Barua ya wazi kwa DG wa TAKUKURU

Hii taasisi yatakiwa kufanyiwa reshufle kubwa vinginevyo mambo hayatadumu huku Kigoma PCCB Uvinza wao wanatubabikizia kesi yaani wanapika taarifa ofisini ushahidi sifuri ipo siku kitanuka mkuu wa Takukuru Uvinza hana ueledi wa kazi yake anafikiri watu hawajui nini anafanya na akishirikiana na viongozi wa CCM Kata ya Nguruka akiwemo Songoro, Wambari na diwani RAmadhan wa Itebula? Yale ya Mpeta soon yataibuka ref issue ya Gwimo imebumbwa na diwani Itebula, Wambari naomba DG Hamduni muonye mtu wako Mulaki wa PCCB Uviznza najua ya Mpeta unayakumbuka baada ya police kura Sana rushwa na bado wakaendelea kukamata raia wananchi waliona waingie msituni yaliyojiri najua unayakumbuka....
Chukua hatua DG Hamduni
 
Kamanda heshima yako,

Napenda kukufahamisha kuwa tumekutumia email ya malalamiko dhidi ya maofisa wako wanajihusisha na vitendo vya rushwa. Email hii tuliyokutumia tumetumia dgeneral@pccb.go.tz. Tumeona tukutumie ujumbe kupitia jf hapa kwani tunaamini wewe unapitia hapa lakini pia uenda hiyo email husiipate kwani inaweza fika masijala na wakaipitisha kushoto. Kuna maofisa wako wa pccb ni wachafu. Tafadhali fuatilia.

Asante na kwa lolote kuhusu ushahidi tupo tayari.
Mkuu kumbe hii suala la watumishi vimeo TAKUKURU wengi mumeliona,awafuatilii tuuma ukiwapelekea wanataka rushwa.Kama DG anapita humu aimulike na ofisi ya TAKUKURU Mwanza,ni wababaishaji sana.Ikiwezekana atupe email yake binafsi tuwe tunatumia yeye direct.
 
Takukuru ndio inaongoza kwa rushwa, Wakauja Traffic, wanakuja Police wanakuja TISS

Wanajeshi wa Tanzania nawapenda kwa sababu moja tu Hawajiusishi na Rushwa wao wanapiga pesa kwenye miradi yao wanayofanya kwa jasho lao.
 
DG hamduni saidia kufyeka ofisi yako hapa bukoba, huyu John Joseph kazi yake ni rushwa akishirikiana na wafanyakazi waliotajwa. Tunaamua wakati mwingine kuwataja huku kwani tukikutumia email hamjibu
 
Nimewataja makusudi kwani vitendo vyao vimezidi. Dg PCCB kupitia email yenu ya dgeneral@pccb.go.tz check kuna emails kibao zinazohusu watu wako hawa, tuko tayari kwa ushahidi kwani suala la wewe kutuambia zikufieje basi. Tuko tayari kwa lolote.
Ndg yangu Kama kweli utafanikiwa kwenye hili kupitia humu JF basi na Mimi nitawalipuwa humu office ya Upelelezi na office ya Mwendesha Mashitaka wa Mkoa flani hivi,eti kila mmoja anamtupia lawama mwenzie! Sasa Mimi Raia nimebaki nawaangalia tu wanavyovutana wenyewe kwa wenyewe,wakati ushaidi wote nimewapa na vielelezo ju lakini bado wanatupiana mpira wao kwa wao! Au inawezekana wananicheza Sheri tu wanajua wanachokifanya!!
 
Ndg yangu Kama kweli utafanikiwa kwenye hili kupitia humu JF basi na Mimi nitawalipuwa humu office ya Upelelezi na office ya Mwendesha Mashitaka wa Mkoa flani hivi,eti kila mmoja anamtupia lawama mwenzie! Sasa Mimi Raia nimebaki nawaangalia tu wanavyovutana wenyewe kwa wenyewe,wakati ushaidi wote nimewapa na vielelezo ju lakini bado wanatupiana mpira wao kwa wao! Au inawezekana wananicheza Sheri tu wanajua wanachokifanya!!
Yaani kama kuna office za ajabu basi ni office ya mashitaka, pccb na either rco or oc cid. Hapa bukoba uchafu huu upo office ya pccb na mashitaka. Muda wowote tutaleta hapa ushahidi wa rushwa inavyoliwa hapa bukoba kwenye office ya mashitaka na pccb. Kuna kesi moja tunasubiri tupate copy ya hukumu. Dg Hamdun, office yako ya bukoba hakuna watu pale, ni rushwa kuanzia getini hadi kwa mkuu wao Bw. John Joseph.
 
Weka na majina mkuu maana wanatuzingua
Mkuu kumbe hii suala la watumishi vimeo TAKUKURU wengi mumeliona,awafuatilii tuuma ukiwapelekea wanataka rushwa.Kama DG anapita humu aimulike na ofisi ya TAKUKURU Mwanza,ni wababaishaji sana.Ikiwezekana atupe email yake binafsi tuwe tunatumia yeye direct.

Ndg yangu Kama kweli utafanikiwa kwenye hili kupitia humu JF basi na Mimi nitawalipuwa humu office ya Upelelezi na office ya Mwendesha Mashitaka wa Mkoa flani hivi,eti kila mmoja anamtupia lawama mwenzie! Sasa Mimi Raia nimebaki nawaangalia tu wanavyovutana wenyewe kwa wenyewe,wakati ushaidi wote nimewapa na vielelezo ju lakini bado wanatupiana mpira wao kwa wao! Au inawezekana wananicheza Sheri tu wanajua wanachokifanya!!
Asipofanikiwa basi lao moja shida ninayoiona ni kuwaacha watumishi wa PCCB miaka mingi vituoni wanazoeleka na kuwa wapiga dili pamoja na mifano ndo haya majanga ya kubambikiza kesi kwa wanyonge hii itaketa madhara makubwa kama mabadiliko hayatafanyika kwa haraka imani na taasisi itavunjika
 
Ofisi ya TAKUKURU mkoa wa Iringa, hivyohivyo kama ofisi za Bukoba na kwingine. Malalamiko yanawasilishwa, badala ya kuchunguzwa na watu kuleta ushahidi, wao wanaitana na watuhumiwa na kuwapa tip kuwa wamelalamikiwa. Matokeo, watuhumiwa wanaanza kutishia walalamikaji na kutamba kuwa hakuna watachofanywa.

Niliwasilisha malalamiko 2019 na 2020 kupitia CONTACT US section ya tovuti ya TAKUKURU lakini wapi mpaka leo hawajanijibu. CP Hamduni fanya ukaguzi, agiza meseji zilizotumwa kupitia tovuti yenu au kupitia email yenu iliyotajwa hapa uone kama zilishughulikiwa. Rekebisha hii Taasisi
 
Kamanda heshima yako,

Napenda kukufahamisha kuwa tumekutumia email ya malalamiko dhidi ya maofisa wako wanajihusisha na vitendo vya rushwa. Email hii tuliyokutumia tumetumia dgeneral@pccb.go.tz. Tumeona tukutumie ujumbe kupitia jf hapa kwani tunaamini wewe unapitia hapa lakini pia uenda hiyo email husiipate kwani inaweza fika masijala na wakaipitisha kushoto. Kuna maofisa wako wa pccb ni wachafu. Tafadhali fuatilia.

Asante na kwa lolote kuhusu ushahidi tupo tayari.
bado hauko serious kiongozi weka mambo hadharani hapa unaficha nini kama umechafukwa weka hapa watanzania wote wajue uhuni wao ukiendelea kuficha haitakusaidia wewe, huyo DG wala nchi
 
bado hauko serious kiongozi weka mambo hadharani hapa unaficha nini kama umechafukwa weka hapa watanzania wote wajue uhuni wao ukiendelea kuficha haitakusaidia wewe, huyo DG wala nchi
Kama kweli akifanikiwa kupitia humu,Mimi nitalipua bom na nitataja majina yao hadi voice clips zao humu!! Mimi pia nilienda ku report matter Takukuru nikachukuliwa maelekezo na nikapewa mpelelezi! Eti baada Kama ya week tatu hivi mpelelezi ananiulizaa huna Mtu Mkubwa unaejuwana nae Serekalini,nikamuuliza kwa nini,akasema hii issue ni nzito kidogo hata sisi Takukuru hatuiwezi! Basi toka siku hiyo sikumpigia tena nasoma tu status zake huko WhatsApp nabaki kucheka!!
 
Kamanda heshima yako,

Napenda kukufahamisha kuwa tumekutumia email ya malalamiko dhidi ya maofisa wako wanajihusisha na vitendo vya rushwa. Email hii tuliyokutumia tumetumia dgeneral@pccb.go.tz. Tumeona tukutumie ujumbe kupitia jf hapa kwani tunaamini wewe unapitia hapa lakini pia uenda hiyo email husiipate kwani inaweza fika masijala na wakaipitisha kushoto. Kuna maofisa wako wa pccb ni wachafu. Tafadhali fuatilia.

Asante na kwa lolote kuhusu ushahidi tupo tayari.
Onyesha uchafu wait isijekuwa bifu za mademu
 
Kamanda heshima yako,

Napenda kukufahamisha kuwa tumekutumia email ya malalamiko dhidi ya maofisa wako wanajihusisha na vitendo vya rushwa. Email hii tuliyokutumia tumetumia dgeneral@pccb.go.tz. Tumeona tukutumie ujumbe kupitia jf hapa kwani tunaamini wewe unapitia hapa lakini pia uenda hiyo email husiipate kwani inaweza fika masijala na wakaipitisha kushoto. Kuna maofisa wako wa pccb ni wachafu. Tafadhali fuatilia.

Asante na kwa lolote kuhusu ushahidi tupo tayari.
Kuna maofisa wako wa pccb ni wachafu. Tafadhali fuatilia.

Asante na kwa lolote kuhusu ushahidi tupo tayari
 
Wanajf naomba radhi kwa kuchelewa kujibu hoja zinazohusu post yangu kwani nilikuwa mgonjwa wa kitandani kwa wiki mbili nikiwa hoi. Kiufupi ni kwamba maofisa hawa wako hapa bukoba mjini kwenye ofisi ya pccb mkoa ambao ni KILASA MALULU, TRYPHONE MAGOGWA, MBAGA, KAPERA na mtu mmoja hivi ana kovu shavuni pia akiwemo bwana John Joseph ambaye ni mkuu wao. Tumelalamika tangu mwaka 2019 mpaka sasa hakuna majibu, lakini pia tumetuma emails kibao bila majibu na wakati mwingine tumeomba tuombwe ushahidi lakini pccb hq haijawahi kututakisha ushahidi. Email zetu wanazo lakini wako kimya.
Ubarikiwe sana
 
Hii taasisi yatakiwa kufanyiwa reshufle kubwa vinginevyo mambo hayatadumu huku Kigoma PCCB Uvinza wao wanatubabikizia kesi yaani wanapika taarifa ofisini ushahidi sifuri ipo siku kitanuka mkuu wa Takukuru Uvinza hana ueledi wa kazi yake anafikiri watu hawajui nini anafanya na akishirikiana na viongozi wa CCM Kata ya Nguruka akiwemo Songoro, Wambari na diwani RAmadhan wa Itebula? Yale ya Mpeta soon yataibuka ref issue ya Gwimo imebumbwa na diwani Itebula, Wambari naomba DG Hamduni muonye mtu wako Mulaki wa PCCB Uviznza najua ya Mpeta unayakumbuka baada ya police kura Sana rushwa na bado wakaendelea kukamata raia wananchi waliona waingie msituni yaliyojiri najua unayakumbuka....
Chukua hatua DG Hamduni
Hii ni hatari
 
Back
Top Bottom