Ukiisoma Barua hiyo utagungua kweli kwamba Tanzania bado tupo nyuma mno katika kuheshimu haki za binadamu - Sheria zetu bado za kikoloni na au hata kuzidi zile za Wajerumani na Waingeleza miaka 1890 - 1960.
Sasa hiyo ni nyanja moja tu na Utawala na Sheria - bado hujatembelea huku mwingine - utatoa machozi.
Sasa hiyo ni nyanja moja tu na Utawala na Sheria - bado hujatembelea huku mwingine - utatoa machozi.