mohamedjohn
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 467
- 277
Hata sisi tuliolisikia je hatunajambo lolote lakufanya hatakwakiga kelele pia tutashindwa kwani sauti yawengi ipo pamoja na mingu Sasa niwakati wakuamka watanzania unajua kwanini mungu alimchukua mwendazake mungu alisikia sauti zawatanzani bado watanzania hawanapesa lakini wanafura unafikili nikwanini?Tito Magoti, Pole sana kwa yaliyokupata Ila huwezi jua kwanini Mungu akaacha ukapata majanga haha.
Kwa akili yangu, Mungu alitaka uende ukaone jinsi raia wanavyoteseka na mfumo mbovu wa Sheria na haki nchini. Wewe ndiyo sauti yao.
Hata Kama Rais SSH hataliona hili, Mimi ninaliona ni zaidi ya Thesis ya Masters/ PhD.
Nakushauri ulisimamie kwa kutafuta wahisani watakao ku-support uwasemee wasio na sauti kupitia Asasi za Kiraia.
Mungu akubariki sana