Mbona haina emblem ya police?
Kuitwa police kufanya nini? Haijaelezea hiyo barua kuwa wanamwita afanye nini?
Kingine why imeelekezwa kwa Mnyika wakati wanajua kuwa anashughuli za bunge?
Why wasianze na kina Dr Slaa na Lema kwani hawana kazi za kibunge?
Nadhani hii ineandikwa na police wa jf.
Alie andika akafanye editting aweke hata emblem ya kubumba.