THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
tutashauriana na chama tufanye tena ziara kusini, ziara ya kusikiliza wananchi
lione kwanza
kweli wewe umeaga kwenu
roho mbaya na ya uzandiki kama hii ni ya kichawi kabisa
tutashauriana na chama tufanye tena ziara kusini, ziara ya kusikiliza wananchi
Invisible unaweza kutuambia ni nini hiki??
Tokea jana naona hayo mambo akiquotiwa tuntemenke anakuja gwakisa au muumin safi???whats wrong ni mtu mmoja au?
Invisible unaweza kutuambia ni nini hiki??
Tokea jana naona hayo mambo akiquotiwa tuntemenke anakuja gwakisa au muumin safi???whats wrong ni mtu mmoja au?
Huyu mjamaa anasikitisha kweli ,halafu anakuja na porojo hamjui Ben.lione kwanza
kweli wewe umeaga kwenu
roho mbaya na ya uzandiki kama hii ni ya kichawi kabisa
Zitto haya sasa unaumbuka kila kukichaTutashauriana na chama tufanye tena ziara kusini, ziara ya kusikiliza wananchi
Tutashauriana na chama tufanye tena ziara kusini, ziara ya kusikiliza wananchi
Tuseme kama hii comment atakua nani kaiandika katika wale PM7??waraka unasemaje?Hii inakuuma kwa sababu zitto ndio kaitwa Mh:rais.Mm sifanyi propaganda za kipuuzi za kumsifia zitto.Who is zitto kwangu mm?anamaisha yake na mm nayangu.
Ujumbe umemfikia kama ulivyotumwa.Likiondolewa neno Mh.rais hapo najua huwezi sema chochote..unaumia coz ujumbe una neno Mh.rais.
jamani huyo Zitto mnamfahamu vizuri lakini? Uraisi sio kuwa na bezi yaani sauti nzito, URAISI NI KUWA NA HESHIMA NA AKILI YA KIUTU UZIMA!!!
Tutashauriana na chama tufanye tena ziara kusini, ziara ya kusikiliza wananchi
kwa nini mnamchukia Zitto kiasi hicho?kwa nini tusiamini hizo chuki zenu zinatokana na kwamba mnaona jamaa anahatarisha maslahi ya mabwana zenu?au ndio ukanda na udini?Zitto amekuwa akiibua hoja ambazo amekuwa akizipigania na tunashuhudia zinaleta positivu impakti kwa nchi hii may be zaidi ya viongozi wengi tu wa upinzani,so why do u guyz still mnamchukia hivyo?but all in all namkubali sana jamaa coz anafahamu njia bora za kufaiti majungu na fitina zenu na kurudi kwenye gemu akiwa bora zaidi!!!
Mungu hana makosa katika uumbaji wake ndio maana kamfanya huyu mtu sura yake ifanane na roho yake ya ushetani. He is done politically. TUMTEMEKE kwisha