Barua ya Papii Kocha kwa JK

Barua ya Papii Kocha kwa JK

Aliowafanyia makosa ya kuwanajisi wapo. Aombe msamaha kwao na kwa Mungu wake. Sidhani kama raisi atakua na huruma na wanajisi wa watoto.( Paedophiles)
 
wale watt wa mapambano walipikwa wale. ule ni uongo mtakatifu acha tu. kama hujui zaid usitafute kujua lol!

mimi mwenyewe kila nikifiria lile swala kwa akili ya kawaida tu naona kuna kitu hakipo sawa somewhere,mazingira ya tukio zima ni utata mtupu.
 
inatosha inatosha , Mhe Rais nina imani kwa uwezo wa M/MUNGU utakuwa umeipata hii barua, tumia madaraka yako na huruma yako kufanya kile huyu binaadamu amekuomba. hawezi kukumbuka kila kitu na hata kukiri makosa kama wasemavyo wenzangu, lkn hii kukuandikia tu inatosha kuona kuwa amekiri. nami naongezea kwa niaba ya familia yao nakuomba uwasamehe yeye na baba yake.(WAMEJIFUNZA)
 
Mbona hajagusia kabisa kuhusika kwake kwenye kesi au laa?
 
nadhani papii amesahau UCHUNGU WA MKE
~
via reality jokes
 
Wakipitisha tu mgombea binafsi nagombea na wafungwa wote nawaachia huru, kila atakayekosa baada ya hapo nhugu za moto...
 
Inatia sana huruma kwa kweli, tuwaombee, hope ipo siku watakuwa huru.Mheshimiwa sikia kilio cha huyu jamaa plssssss!!!
 
Lakini hawa jamaa! Kuna jambo zito nyuma ya pazia!! Kweli familia nzima!
 
Waombe Mungu CDM iingie madarakani hapo 2015...Hakika mtakuwa uraiani kama raia wengine...

Inasikitisha sana yani mtu unaomba msamaha kwa kosa ambalo hujafanya....??
 
Nimetokwa na machozi kwa huruma!
Hivi kwa nini nchi hii wanyonge wananyima haki? Viongozi wetu wakuu wamekuwa wakitumia mamlaka kuwaadhibu watu kwa sababu zao binafsi. Inajulikana kabisa kwamba walifungwa kwa mambo ya uwongo, Jk hebu waachie hawa watu, hata kama walikumegea wapotezee tu mkuu. Ndo maana unachukiwa na wananchi kwa mambo kama haya!
 
Unaomba msamaha wakati hujatenda kosa?

haa! Jamaa kafafanua kuwa hakutenda kosa hvyo wenye mamlaka walitumia mamlaka yao kuwafunga yeye pamoja na watoto wake wote. Kwn we haujui km demu wa mjomba ndo aliyesababisha haya?
 
Back
Top Bottom