Barua: Zitto akataa posho za vikao

Barua: Zitto akataa posho za vikao

Mh. Zitto una akili sana!!!

Na nimekuvulia kofia, wewe ni mwanasiasa kweli.

Unajua wazi kabisa Katibu wa Bunge hawezi kulipa hiyo taasisi yako fedha kwa kuwa Bunge halitambui taasisi hiyo! hivyo umetudanganya hela bado unazipenda... ungesema usipewe tu hela tungekuelewa.

Na unajua wazi kwamba CAG ata-query hiyo malipo ya organisation ambayo haitambuliki na bunge pamoja na katiba yetu... tangu lini taratibu za hela zikasema.... nipelekee msharawa wangu kwenye account nyingine ya mtu mwingine? this ridiculous!!!

Wewe ni kweli spinner lakini huwezi kudanganya vichwa vyote! utadanganya watu rahisi rahisi tu!

Huna dhamira ya kweli!!!! kama unayo basi sema isitishwe tu! sio ati umpelekee legal entity nyingine... still shows unalipwa right!!! please please tuambie kweli Rais mtarajiwa acha kutafuta popularity kirahisi!

Ulichoomba hapo ni Bunge li-facilitate transfer of money to another entity sio kukataaa malipo... please be serious.... Hii ni kutukana mhimili wa bunge... you may do it yourself. please... umenikera leo.

Mkuu fikiia upya! Kijana kafanya maamuzi magumu kufanywa na mbunge yeyote katika historia ya tanzania. Anasimamia imani yake kuwa posho zikifutwa za wabunge fedha zake zitaweza kufanya kazi zingine za ujenzi wa Taifa. Na kwa kuwa mfumo wa kisheria haujabadilika maana inahitaji ridhio la wabunge wengine; yeye anaona fehda hizo zisilipwe kwake bali kwa KDI wanaosimamaia maendeleo ya kigoma; wala KDI si kwa ajili ya tumbo lake. Hii anaistahili pongezi-maana ni mbunge wa kwanza kuthubutu!! maneno kwa vitendo-hongera Zitto (Mhe).
 
Duh! HhahhAhA. Kwahiyo mkuu uliyemshambulia Kasheshe, unataka kutuambia kuaa Zitto anaweza kuinstruct offisi yA bunge ipeleke hela ya zitto kwa girl friend wako au wake na ikapeleka?
Duh!!! CCM itaendelea kuwatawala MiLELE kAma watanzani wenyewe ndo nyie!
Kweli alisemagA Nyani Ngabu, viongozi wetu ni reflection yetu.
Very low thinking! Hata haka ka trick kadogo mmeashindwa kukigunduA?
 
Kasheshe said:
Jamani Zitto anaweza kufanya transfer ya same amount kwa kutumia account yake... anaomba Katibu wa Bunge Amfanyie ili iweje kibaya anatuonyesha sisi ili nini? NO. ZITTO you are too intelligent to play this game my friend.

Kasheshe,

..nice try!!

..it is better we wait and see if Dr.Kashilila[the secretary to the Parliament] will call out Zitto Kabwe the same way you have done here.

..let Dr.Kashilila or the AG declare that what Zitto has proposed will contravene parliamentary and government financial procedures.

..tatizo ni kwamba Dr.Kashilila amekuwa na kigugumizi kuthibitisha ama kukataa kwamba amepokea waraka wa Zitto kuhusu suala hili.





 
Duh! HhahhAhA. Kwahiyo mkuu uliyemshambulia Kasheshe, unataka kutuambia kuaa Zitto anaweza kuinstruct offisi yA bunge ipeleke hela ya zitto kwa girl friend wako au wake na ikapeleka?
Duh!!! CCM itaendelea kuwatawala MiLELE kAma watanzani wenyewe ndo nyie!
Kweli alisemagA Nyani Ngabu, viongozi wetu ni reflection yetu.
Very low thinking! Hata haka ka trick kadogo mmeashindwa kukigunduA?
Sio hivyo:- Kama hili linawezekana, Mh. Mbunge Mh. Sana Zitto anamaanisha kwamba.

1. Mfanyakazi wa Serikali anaweza kumwambia katibu wa wizara au mlipaje yeyote kwamba peleka pesa zangu kwa marehemu. Sheik Yahya (kama account yake haijafungwa).

2. Kama inawezekana kwa Bunge... inaonyesha itawezekana kwa Mahakama pia... kuambia Cheque ya Mirathi ilipwe kwenda kwenye kampuni x.y.z au kwenda kwa mtu mwingine....

Yaani Tanzania kweli iko juu.... kila siku vitimbwi.
 
Kasheshe,
Mkuu wangu nadhani wewe ndiye unachanganya..Fedha za Posho zinaweza kuwa allocated ktk expenses item nyingine within the budget na sii kutoka nje kama Posho kisha Ziutto akazirudisha ktk mfuko wa maendeleo ya jimbo lake. Kiuhasibu ni makosa makubwa kwani hizi ni account mbili tofauti..
 
Lipi lifanyike ili Watanzania waweze kuelewa! Magamba tu ndiyo wataukataa moyo huu wa uzalendo lakini wenye maono tunakupa heko Zitto
 
ukitaka kumpima mtu mnafiki ni kwenye isue ya pesa. hapa wanafiki wote wa mapambano watakuwa hawapendi uamuzi alio ufanya. Ivi Zitto kaenda bungeni kuwakilisha wananchi wa mkoa gani? ahadi za kimaendeleo aliwaahidi wananchi wa mkoa gani? kama unajua hayo vipi umshangae kwa yeye kuomba posho zake zipelekwe moja kwa moja kwa wananchi wake? Tunaomba wabunge wote wapambanaji wasirudi nyuma.Narudia tena kuwa Hii ni test sahihi kwa wanafiki.
 
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ameiandikia barua Ofisi ya Bunge kuiomba isimamishe kumlipa posho zake zinazotokana na vikao vya Bunge kuanzia juzi. Zitto ametoa ombi hilo kwa barua rasmi aliyoiwakilisha kwa Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah Juni 7 mwaka huu.

Barua yenyewe hii hapo chini


Kwa uamuzi huo nampongeza sana ZITTO. Ombi langu kwake rafiki yangu ni kutotumia mbinu hiyo kuwahadaa Watanzania kwa kudhani hawajui kuchuja na kupembua mawazo yao. Hiyo Kigoma Development Initiative (KDI) inafanya shughuli zake wapi???? Bado ni pesa hiyo hiyo inafanya kazi ya jimbo lake. HIVI Tofauti yake na Mhe. Deo Filkunjombe wa Ludewa aliye chukua posho na kuamua kununua Magari ya wagonjwa na Vitanda vya zahanati ktk jimbo lake. HIVI Tofauti yake na Mhe. Lameck Airro wa Rorya aliye watengenezea watu wake barabara na kupeleka madawati kila shule za Sekondari ktk. jimbo lake kutoka kwenye posho hiyo hiyo. Kwanini ZITTO atukuzwe wakati AMEBUNI UTARATIBU MWINGINE WA KUTUMIA POSHO YAKE KUPITIA KDI ?????? Wenzake wanafanya wajibu wao moja kwa moja wakati Zitto anapitishia posho yake KDI. Anatuchezea mchezo wa pwagu na pwaguzi(Sitaki nataka)
 
Jamani Zitto anaweza kufanya transfer ya same amount kwa kutumia account yake... anaomba Katibu wa Bunge Amfanyie ili iweje kibaya anatuonyesha sisi ili nini? NO. ZITTO you are too intelligent to play this game my friend.
Hivi wewe NUCTA. Aliyekutuma( liko wazi ni mwana magamba)ataona kama unajidhalilisha hiii no hoja, watu wanajadili kwa facts, wewe unaleta emotions zako kama mtoto uliyezaliwa peke yako.Zitto kafanya move hiyo, wewe na waliokutuma mnaweza kuicounter kivyenu na sio kuja humu ndani kulia lia na ku seek e-sympathy,pathetic
 
Kasheshe,
Mkuu wangu nadhani wewe ndiye unachanganya..Fedha za Posho zinaweza kuwa allocated ktk expenses item nyingine within the budget na sii kutoka nje kama Posho kisha Ziutto akazirudisha ktk mfuko wa maendeleo ya jimbo lake. Kiuhasibu ni makosa makubwa kwani hizi ni account mbili tofauti..

Kwa hiyo mh. sana mh. Rais Mtarajiwa, msimamizi wa Serikali anatuambia serikali yake anataka ifanye haya madudu?
 
Kwa uamuzi huo nampongeza sana ZITTO. Ombi langu kwake rafiki yangu ni kutotumia mbinu hiyo kuwahadaa Watanzania kwa kudhani hawajui kuchuja na kupembua mawazo yao. Hiyo Kigoma Development Initiative (KDI) inafanya shughuli zake wapi???? Bado ni pesa hiyo hiyo inafanya kazi ya jimbo lake. HIVI Tofauti yake na Mhe. Deo Filkunjombe wa Ludewa aliye chukua posho na kuamua kununua Magari ya wagonjwa na Vitanda vya zahanati ktk jimbo lake. HIVI Tofauti yake na Mhe. Lameck Airro wa Rorya aliye watengenezea watu wake barabara na kupeleka madawati kila shule za Sekondari ktk. jimbo lake kutoka kwenye posho hiyo hiyo. Kwanini ZITTO atukuzwe wakati AMEBUNI UTARATIBU MWINGINE WA KUTUMIA POSHO YAKE KUPITIA KDI ?????? Wenzake wanafanya wajibu wao moja kwa moja wakati Zitto anapitishia posho yake KDI. Anatuchezea mchezo wa pwagu na pwaguzi(Sitaki nataka)
Mkuu alichofanya Mhe. Deo Filkunjombe wa Ludewa na Mhe. Lameck Airro wa Rorya kwa kifupi mimi nitaita ni TAKRIMA. hii ni kuwapa rushwa wananchi ili uchaguzi ujao upate kuchaguliwa tena kwa fikra kwamba Mbunge ndiye mwenye jukumu la kuleta maendeleo.

Kwa misingi hii basi haina haja wala sababu ya kuwa na bunge au bajeti ila wabunge wote wapewe fedha mikononi kisha kila mmoja wao atajua namna ya kuzitumia. Tunashindwa kuendelea kwa sababu kama hizi.
 
Je hili likifanyika Zitto atakuwa amelipwa na bunge au hajalipwa?

@ Kasheshe! Atakuwa amelipwa sawa na wenzake kwa kutumia akaunti ya KDI. Sawa na Mbunge anaepeleka maendeleo yake mwenyewe. HAYUPO PEKE YAKE WAPO WENGI. WAMRUHUSU NI WAJIBU WAKE KIKUBWA AMECHELEWA ILITAKIWA TOKA 2005.
 
MkAndara kakA yangu. Mhakama pekee ina uwezo wa ku
sema pesA ya Juma mlipe Hamisi. Kuna mkataba kati ya zitto na offisi yA bunge kwa kua yeye ni mbunge. Ila bunge haitambui KDI. Jmani ni simpo sana.

Kwnini hizo pesA asipeleke mwenyewe? Cheap popularity.
 
Mkuu alichofanya Mhe. Deo Filkunjombe wa Ludewa na Mhe. Lameck Airro wa Rorya kwa kifupi mimi nitaita ni TAKRIMA. hii ni kuwapa rushwa wananchi ili uchaguzi ujao upate kuchaguliwa tena kwa fikra kwamba Mbunge ndiye mwenye jukumu la kuleta maendeleo.

Kwa misingi hii basi haina haja wala sababu ya kuwa na bunge au bajeti ila wabunge wote wapewe fedha mikononi kisha kila mmoja wao atajua namna ya kuzitumia. Tunashindwa kuendelea kwa sababu kama hizi.

@ Mkandara!! Kuna mfuko wa jimbo unaosimamiwa na Halmashauri. Hiyo KDI sio mfuko wa Jimbo ni NGo ya m2 binafsi ambalo jukumu lake kiutendaji havitofautiani na hilo la Lameck na Deo. Alichofanya Zitto ni kubuni matumizi mengine ya posho yake. Kama yy muungwana apeleke hiyo pesa mkoa mwingine. Hiyo ni sawa na malipo ya keshi na hundi. YOTE MALIPO.
 
@ Mkandara!! Kuna mfuko wa jimbo unaosimamiwa na Halmashauri. Hiyo KDI sio mfuko wa Jimbo ni NGo ya m2 binafsi ambalo jukumu lake kiutendaji havitofautiani na hilo la Lameck na Deo. Alichofanya Zitto ni kubuni matumizi mengine ya posho yake. Kama yy muungwana apeleke hiyo pesa mkoa mwingine. Hiyo ni sawa na malipo ya keshi na hundi. YOTE MALIPO.

1. Namkumbusha Zitto Kwamba NGO zinalipa kodi kuanzia this financial year... so peleka huko uongeze mfuko wa Mkulo.
2. Nadhani halmashauri ya Jimbo lako inaongozwa na CDM sasa unaona je upeleke hiyo hela kwenye halmashauri isimamiwe vizuri na madiwani wako kuleta maendeloe jimboni mwako.
3. Of course huo utani wa kutumia bunge la jamhuri kufanya kazi za money transfer achana nao... hiyo fanya mwenyewe mkuu...

Hapa mbinu zako zimekwama .. at least you will learn kwamba watanzania sio mambumbu kiasi hicho! so nice try.
 
@ Mkandara!! Kuna mfuko wa jimbo unaosimamiwa na Halmashauri. Hiyo KDI sio mfuko wa Jimbo ni NGo ya m2 binafsi ambalo jukumu lake kiutendaji havitofautiani na hilo la Lameck na Deo. Alichofanya Zitto ni kubuni matumizi mengine ya posho yake. Kama yy muungwana apeleke hiyo pesa mkoa mwingine. Hiyo ni sawa na malipo ya keshi na hundi. YOTE MALIPO.
Again mkuu wangu kuna tofauti kubwa sana ya fedha za serikali kutoka kifungu cha posho kwenda matumizi mengine ya jimbo ikiwa ni pamoja na Halamshauri. Hii kimahesabu inaweza kufanywa na serikali peke yake na sio NGO ya Zitto.

Mbunge yeyote anaruhusiwa kuwa na NGO kwa sababu anapata michango ya fedha toka taasisi mbali mbali na haiwezekani serikali ikatoa Posho kisha ikawekwa ktk NGO ya Zitto kama vile ni mchango wa serikali kwa NGO. Na sidhani kuna mahala popote Zitto kasema posho yake ipelekwe ktk NGO yake bali ktk mfuko wa maendeleo ya Jimbo lake. Na wabunge wote wakifanya hivi kila jimbo litakuwa na fedha zaidi ktk maendeleo yake kinachotakiwa ni kujiuliza ziwekezwe wapi (Elimu, Afya, mishahara na kadhalika).
Mara nyingi hoja ya msingi bungeni huwa unakata matumizi wapi na fedha zinakwenda wapi lakini huwezi kuzungumzia fedha zikisha wekwa kama posho kisha Zitto atazitumia vipi iwe ndio hoja bungeni...UTACHEKWA!
 
Yaani mh. Zitto umefika mahali pa kugeuza bunge letu liwe agency wa money transfer kutoka account yako kwenye kwenda organisation zingine? Kama una dhamira ya kweli si-u-transfe hizo hela mwenyewe?

Hili sitalisahau kwenye maisha yangu! Kweli watanzania tunaonekana mabwege sana! Kwa taratibu zipi jambo aliloomba Zitto linawezekana?

Katibu wa Bunge! ole wako ufanye upuuzi huu utafungwa mara moja! By the way Mh. Zitto kwa hiyo serikali utakayounda utaruhusu mfanyakazi amwambie mwajiri wake transfer my money to nyumba ndogo!!!

Lahaula la kuwata.... kweli umetudharau sana.

Najua Bunge la Tanzania laweze kufanya huu mchezo wa kitoto... sasa tutakachotaka ufanye ni kuhakikisha kweli hiyo account ya KDI ina-be-credited na money equivalent to your allowances.... other than that utakuwa umedanganya umma wa Kigoma.... and you know what will happen.....
Hujui mambo ya money transfer yanavyofanyika watu tunakopa kwenye mabenki au makampuni tuna direct waajiri walipe benki moja kwa moja kutoka kwenye mishahara yetu mfano mikopo ya magari ya wabunge huwa wanakatwa moja kwa moja kutoka kwenye mishahara yao.
 
If that 's true then well done Zitto we need more mps who care for the country not self interests
 
Je hili likifanyika Zitto atakuwa amelipwa na bunge au hajalipwa?

Hatalipwa zitto angelipwa angepokea yeye . kihasibu hicho kitu kinaitwa re alloaction of fund. Ni haki ya zito kulipwa lakini ka re allocate haki yake ya malipo kwa mtu au entity nyingine. Sasa utasemaje kalipwa zitto au tunaongea siasa.

May be tufanye hivi wewe Kasheshe ndio ungekuwa mbunge wa jimbo XYZ unataka ujumbe wako uwafikie wwabunge na wanchi wengine nini ungefanya.


 
Back
Top Bottom