Barua ya Lema kutoka Gerezani Arusha

Barua ya Lema kutoka Gerezani Arusha

Akitoka humo itakuwa amejifunza kuandika vitabu Badala ya kutukana. Kweli magereza ni shule
Nawe ni mbumbumbu kama mwanzilishi wa magreza? Hebu nipe faida moja mnayoipta kwa kumweka mahabusu huyo Lema. Kisha uniongeze na hasara moja tu nchi itapata kama huyo Lema akiwa uraiani.
Badala ya kumshawishi alale tena ili aote ndoto za namna ya kuuinua uchumi wetu uliokonda kuliko miaka miwili iliyopita mnamfungia! Watu wa ajabu Sana ninyi na huenda ndio maana ya rangi ya sare zenu kuwa za kijani. Fikirini na hangaikieni uchumi acheni siasa za kukomoana na visasi kwani Hazina mwisho mzuri.
 
Nimeisoma barua ya [HASHTAG]#Lema[/HASHTAG] anaonekana kujuta, hana furaha huko jela , anatamani maisha ya uraiani, na nukuu "Natamani sana nihudhurie Harusi yako, natamani ningeruhusiwa kuja kushiriki tu alafu nirudi tena jela , ila hawanihamini.." "nazani Lema na machozi yanamtoka sana..

Lema anaendelea katika barua yake "Leo jela tulifungiwa mapema sana" anaonekana kujuta sana mfalme Lema..

Pia Lema amesisitiza sana kwa mlengwa wake awe karibu na Mungu katika ndoa yake.. Ili ipate baraka..

Lema pia ameonekana kujuta kukaa jela anasema "Nilipania sana hii ndoa, katika ishu ya mavazi, alitaka kuvaa vizuri ila ndio hivyo yupo nyuma ya Nondo

lema aache kudeka mbona kuna wanaume huko wamekaa miaka zaidi ya 2 . halafu kama anajifananisha na mandela mbona yeye alika 27yrs na kazi ngumu juu kwa nin yeye aanze kudeka mapema hivyo
 
Nchi yangu Tanzania! Waliokamatwa na mabunduki 17 kwa uwindaji haramu wa tembo (uhujumu uchumi) wamepata damana ndani ya siku 3 alieota na kusema ameota nini ananyimwa damana!!!......kisa? Kumpendezesha aliewateua!! Katiba katiba katiba......! Ikulu ni mahala patakatifu..msipigane ndani ya ikulu ni mwiko na laana........


Hapo ndipo imani yangu ya Nchi ya Viwanda chini ya CCM inapoyeyuka bila kujali aliyeukwaa Uprezedaa ana imani safi na waminifu kama Yesu.
 
Nawe ni mbumbumbu kama mwanzilishi wa magreza? Hebu nipe faida moja mnayoipta kwa kumweka mahabusu huyo Lema. Kisha uniongeze na hasara moja tu nchi itapata kama huyo Lema akiwa uraiani.
Badala ya kumshawishi alale tena ili aote ndoto za namna ya kuuinua uchumi wetu uliokonda kuliko miaka miwili iliyopita mnamfungia! Watu wa ajabu Sana ninyi na huenda ndio maana ya rangi ya sare zenu kuwa za kijani. Fikirini na hangaikieni uchumi acheni siasa za kukomoana na visasi kwani Hazina mwisho mzuri.
Lema anataka awe kama Mandela na pia kumbuka asiyefunzwa na mama yake dunia itamfunza
 
Wadau Lema akitoka atengeneze movie.. Itauza sana
 
Tatizo la Lema ni kua anajifanya anaigiza muvi kwamba yeye ni stelingi kama Rambo na serikali ni maadui! Shauri yake. Hizi muvi za Lema ndio kama zile za kihindi picha inaanza stelingi anafia kwenye maua!
 
lema aache kudeka mbona kuna wanaume huko wamekaa miaka zaidi ya 2 . halafu kama anajifananisha na mandela mbona yeye alika 27yrs na kazi ngumu juu kwa nin yeye aanze kudeka mapema hivyo
We mama [emoji196] unaongea kitu gani
 
Ina maanisha Mhe. hajui kuandika? Mbona katia dole? AMA aliko hakuna kalamu?
 
kwaajili ya ustawi wa amani na mshikamano tza, hakuna sababu yeyote ya msingi kuendelea kumshiklia lema gerezani, ni ubabe na ina hasara zaidi ya faida kwa mustakabadhi wa amani na mshikamano wa watz wote bila kujali vyama. kusema jambo lolote hata kama sio zuri dhidi ya mkuu wa nchi, ni kosa la kawaida, kwasababu rais sio Mungu, na hatakiwi kuabudiwa. katika democrasia wakati mwingine hata kama alichofanya ni kibaya machoni pa Mungu (alichofanya lema), kibinadamu unaacha tu tuvumiliane kama Mungu anavyotuvumilia ili watu wasikae na vinyongo moyoni, na zaid sana isionekana aliyetukatwa ana onekana kama vile anaabudiwa. ni mtu tu huyo. angekuwa marekani si angeshafunga watu nchi nzima? hata trump angekuwa gerezani leo.
Tunatengeneza chuki bure
 
I am now getting angry tutakaa hadi lini bila mbunge? Ukitoka shugulikia mambo ya maana Kama upatikanaji wa maji shule hospitali barabara viwanja nk jifunze kwa dogo janja Arumeru mashariki
Atatoka tu, hata Mandela alikaa muda ulipofika akatoka.
 
Nchi yangu Tanzania! Waliokamatwa na mabunduki 17 kwa uwindaji haramu wa tembo (uhujumu uchumi) wamepata damana ndani ya siku 3 alieota na kusema ameota nini ananyimwa damana!!!......kisa? Kumpendezesha aliewateua!! Katiba katiba katiba......! Ikulu ni mahala patakatifu..msipigane ndani ya ikulu ni mwiko na laana........
alifanya kosa la uchochezi akiwa nje kwa dhamana, ambapo alikuwa amewekwa sero kwa kosa la uchochezi!.

unampaje mtu dhamana ambaye alishindwa kuheshimu dhamana aliyokuwa nayo akafanya tena kosa la uchochezi??

Ni sawa na mtu uibe, upate dhamana, ukiwa nje kwa dhamana ukaibe tena kabla ya kesi yako kuisha.. unawezaje kupata dhaman tena?? wacha wamfundishe adabu. inauma lakini ndo hali halisi.

hajanyimwa dhamana kwa kosa la kusema eti kaota rais anakufa, amenyimwa dhamana kwa kukiuka masharti ya dhamana aliyokuwa nayo.
 
Back
Top Bottom