popobawa2012
Senior Member
- Jul 5, 2012
- 135
- 21
Wadau naomba mwongozo hapa, hizi hati za kuitwa polisi huwa hazichapwi kwenye letter head ya jeshi la polisi?? hakuna cha anwani wala nini, hii imekaaje?
changa la macho hakuna kitu apo mdau
Wadau naomba mwongozo hapa, hizi hati za kuitwa polisi huwa hazichapwi kwenye letter head ya jeshi la polisi?? hakuna cha anwani wala nini, hii imekaaje?
hii ni kama mchezo wa kuigiza, sijawai kuona barua hapohapo na dispach hapohapo, halafu mtu unataka akupe taarifa za kukusaidia kazi yako badala ya kuweka neno "unaombwa kufika polisi" unasema "unaamriwa" hizo amri hukohuko jeshini.