TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
- Thread starter
- #41
Ndugu Zitto , umeusoma waraka huu wote ?
Unapojaribu kutoa jibu sahihi kwa swali lilikosewa , unajiweka katika kundi gani ?
Unakubaliana na cheap politics anazokufanyia Muumin Safi ?
waraka unasemaje?Hii inakuuma kwa sababu zitto ndio kaitwa Mh:rais.Mm sifanyi propaganda za kipuuzi za kumsifia zitto.Who is zitto kwangu mm?anamaisha yake na mm nayangu.
Ujumbe umemfikia kama ulivyotumwa.Likiondolewa neno Mh.rais hapo najua huwezi sema chochote..unaumia coz ujumbe una neno Mh.rais.