dodomacity
Member
- Jan 26, 2021
- 7
- 8
Kamanda heshima yako,
Napenda kukufahamisha kuwa tumekutumia email ya malalamiko dhidi ya maofisa wako wanajihusisha na vitendo vya rushwa. Email hii tuliyokutumia tumetumia dgeneral@pccb.go.tz. Tumeona tukutumie ujumbe kupitia jf hapa kwani tunaamini wewe unapitia hapa lakini pia uenda hiyo email husiipate kwani inaweza fika masijala na wakaipitisha kushoto. Kuna maofisa wako wa pccb ni wachafu. Tafadhali fuatilia.
Asante na kwa lolote kuhusu ushahidi tupo tayari.
Napenda kukufahamisha kuwa tumekutumia email ya malalamiko dhidi ya maofisa wako wanajihusisha na vitendo vya rushwa. Email hii tuliyokutumia tumetumia dgeneral@pccb.go.tz. Tumeona tukutumie ujumbe kupitia jf hapa kwani tunaamini wewe unapitia hapa lakini pia uenda hiyo email husiipate kwani inaweza fika masijala na wakaipitisha kushoto. Kuna maofisa wako wa pccb ni wachafu. Tafadhali fuatilia.
Asante na kwa lolote kuhusu ushahidi tupo tayari.