punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 451
Mimi ningependa Wapinzani wa hii posho wote wagome kusaini, ili wafukuzwe halafu huu mziki uchezwe nje ya bunge... ccm kweli hamnazo!
Mkuu, haya maneno sio yangu kwenye hii thread nimeweka Source gazeti la mwananchi la 9 Jul 2011, au uzipendi sababu zinaigusa CDM?hahahaha....ritz kafanye kazi acha majungu.........huna uhakika na unachokisema....
Mkuu, tatizo ni unafika wa CDM wanachokisema sicho wanachokifanya, kama kweli wana dhamira ya kweli kwa nini mpaka sasa hivi wanaendelea kuchukuwa posho?Awali ya yote nadhani msimamo wa kila mtanzania mwenye mapenzi mema anatambua swala la kuondolewa kwa posho zisizo za lazima ni kwa faida ya wananchi wenyewe na wala si swala la ushindani kati ya chadema na ccm. Tunapochambua mada hii mtazamo wetu ni kama wananchi na si vyama vya siasa. Nadhani watu wengi mnashindwa kuelewa concept ya Chadema kuhusu Posho. Pengine mtu kama Rtz1 unaelewa, ila kwa sababu uko kazini kutimiza yale uliyotumwa na bosi wako basi utajifanya huelewi.Lakini ngoja nitumie hii nafasi kukumbusha kwa kifupi ili wewe na watu wengine wenye kichwa kama chako pia waelewe concept ya chadema kuhusu posho.Chadema wanataka mfumo mzima wa ulipaji posho zisizo na tija hasa hizi za vikao wakiwemo wabunge na watumishi wa uma ziondolewe.Hiki ndo chadema wananchotaka kifanyike lakini wabunge wa ccm na serikali hawataki. Kwa hiyo kwa maneno ya katibu wa bunge anaona swala la kuachia posho zile ni la kila mtu binafisi au chama kuamua achukue au waache.Chadema pia wanataka serikali ipungeze matumizi yake kwa kuondoa matumizi yasiyo lazima ya magari makubwa kama VX na V8. Wabunge wa ccm na serikali pia hawataki isipokuwa pinda amekataa yeye kama yeye kutumia magri haya ili hali yeye ndo mwenye maamuzi ya kufuta matumizi haya ila ameshindwa maana anawoga sijui wa nini. Mtazamo wa katibu wa bunge katika hili ni kwamba ni swala la wanaotumia haya magari kuamua wenyewe kurudisha au kutorudisha.Wananchi waliokuwa wanafatilia bunge wameunga mkono hoja ya chadema na kinachosubiriwa ni chadema wamalize vikao vya bunge warudi kwa wananchi kuelelzea naman ambavyo serikali isivyokuwa tayari kupunguza matumizi kwa vitendo badala yake swala hili ni la watu binafisi ndani ya taasisi za umma kuamua wenyewe kukataa posho au magari na si nia ya serikali kufanya hivyo.Kitu cha msingi wananchi wananchoangalia ni mfumo kubadilika na si swala la mtu au watu wachache kukataa zile posho. Chadema pekee wakiacha kuchukua posho na wakakaa kimya bila kupigia kelele kubadilisha mfumo itatusaidia nini sisi wananchi? Chadema ni watu wachache tu hivyo kiasi kile ni kidogo kitasaidia nini ili hali mabilioni mengine yanaendelea kuteketea?Mimi naamini mtu mwenye akili atafikiria kubadilisha mfumo mzima na si kwa watu kuamua kwa hiari yao wasichukue posho hizi na huo ndo msimamo wa chadema.Kumbuka kutofuta mfumo wa posho na kuachia eti chadema pekee ndo wasichukue posho ni kuendelea kuKwa kufuta mfumo wa posho hizi ni rahisi kuona ni kiasi gani cha pesa serikali itapata na kinaweza kupelekwa kwenye matumizi mengine kama kuboresha mishahara ya watumishi kama walimu na wauguzi.Naamini chadema wataitumia vizuri kete hii watakapomaliza bunge.
Awali ya yote nadhani msimamo wa kila mtanzania mwenye mapenzi mema anatambua swala la kuondolewa kwa posho zisizo za lazima ni kwa faida ya wananchi wenyewe na wala si swala la ushindani kati ya chadema na ccm. Tunapochambua mada hii mtazamo wetu ni kama wananchi na si vyama vya siasa.
Nadhani watu wengi mnashindwa kuelewa concept ya Chadema kuhusu Posho. Pengine mtu kama Rtz1 unaelewa, ila kwa sababu uko kazini kutimiza yale uliyotumwa na bosi wako basi utajifanya huelewi.
Lakini ngoja nitumie hii nafasi kukumbusha kwa kifupi ili wewe na watu wengine wenye kichwa kama chako pia waelewe concept ya chadema kuhusu posho.
Chadema wanataka mfumo mzima wa ulipaji posho zisizo na tija hasa hizi za vikao wakiwemo wabunge na watumishi wa uma ziondolewe.Hiki ndo chadema wananchotaka kifanyike lakini wabunge wa ccm na serikali hawataki. Kwa hiyo kwa maneno ya katibu wa bunge anaona swala la kuachia posho zile ni la kila mtu binafisi au chama kuamua achukue au waache.
Chadema pia wanataka serikali ipungeze matumizi yake kwa kuondoa matumizi yasiyo lazima ya magari makubwa kama VX na V8. Wabunge wa ccm na serikali pia hawataki isipokuwa pinda amekataa yeye kama yeye kutumia magri haya ili hali yeye ndo mwenye maamuzi ya kufuta matumizi haya ila ameshindwa maana anawoga sijui wa nini. Mtazamo wa katibu wa bunge katika hili ni kwamba ni swala la wanaotumia haya magari kuamua wenyewe kurudisha au kutorudisha.
Wananchi waliokuwa wanafatilia bunge wameunga mkono hoja ya chadema na kinachosubiriwa ni chadema wamalize vikao vya bunge warudi kwa wananchi kuelelzea naman ambavyo serikali isivyokuwa tayari kupunguza matumizi kwa vitendo badala yake swala hili ni la watu binafisi ndani ya taasisi za umma kuamua wenyewe kukataa posho au magari na si nia ya serikali kufanya hivyo.
Kitu cha msingi wananchi wananchoangalia ni mfumo kubadilika na si swala la mtu au watu wachache kukataa zile posho. Chadema pekee wakiacha kuchukua posho na wakakaa kimya bila kupigia kelele kubadilisha mfumo itatusaidia nini sisi wananchi?
Chadema ni watu wachache tu hivyo kiasi kile ni kidogo kitasaidia nini ili hali mabilioni mengine yanaendelea kuteketea?
Mimi naamini mtu mwenye akili atafikiria kubadilisha mfumo mzima na si kwa watu kuamua kwa hiari yao wasichukue posho hizi na huo ndo msimamo wa chadema.
Kumbuka kutofuta mfumo wa posho na kuachia eti chadema pekee ndo wasichukue posho ni kuendelea ku
Kwa kufuta mfumo wa posho hizi ni rahisi kuona ni kiasi gani cha pesa serikali itapata na kinaweza kupelekwa kwenye matumizi mengine kama kuboresha mishahara ya watumishi kama walimu na wauguzi.
Naamini chadema wataitumia vizuri kete hii watakapomaliza bunge.
Kaka hakuna kitu, Watanzania tunadanganywa sana sijui kwa nini kelele zote bungeni kumbe usanii mtupu, kila siku bungeni wabunge wa CDM, ndio wa kwanza kusaini kuchukuwa posho wakiongozwa na Mbowe pamoja na Tundu LissuDaaaaaaaaaaaaa!! Kumbe ilikuwa changa la macho? Hata VX/V8 haijarudi?Watz tunageuzwa watu wa kudanganywa tu na kila mtu.