Barua kwa Mhe. Zitto kutoka Mtwara

JAna(21desemba2012 ) nilikua nilikua katika kikao cha kupitia rasimu ya gesi katika ukumbi wa pentekoste ulioandaliwa na MTWANGONET,ONGEA,MRENGO,tulikua wananchi wengi kwa kweli,tulipitia rasimu bado tumeona kuna ubabahishaji kwa wananchi wamesema GESI HAITOKI MTWARA,ila wanasema umeme upelekwe kwa njia ya nguzo katika gredi ya taifa,ila gesi gafi haitoki,na wametoa taadhari kwa balozi wa china hasipeleke wafanyakazi kusini kitachachowakuta hitakua historia
 
Ni jambo la ajabu sana kwa wana JF wengi kuendelea mtu mmoja kama vile bila huyo mtu basi hakuna ukombozi.Tuchukue mfano mzuri wa afrika kusini katika kupigania uhuru wake toka kwa kaburu, kulikuwa na wanafiki wengi na wenye mapenzi ya dhati ya ukombozi ambao damu zao zilimwagika na leo wa-afrika kusini wanafurahia matunda hayo.
Ukombozi wa wa-tanganyika haumtegemei mtu mmoja tu bali nguvu ya umma.Kwanini hatujifunzi kwa wenzetu wa nchi za afrika ya kaskazini?Inawezekana kabisa si mtu mmoja ndio atawafikisha wa-tanganyika katika nchi ya ahadi.
Wote wenye mapenzi mema na taifa hili,sote twamjua adui yetu ni mmoja.Tuwekeze nguvu zetu katika mapambano hayo tumng'oe mkoloni huyu.
 
Kumbe hizi ndizo zilikuwa harakati za PM7.... Kijana na kundi lake wana safari ndefu sana... wakikua wataacha ujinga huu!
 
we tuntemeke acha kuandika mambo ya kishabiki na kinafiki humu ndani...zitto hawezi kuja kuwa rais labda muende kwa wachawi....unapiga debe kipuuzi sana yani...tumieni akili nyie kinatuntemeke
:shut-mouth:
 
Gwakisa Gwakisa Gwakisa Gwakisa Tuntemeke Tuntemeke Tuntemeke Gwakisa Tuntemeke jamani CHADEMA mnamlea Gwakisa wa nini? Kijana sisi waNyakyusa unatuangusha wakukaja!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom