Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,071
Kwanza unatakiwa uthibitishe kuwa ulifikisha matatizo yako kwenye kamati ya masuluhisho ikashindikana ndio uombe talaka!
Kinyume na hapo ombi lako ni batili na ndoa haiwezi kuvunjwa!
Pia ulitakiwa utoe sababu za kudai talaka na ni sababu zilizo shindikana katika usuluhishi!
NB: ndoa haivunjwi kama yai
Kinyume na hapo ombi lako ni batili na ndoa haiwezi kuvunjwa!
Pia ulitakiwa utoe sababu za kudai talaka na ni sababu zilizo shindikana katika usuluhishi!
NB: ndoa haivunjwi kama yai
The secretary, p.o.box 1, CHIT CHAT. Mwenyekiti wa mahusiano p.o.box 2, jamiiforum. Ndugu, YAH: OMBI LA TALAKA husika na kichwa tajwa hapo juu,mimi The secretary MziziMkavu naomba kuachana na mume wangu Bishanga Bishaija kwa sababu zisizoweza kuzuilika. natumai ombi langu litafanyiwa nidful. mapendo daima THE SECRETARY