Lakini hawa jamaa! Kuna jambo zito nyuma ya pazia!! Kweli familia nzima!
Kwani ujui babayake Papii alikua anagonga ngoma ya mkula
Lakini hawa jamaa! Kuna jambo zito nyuma ya pazia!! Kweli familia nzima!
Tumia busara wewe unajua aliyemchorea Kesi?
Huyu na babake si nilisikia walifungwa kwa kusingiziwa na aliyetaka wafungwe ndie huyo huyo wanamuomba msamaha! hapo chacha mi sidhani kama itawezekana hii kitu kwani jamaa alijiapiza lazima waozee jela sidhani kilipizo chake mwenyewe anaweza kukivunja manake kinaweza kikamrudia yeye akimaliza utawla wake anaweza zamishwa....!
haa! Jamaa kafafanua kuwa hakutenda kosa hvyo wenye mamlaka walitumia mamlaka yao kuwafunga yeye pamoja na watoto wake wote. Kwn we haujui km demu wa mjomba ndo aliyesababisha haya?
Hii laana ndo inamtafuna jk kila siku matatizo na bado!
Laana ni wewe unaeshadidia ushenzi walioufanya hawa wakongo kwa watoto na wajukuu zetu.
La Kikwete! Umefanya mengi ya ajabu mpaka nafsi yako inakusuta
Laana ni wewe unaeshadidia ushenzi walioufanya hawa wakongo kwa watoto na wajukuu zetu.
Siku hizi kuna teknolojia watu wanatengeneza vidio za ushaidi! Ni mambo ya mademu tu hamna lingine hapo!