Barua: Zitto akataa posho za vikao

Barua: Zitto akataa posho za vikao

Sawa mh zitto kwa move hii hasa kama inatoka kweli moyoni.
 
Mh. Zitto angeweza kupeleka mwenyewe kule kwenye NGO yake lakini naona alitaka kufikisha ujumbe kwa viongozi wa Bunge. Swali langu hapa; nani ameleta hii nakala JF wakati KAtibu wa Bunge anadai kutoijua barua hii?
Wewe mgonjwa unataka tusijadili hadi katibu wa bunge atakapoitambua je asipoitambua.
 
bravo zitto!tatizo wabunge wote wa ccm waliingia kwa rushwa hivyo ngumu kupeleka posho kwa wananchi
 
Kwa hili, mh. Zitto tupo pamoja. Nilianza kupoteza imani kwako. Sasa imerudi; na natumaini msimamo huo wa kujisadaka kwa ajili ya wengine utaendelea.
 
Unafaa kuwa mwenyekiti wa chama chenu mkuu kaza buti....(tatizo uko kwenye chama ambacho kwasababu inayojulikana huwezi kupewa chochote) you don't qualify simply because you are....
 
To me, whether hiyo KDI ni yake Zitto or not. But It is just impressive to see kluwa ameonesha kufanya mambo kwa vitendo. Inawezekana kakosea,but tuuchukulie ule uamuzi tu wa kukacha posho pekee kuwa ni uzalendo tosha wakuu.

Si rahisi sana kufanya jambo kama hilo.

Next iwe ni kufutwa kwa semina elekezi na posho zake.



Well done kaka Zitto.
 
Zitto,
Mkuu wangu nakupongeza sana na hakika unajifunza vizuri kwamba mwanasiasa siku zote hufuata wananchi wanataka nini na yeye huwa wa kwanza kulishikia bango.. Kwa hili umenikosha na nakupa heko kwani siku zote ukitaka kufanikiwa kisiasa, basi matakwa ya wananchi ndio uwe mwanga wako ktk kusimamia utunzi wa sheria.
Sijaondoa na wala sintaondoa imani yangu kwako..
 
Mh. Zitto una akili sana!!!

Na nimekuvulia kofia, wewe ni mwanasiasa kweli.

Unajua wazi kabisa Katibu wa Bunge hawezi kulipa hiyo taasisi yako fedha kwa kuwa Bunge halitambui taasisi hiyo! hivyo umetudanganya hela bado unazipenda... ungesema usipewe tu hela tungekuelewa.

Na unajua wazi kwamba CAG ata-query hiyo malipo ya organisation ambayo haitambuliki na bunge pamoja na katiba yetu... tangu lini taratibu za hela zikasema.... nipelekee msharawa wangu kwenye account nyingine ya mtu mwingine? this ridiculous!!!

Wewe ni kweli spinner lakini huwezi kudanganya vichwa vyote! utadanganya watu rahisi rahisi tu!

Huna dhamira ya kweli!!!! kama unayo basi sema isitishwe tu! sio ati umpelekee legal entity nyingine... still shows unalipwa right!!! please please tuambie kweli Rais mtarajiwa acha kutafuta popularity kirahisi!

Ulichoomba hapo ni Bunge li-facilitate transfer of money to another entity sio kukataaa malipo... please be serious.... Hii ni kutukana mhimili wa bunge... you may do it yourself. please... umenikera leo.
 
Bravo kaka zitto nimeipenda, Jamaa wengine wa CDM wanasemaje??
 
Mh. Zitto una akili sana!!!

Na nimekuvulia kofia, wewe ni mwanasiasa kweli.

Unajua wazi kabisa Katibu wa Bunge hawezi kulipa hiyo taasisi yako fedha kwa kuwa Bunge halitambui taasisi hiyo! hivyo umetudanganya hela bado unazipenda... ungesema usipewe tu hela tungekuelewa.

Na unajua wazi kwamba CAG ana-query hiyo payment ya organisation ambayo haitambuliki na bunge pamoja na katiba yetu...

Wewe ni kweli spinner lakini huwezi kudanganya vichwa vyote! utadanganya watu rahisi rahisi tu!

Mhhhh we hapa unaadika nini.

Hayo malipo ni haki ya zito na ana haki ya kuagiza yawe diverted kwa mtu au taasisi yeyote ile. Nadhani huna detal japo kiasi ya mambo ya kihasibu. Hapo hakuna sheria za bunge . Ni sheria za kihasibu ndo zinatumika mkuu.


Mbunge XYZ malipo yake ya GGGG ameagiza yapelekwe kwenye taasisi BBBB au mtu BBBB . fullstop Wakigoma huyo katibu na mhasibu wake wanaweza kujikuta mahakamani. Hapo kitakachofuata ni katibu wa bunge kumuandikia muhasibu wa bunge kuwa "act as per instruction "

We unashangaa taasisis angeweza kuagiza hata apewe Gf wake. As along as KDI ni entity inajulikana au ina account na ina physical adresss then sio kazi ya bunge kujua uhalali wake. Sasa CAG ata qeury nini??? Kwenye vitabu vya bunge vitaonyesha ni malipo ya ziito kabwe ambayo ni halali lakini yalikuwa wa channeled kwenye NGO kwa maagizo ya mlipwaji Sioni tatizo unless unataka kuweka siasa na u spin mambo zaidi ya alivyo spin zitto. teh teh teh teh
 
Zitto aache janja yake! Anatupiga tu wananchi changa la macho. Hii Kigoma Development Initiative(KDI) ni NGO yake mwenyewe! So hizo allowance zinamrudia yeye mwenyewe!
utamaduni wetu ni kuongea kwa kutoa source, if you don't show us the source of you info. please don't speak it again
 
Yaani mh. Zitto umefika mahali pa kugeuza bunge letu liwe agency wa money transfer kutoka account yako kwenye kwenda organisation zingine? Kama una dhamira ya kweli si-u-transfe hizo hela mwenyewe?

Hili sitalisahau kwenye maisha yangu! Kweli watanzania tunaonekana mabwege sana! Kwa taratibu zipi jambo aliloomba Zitto linawezekana?

Katibu wa Bunge! ole wako ufanye upuuzi huu utafungwa mara moja! By the way Mh. Zitto kwa hiyo serikali utakayounda utaruhusu mfanyakazi amwambie mwajiri wake transfer my money to nyumba ndogo!!!

Lahaula la kuwata.... kweli umetudharau sana.

Najua Bunge la Tanzania laweze kufanya huu mchezo wa kitoto... sasa tutakachotaka ufanye ni kuhakikisha kweli hiyo account ya KDI ina-be-credited na money equivalent to your allowances.... other than that utakuwa umedanganya umma wa Kigoma.... and you know what will happen.....
 
Nimeipenda hii. Jamaa anatafuta njia ya kujipatia umaarufu. Kama ana nia ya kweli arejeshe fedha hizo Hazina.
 
Yaani mh. Zitto umefika mahali pa kugeuza bunge letu liwe agency wa money transfer kutoka account yako kwenye kwenda organisation zingine? Kama una dhamira ya kweli si-u-transfe hizo hela mwenyewe?Hili sitalisahau kwenye maisha yangu! Kweli watanzania tunaonekana mabwege sana! Kwa taratibu zipi jambo aliloomba Zitto linawezekana?Katibu wa Bunge! ole wako ufanye upuuzi huu utafungwa mara moja! By the way Mh. Zitto kwa hiyo serikali utakayounda utaruhusu mfanyakazi amwambie mwajiri wake transfer my money to nyumba ndogo!!!Lahaula la kuwata.... kweli umetudharau sana.
ume2mwa na watu wewe maana c jambo zuri kumkashfu m2 kwa k2 kzr alichofanya
 
Yaani mh. Zitto umefika mahali pa kugeuza bunge letu liwe agency wa transfer hela kutoka account yako kwenye kwenda organisation zingine? Kama una dhamira ya kweli si-u-transfe hizo hela mwenyewe?

Hili sitalisahau kwenye maisha yangu! Kweli watanzania tunaonekana mabwege sana! Kwa taratibu zipi jambo aliloomba Zitto linawezekana?

Katibu wa Bunge! ole wako ufanye upuuzi huu utafungwa mara moja! By the way Mh. Zitto kwa hiyo serikali utakayounda utaruhusu mfanyakazi amwambie mwajiri wake transfer my money to nyumba ndogo!!!

Lahaula la kuwata.... kweli umetudharau sana.


Nadhani wewe una matatizo.

Omba detail za vitabu vya bunge ujue hata hiyo transfer ya zitto kwanza ni cha mtoto na pili ina manufaa kwa jamii tfauti na transfer nyingine zinazofanywa.

Mbona wengine wanatumia bunge kufanya transfer za matibabu na magonjwa feki nje ya nchi mengine feki mengine ya mahawala au watu amabo hawwaqaulify. Mbaya zaidi yanalipiwa na pesa za walipa kodi . Sasa wewe unashangaa zitto kuagiza malipo yake mwenyewe kupelekwa KDI yaani Kigomaaa.


Myonge myongeni haki yake mpeni. Mfano wa transefer aliyoomba zitto ifanyike ndio mifano wa tranfser tunazotaka kuona
 
Kwanza nakupongeza Mh.zitto kwa kuonesha mfano kuwa umepotayari kukosa posha za kikao,hofu yangu ni nanai mmiliki wa hiyo account uliypiita Kigoma D.I,je na nani anasaini kutoa pesa huko,isije ikawa wahamisha toka mfuko wa kulia kuweka kushoto.
 
This is a political move. Sioni uzalendo wowote hapo. Technically Zitto angeweza kuweka standing order benki yake ikapeleka hizo hela kila zikiingia kwenye account yake zikaenda Kigoma! Tena bila umma kujua. Hapo ningejua ni mzalendo halisi. Ila hapa naona anatfuta popularity isiyo na mAna yoyote.
Anyway wabongo mnapenda kudanganyikA!
 
Jamani Zitto anaweza kufanya transfer ya same amount kwa kutumia account yake... anaomba Katibu wa Bunge Amfanyie ili iweje kibaya anatuonyesha sisi ili nini? NO. ZITTO you are too intelligent to play this game my friend.
 
Back
Top Bottom