IFUNYA
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 363
- 130
Mheshimiwa Mnyika tafadhali usiende huko watakuli-Ulimboka. Barua za polisi lazima ziwe na nembo ya Jeshi la Polisi si kama hii. Na ni lazima ipitie kwa mkuu wako (Spika) maana tayari uko kwenye imaya yake kikazi. Ukienda ujue haurudi tena, ama utarudi ni kipofu au vinginevyo. Huu ni ushauri wangu kwako.