Barua ya Papii Kocha kwa JK

Barua ya Papii Kocha kwa JK

mheshimiwa RAIS, mfungwa huyu ametumia neno moja kubwa saaana , anakuona wewe ndiye mzazi wake. mwanao anaomba msaada wako. ametubu makosa yake, ombi hili si kwako tu wafikishie mpaka waliotendwa wasamehe. Mungu wetu ni mwenye kusamehe, iweje sisi wanae tusisamehe. hatukushinikizi utashi ni wako.
 
nimejikuta nalia tu. ....................

aafu wale watoto walidai walilishwa vitu kama maziwa yenye wadudu wanatembea toka kwa dudu ya nguza. Na mahakama ikapokea ushahidi wa aina hii.! Sperms zinaonekana kweli!! Only in tz.
 
mheshimiwa RAIS, mfungwa huyu ametumia neno moja kubwa saaana , anakuona wewe ndiye mzazi wake. mwanao anaomba msaada wako. ametubu makosa yake, ombi hili si kwako tu wafikishie mpaka waliotendwa wasamehe. Mungu wetu ni mwenye kusamehe, iweje sisi wanae tusisamehe. hatukushinikizi utashi ni wako.

Umeandika maneno yenye busara lakini sio kwa sultani.
 
kama ni hila na fitina za baba riz 1,ipo siku nae ataonja maumivu kwa njia nyingine. kama ni makosa yako kweli mungu kackia kilio chako,na naamini ipo cku utakua huru.
Binafc nakuombea heri
 
inatia huruma sana lakini kwa kuwa ni nchi ya wasioelewa itakuwa ngumu kufahamu shida ulizonazo ndugu yangu papii mpaka leo tunakukumbuka
Watu wengine kazi kufuata mkumbo. Ile kesi mliifuatilia? Hawa ni wabakaji wa watoto.
 
Bila kutumia uhahidi wa DNA watu wengi sana watafungwa kimakosa au kwa kusingiziwa.

Ushahidi wa daktari kwamba tu alikutwa na shahawa hautoshi kwani anaweza kujamiiana na mtu mwingine na bado akaambiwa aliebaka ni mwingine.

Ifike wakati wanasheria walione hili, na huwezi kujua ubaya wa kesi za kusingiziwa kubaka mka ukumbwe na hiyo makitu! Pole Papii Kocha, kila tunapoisikia ngom yako ya SEYA huwa tunacheza lakn maumiu yakitrejea moyoni!
 
Nina matumaini makubwa kwamba rais ajaye atawaachia huru. Sasa ni dhahiri kuwa kifungo cha hao watu kilisukumwa zaidi na mambo binafsi kati ya mwenye madaraka makuu na ya juu zaidi na timu ya akina nguza.
 
Umeandika maneno yenye busara lakini sio kwa sultani.
nashukuru saana kwa kuungana mkono pamoja, lkn mkuuuu kuna jambo moja ktk tawala zetu , ndilo linalo kwa misha vitu vingi saaaana. wale waliowekwa kama wasaidizi wa rais au mkuu yoyote ktk sehemu yoyote ya umma .hawafikishi taarifa sahihi au kazi yao kuitikia tuuuuu kila kitu ndio mzee, hivyo hivyo ,hujakosea . inabidi wakati mwingine ili apate mawazo sahihi ya anao waongoza inabidi avamie mtaaani. kuokoteza maneno madogomadogo ya wananchi wake ambao hawana lugha ya upembuzi yakinifu, hali itakapo ruhusu, kipaumbele na maneno yote yanayofanana na uvivu wa kufikiria kwa undani.
 
aafu wale watoto walidai walilishwa vitu kama maziwa yenye wadudu wanatembea toka kwa dudu ya nguza. Na mahakama ikapokea ushahidi wa aina hii.! Sperms zinaonekana kweli!! Only in tz.

wale watt wa mapambano walipikwa wale. ule ni uongo mtakatifu acha tu. kama hujui zaid usitafute kujua lol!
 
So sad!
Mungu mwenye kujua hata yale ya mafichoni na aliangalie la hili la Papii Kocha na mzee wake. Na haki yako ee Mungu isimame na huruma yako imuangazie kijana wako huyu anayehitaji msaada wako.
Nimeumia sana roho!!
 
Anataka kusema amefungwa kwa matakwa ya Rais? Kama ni kwa mujibu wa sheria Rais hayuko juu ya Sheria

usikurupuke; kama hujui uliza!

Rais wa Jamhuri yetu ana kitu kinaitwa 'prerrogative of mercy' kinachompa uwezo wa kumfutia adhabu mfungwa yeyote!
 
......;

Naanguka na kushika miguu yako mitukufu muheshimiwa rais.
Na kuomba msaada (msamaha) kwako muheshimiwa rais


So inaamanisha Papii amekiri kosa (la kulawiti) na anaomba msamaha ili atoke jela.
Hivi utaratibu wa kupata msamaha wa rais huwa unakuwaje?
Unaandika barua(kama hiyo) au unaendelea kutumikia adhabu huku ukingojea huruma ya rais?
mkuu hii barua nnashangaa watu hawaoni ujumbe wa papii kwa mkuu!
ujumbe wa papii ni kuomba msamaha, ni kwa kosa gani hilo ni swala jingine, binafsi sijaona kwenye barua hiyo papii akikiri kulawiti, nnaliona kosa jongine kabisa ambalo papii anamuomba MTUKUFU rais ampe msamaha, NAKIRIKOSA, kosa jingine ingekuwa ni kulawiti angesema
 
Kwanini ishindikane kubaka watoto 10?..kama umefuatilia kisa chenyewe vizuri ni kwamba watoto hawa hawakubakwa kwa siku moja bali ni kwa nyakati tofauti.,sasa huoni kama uwezekano wa kubakwa watoto kumi upo?..najua wengi wanajiuliza kwamba inawezekana vipi baba na watoto wake wakafanya hayo tena kwa pamoja.,katika hali ya kawaida kweli inaweza kuwa ngumu lakini katika mazingira kama ya ushirikina inawezekana, so tusishangae wala kujiuliza sana kwani yote yanawezekana na binadamu tumetofautiana sana unaweza ukamuona mtu ni mwema sana lakini upande wake wa pili ni zaidi ya shetani.

kwa hili nnakataa haliwezekani, baba, na watoto wake walawiti watoto zaidi ya kumi
 
Atatoka CDM tukiingiaz mjengoni 2015 PAPII USIJALI MBONA NI KIASI CHA MUDA TU NGOJA HUYU LUSIFA AMALIZE TIME YAKE!...
Mutoto ya mfalmeeee...duh nime misi sana haya maneno...
 
Back
Top Bottom