Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,531
- 8,616
well said zanaki...
Zanaki,
Heshima mbele, finally you got it right, mtandao hawamuwezi Spika ingawa michezo yao ni hasara kwa taifa at large!
Eeh bwana amewaongeza wabunge masilahi kinyemela, halafu siku hizi wanaenda Europe kila siku bro, el alishajaribu ku-explorer idea ya kumtosa,
lakini Muuugwana akamuonya kuwa do not even think, Spika ni ngoma nzito uliza Msekwa! Siku hizi el hulia lia tu kwa pembeni!
Mimi naona hii inatosha. Kama alivyosema spika, kuna mambo makubwa ya maana kwa bunge kuyashughulikia sio upuuzi wa siasa za kutafuna za CCM. Of course, hapakuwa na jambo la kuchunguza pale in the first place. 100m could have sponsored 50 students at any university in TZ.
Tumeshaona pumba na mchele ziko wapi. Mtu mzima kama Dr Dau alikubali kwenda kutoa ushahidi kwenye kesi hii, kama sio uzuzu na ushapukuna ni nini?
Hapa ni contradictions,Kila kukicha.Ninavyofikiri mimi wataendelea kwani lile linahusiana na tuhuma za rushwa zilizotolewa na Mh.Ndesamburo.Wazee,
Kwa mjadala wa Malima na Mengi kufungwa na spika, ina maana hata PCB wataacha kufuatilia tuhuma au madai ya rushwa??
Habari zilizopo ni kwamba hili sakata la Malima vs Spika lilikuwa linaelekea pabaya........
Matokeo yake ni wao na Malima kusalimu amri na kunyanyua kitambaa cheupe!
Kwenye Daily News leo kuna picha,ukurasa wa pili ikionyesha PM,Spika na Malima wakiwa pamoja wakicheka saana.
Inasemekana,baada ya kikao,Spika akitoka ukumbini,Malima akiwa na PM alimfuata Spika na kumkumbatia,huku akimuacha spika akishangaa,and the picture in the Daily News was taken moments after that.Hio yote ilikuwa ni PR stunt
Malima alikuwa amepangiwa ajali kubwa sana,na kwa waliotazama taarifa ya habari jana,watakumbuka kumuona Halima Mdee akisoma taarifa ndefu iliyokuwa ina lengo la kummaliza kabisa Malima.Inasemekana,yale aliyoyasoma Mdee yalitoka kwa Spika.
Kilichonimaliza mimi hapa ni jinsi EL na timu yake walivyom-underrate Spika,and how could they? Slogan ya 'Kizazi Kipya,Nguvu Mpya,Kasi Mpya" ilitoka kwa Sitta,leo wanamuona chizi! Huyu ndio ilikuwa awe PM,lakini jamaa wakamuwahi na form za uspika na kumuahidi kuwa mkewe atapewa uwaziri!
Ile kauli ya kuwa huo mjadala kaumaliza,ilikuwa ni jeuri,na hakuna mtu atapinga,because theres a lot of stake in it.................Its high time the Prez made the re-shuffle we have all been anticipating for sometime
jamani spika kalifunga hili, na sisi naona tulifunga kwani "tunajua Spika yukoje, Mengi yukoje, na Malima yukoje"... Nadhani, Spika anahitaji kupewa "ushauri nasaha" au tuamua kumudhibu kwa kupuuzia uamuzi wake kwani "ametusononesha" sana kwa kitendo chake cha kusita kutoa uongozi.. Kanuni ya 15 yangu ya uongozi inasema "kama wewe kiongozi, ongoza! ama sivyo utafuata"!
Sound sarcastically nice... Just to add on to that..
Hasa ukizingatia kuwa hii forum ina miaka miwili tu, ukifika wa tatu na wanne, watu watatuona Irrelevant, na hakuna kitu kibaya kama mtu kuonekana irrelevant.
Wana JF kumbukeni pia tuna jukumu la kumsadia Mh Rais Jakaya kwenye masuala magumu ya wananchi.
Baadae watu hawata tu judge nani kafanya postings ngapi humu bali shule, makalvati. barabara nk ( pigeni makofi basi..)