Barua ya Papii Kocha kwa JK

Barua ya Papii Kocha kwa JK

Familia ya nguza wazidi kumuomba mungu kwani muheshmiwa naye ni binadamu huruma inaweza ikamjia...
 
Walisingiziwa? Ushahidi wa picha mpaka za video ulitolewa mahakamani, walikuwa wanawala na kuwalawiti watoto wadogo wa shule za msingi. Hao ilikuwa wauliwe tu. Si wakuhurumiwa hata kidogo, fikiria wale watoto sasa hivi wanaojiita hizi nyuzi na waneshakuwa watu wazima. Roho zao zinawauma vipi wakikumbuka unyama waliofanyiwa kwa kudanganywa kwa chipsi na biskuti!
Jk alishasema Wanafunzi wa kike wanapata mimba kwa kiherehere chao na hao pia walikuwa ni wanafunzi?

Huo Ushahidi hadi wa Video mmh! imamaana walikuwa wanatengeneza filamu? usikubali kuwa Shahidi wa Uongo Dini zinakataza... inavyosemekana wamesingiziwa na Yule mama aliyekuwa analiwa na Babu alishavuta kitambo jk angemuachia kwani wamekosa wote...
 
mshenzi mkubwa huyu, wakati unabaka watoto wa watu uliona sawa eeeee, tena mimi ningekuwa jk baada ya kupokea hii barua ningeamuru aongezewe adhabu ya viboko vi5 kila asubuhi. Pumbavuuuuuuuuuuuu

usilolijua ni kama usikuwa giza
 
Na wale mahakimu na mawakili wote unafikiri wana ujinga kiasi unachokionesha hapa? na wale watoto wote na waalimu na wazee wao waliokwenda kutowa ushahidi mahakamani nao wote wakutengenezwa?

Mambo mengine mnakuwa kama misukule hamuamini mahakama wala hata raia wenzenu basi hata watoto wadogo wasio na hatia nao hamuwaamini? tafadhali.
Mahakama zetu hazitendi haki na hii inajulikana hata yule mwenzako Zombe aliponea mahakamani wakati alikuwa

guilt_carry-man.jpg
 
Salimaaaa! Uliniacha mimi...........Wimbo huu ulichangia s
ana kwani huyo salimaa ni yupi? Au ni salma jk. Hapo ndo maana tunasema mahakama zetu zinatumiwa na wakuu

Eeeh! ndio kama nastuka vile huo Wimbo wa Salima ndio ulikuwa unammaanisha yule Mama Salma? duh kama ndio hivyo basi jamaa hawa bora waache kuandika hizo barua kwani jamaa hajawahi samehe mtu wanapoteza muda tu hebu tuuuchambueni huo wimbo.....!

Jamaa utalii ulizidi sana huku nyumbani mwenzie akawa anasikia kiu jamaa kajua mwenzie kanywa maji ndio mnywesha maji akatumwa dukani kwa mangi anunue risasasi na kaambiwa asirejee nyumbani hadi aipate hiyo risasi kimembe Mangi hauzi risasi
 
Tumia busara wewe unajua aliyemchorea Kesi?

That is entirely beside my point.

Which you haven't addressed.

Busara ni nini? Kuomba msamaha kama umekosea halafu kusema hujakosea?
 
So painfull, sasa hii barua itamfikiaje JK?
 
dah...yani inauma sana dah.... Jamaa ameandika kwa uchungu sana, inauma sana kwakweli jamani dah kweli kabla hujafa hujaumbika, i hope ndugu atasikia kilio chake amsaidie kijana mwenzetu atoke keko
 
Du! kwani JK hajui kama kina papii hawakufanya makosa bai walisingiziwa kesi?............ Suala la kina papii linaniuma hadi kesho na milele sitampenda JK
 
Du! kwani JK hajui kama kina papii hawakufanya makosa bai walisingiziwa kesi?............ Suala la kina papii linaniuma hadi kesho na milele sitampenda JK

hakuna asichojua,na kama ni msamaha wa raisi angekua amewapa zamani sana.
 
hakuna asichojua,na kama ni msamaha wa raisi angekua amewapa zamani sana.

huyu mzee wa bifu hawezi kumuachia yeye anataka kuwakomoa sijui na wengine wangekuwa na nafasi kama yeye wangemfanya nini kwa namna yeye nae anavyokula vya watu
 
Back
Top Bottom