Ni lazima abakie kule ili wavulana wawe salama.
vivian umenifuraisha na Avator yako kuna mtu kaniomba urafiki facebook tena kwakutuma PM anadai yeye ni mu ivory cost nikacheka sana muone link yake ya fb....http://www.facebook.com/mavis.dionSo painfull, sasa hii barua itamfikiaje JK?
Mwandishi wa barua hii alikosa washauri....
Huwezi kuandika barua ya kuomba msamaha/msaada kama huo halafu kwenye barua hiyo hiyo unaplead not guilty...Na mbaya zaidi, anawatuhumu wenye mamlaka kwa kuwaangamiza...wakati huo anaomba msaada kwa mmoja wao wa wenye mamlaka...
Hili ni kosa la kiufundi na hii barua itatupwa kwenye dust bin kabla ya kufika kwa mlengwa....
Babu DC!!
Andrew natumaini hujui kama hawa wanafamilia wamesingiziwa assume limetokea kwako na familia yako ingalikuwaje?Nimepitia majibu yako mengi unaonekana shabiki wa mtu au kundi flani,Ogopa mungu huku ipo.Ni lazima abakie kule ili wavulana wawe salama.
Hawa watu walifika hapa Msasani siku,walikuwa wanamtafuta Makongoro awasaidie. Mimi niliwaona wakati wanaondoka. Nikauliza,wale watu watu walifuata nini? Nilipoelezwa,nilkimbia kwenda nje,kuwatafuta,kutaka kuwasaidia[kwa kufikiria kwamba wale ni wanamuziki,na zamani nilikuwa nabugi sana],lakini walikuwa wameshaondoka. Haya yote nimeandika katika posting ya awali.Angalia unachoandika kaka. dunia ni duara. Hawa watu kesi yao ni ya utatanishi.
Sent via EyePhone
Ili watoke jela waombe cdm ichukuwe nchi 2015.maana watanzania wanajua kuwa walifungwa kwa hujuma na hila mbaya ya m/magogoni. Mungu awalinde ili msipate maradhi. Iko siku mtatoka
kama mungu atakupa uai mpaka 2015 usipokumbana na vitu vyenye ncha kali ombi lako litafanikiwaKAMA HUKUWAHI KUISOMA BARUA YA PAPII KOCHA KWENDA KWA RAIS JAKAYA KIKWETE, KUPITIA KWA LADY JAY DEE HII HAPA >>>MF/NA: 836'04|Johnson Nguza (Papii Kocha)
Gereza Kuu Ukonga
S.L.P 9091
Dar es Salaam Mh. Rais Jamuhuri
ya Muungano
Tanzania YAH: MAOMBI YA KUPEWA MSAADA (MSAMAHA) WA KUFUTIWA ADHABU YA KIFUNGO NILIYOPEWA NA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU.
Husika na somo hilo hapo juu. Mimi ni mfungwa katika gereza kuu Ukonga. Kwa heshma na taadhima na kwa kutambua utu na huruma yako ya ki MUNGU ulionayo dhidi ya binadamu wenzako pamoja na mamlaka uliokabidhiwa na jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Naanguka na kushika miguu yako mitukufu muheshimiwa rais.
Na kuomba msaada (msamaha) kwako muheshimiwa rais Kwa njia hii ya maandishi kusudi niweze kuondolewa adhabu ya kifungo cha maisha gerezani, niliyohukumiwa na mahakama tajwa hapo juu. Mh.Rais mimi nimefungwa nikiwa bado kijana mwenye umri mdogo. Mpaka sasa natambua wazi hatima pamoja na dhamana ya maisha yangu ipo katika mikono yako mitukufu Mh. Rais.
Naomba huruma yako muheshimiwa Rais maana mimi ni mtoto wako ninaehitaji huruma yako wewe mzazi. Natumaini kauli yako ya mwisho ndio itakayoleta pumzi ya uhai nafsini mwangu Nakutakia kazi njema, afya njema na maisha marefu.
Mungu akubariki Wako mtiifu
NO:836'04 JOHNSON NGUZA
(PAPII KOCHA)
.........navyoona mimi kitu kikubwa kwa huyu jamaa kabla ya kuomba asamehewe ni kukiri kosa au kukanusha harafu ombi ndio lifuate au mnasemaje wana jamvi........
Jk alishasema Wanafunzi wa kike wanapata mimba kwa kiherehere chao na hao pia walikuwa ni wanafunzi?
Huo Ushahidi hadi wa Video mmh! imamaana walikuwa wanatengeneza filamu? usikubali kuwa Shahidi wa Uongo Dini zinakataza... inavyosemekana wamesingiziwa na Yule mama aliyekuwa analiwa na Babu alishavuta kitambo jk angemuachia kwani wamekosa wote...
Babu seya akishirikiana na watoto wake wa kiume walikuwa wanawashawishi wale watoto wakati huo wako primary school kwa kuwapa vihela vidogo vya chipsi kisha kufanya nao mapenzi kwa njia zote yaani mbele na haja kubwa na kila aina ya uchafu yaani kwa lugha rahisi walikuwa kama wanacheza sinema za x . Na ilikuwa ni siri kubwa ndio maana hawakumshirikisha mtu yeyote wa nje. Walikuwa wanafanya wao wenyewe familia. Na kisha kuchukua au kurekodi na video camera na kwenda kuuza ulaya hasa ufaransa n kujipatia hela . As ilivyo babu seya ni mkongo na hana uchungu wowote na watoto wa hao. Na video hizo zilikutwa sokoni ufaransa na haikuwa ngumu kumtambua babu seya na wanae. Na video hizo ziliwaingizia hela nyingi sana . Na hata hao watoto walitambulika na walipopimwa hospital walikutwa wameshaharibiwa vibaya sehemu zao za siri na haja kubwa. Nalikumbuka hili tukio pale sinza baada ya kina babu seya walipokamatwa watu hasa wakina mama walilia sana kwa hasira walitaka wakichome moto kituo cha polisi. Washukuru polisi kutumia mabomu kwani wangeshauwawa na ingebaki historia sasa.
Huu bado ni Ushahidi wa Uongo elekeza wapi hizo picha zinapopatikana