakufika kwenye kikao?

Mbona hili jambo la kitoto sana sana? Au ndiyo wanataka tena kumpa Zitto umaarufu?

Naona kuna haja hili swala liwe la Chadema wote na tuone wanavyowafukuza Chadema nzima, NCCR na baadhi ya CUF maana Hamad atakuwa mbongo kuhoma kuchukua hela huku mamaa wawili wanasubiri ulaji.
 
kumbe waheshimiwa wanapiga signatory kwenye counterbook!! sijui ni la 4quire.
 
Itakuwa jambo la maana sana kwa kuwa bajeti imejaa posho tu. Nadhani wale walioingia bungeni kwa minajiri ya kupata posho wataipinga hiyo kwa nguvu zote!
 
Posho ni sehemu ndogo sana ya pato la mbunge,fanyeni analysis ya mapato ya mbunge mtagundua kuwa its a very minute part! 70k per kikao...kuna salary,hela za mafuta,n.k whch is not posho! Hata hvyo wabunge wengi walozikataa wamezielekeza kwenye mifuko ya mandeleo jimboni kwao which they would do anyway! Its a political game!
 
Serikali haiwezi kuthubutu kabisa kuiondoa posho hii. Wabunge wana kamati/tume yao ya utumishi ambayo ndiyo inayoamua walipweje. Wanasiasa wataendelea kuitafuna Nchi hiimpaka basi.
 
Wana JF pamoja na kilio cha ZITTO na CDM juu ya haja ya kufuta kabisa posho za vikao za wabunge ninapendekeza pia kwamba posho zinazotolewa kwa madiwani na watendaji wa serikali wanohudhuria vikao vya kamati mbali mbali za madiwani katika halmashauri na manispaa zetu ZIFUTWE. Msingi wake ni ule ule kwamba madiwani na watendaji wa serikkali wa daraja mbali mbali wanapata mshahara kila mwezi na vikao ni sehemu ya kazi zao.

Inawezekana wapo wanao sema ziendelee lakini je kwa msingi upi? Ninaona faida mbili kuu kwa kufutwa posho hizo (na za wabunge): Ya kwanza ni kurudisha fungu la posho katika miradi ya maendeleo; n apia kwa madiwani nahisi watakuwa wanapitisha maamuzi kwa haraka na ktk muda muafaka - kwa sasa wanaahirisha vikao mara kwa mara kwa lengo la kuzidi kujipatia posho za vikao.
 
Wana JF pamoja na kilio cha ZITTO na CDM juu ya haja ya kufuta kabisa posho za vikao za wabunge ninapendekeza pia kwamba posho zinazotolewa kwa madiwani na watendaji wa serikali wanohudhuria vikao vya kamati mbali mbali za madiwani katika halmashauri na manispaa zetu ZIFUTWE. Msingi wake ni ule ule kwamba madiwani na watendaji wa serikkali wa daraja mbali mbali wanapata mshahara kila mwezi na vikao ni sehemu ya kazi zao. Inawezekana wapo wanao sema ziendelee lakini je kwa msingi upi? Ninaona faida mbili kuu kwa kufutwa posho hizo (na za wabunge): Ya kwanza ni kurudisha fungu la posho katika miradi ya maendeleo; n apia kwa madiwani nahisi watakuwa wanapitisha maamuzi kwa haraka na ktk muda muafaka - kwa sasa wanaahirisha vikao mara kwa mara kwa lengo la kuzidi kujipatia posho za vikao.
 
Kama yeye ni mzalendo agome kuichukua hiyo posho kuanzia sasa, la sivyo ni msanii tu. Anarudia yale yale ya jana ya Mh Nzowa kutaka kuonyesha eti zito anataka tu umaarufu.
 
Je, waandika HANSARD wataripoti vipi michango atakayotoa Zito bungeni bila kusaini kwenye kitabu cha mahudhurio?
 
Akichangia mpango wa maendeleo wa taifa, mbunge wa bumbuli mhe january makamba amenukuu mpango huo kuwa serikali imepanga kuondoa posho mbalimbali ikiwemo sitting allowance ya waheshimiwa. Kwa kauli hii, je waheshimiwa wote watakubaliana na hoja ya zitto kabwe kuondoa posho zao. Wana jf kuna mtu kausoma kwa kina mpango huo atujuze?
 
That is an empty promise! Mpango wa maendeleo wa miaka 5 unasema kwamba serikali itaondoa Sitting allowance na travelling allowance. Mpango huo utekelezaji wake unaanza 2011/2012 - 2015/2016.

Sasa kama hilo sio changa la macho, kwanza kwanini serikali imetenga POSHO hizo katika budget ya 2011/2012?

Kama serikali inakusudia kuziondoa hizo posho mbona Mustafa Mkulo, Anne Mapinda, na wabunge wa CCM wanampinga ZItto Kabwe?

Mimi ninashauri ADO waandike PETITION LETTER waisambaze katika mitandao yote ya watanzania ili tuweze kui-sign kupinga ulipwaji wa SITTING ALLOWANCE kwa watumishi wote wa serikali na wabunge pia. Ninajua wale wa magamba hawata-sign hiyo petition letter after all wako 2M TU.

Halafu bado kuna wajinga wanasema SITTING ALLOWANCE ni pesa kidogo? Yaani kuokoa TSH 900 Bilion kwa mwaka kwa nchi masikini kama Tanzania ambayo half of its citizen wanaishi chini ya dola moja kwa siku wewe unasema 900 bilion is a peanut? Ushauri wa bure nenda ukamuona Babu!
 
Back
Top Bottom