Barua kwa Mhe. Zitto kutoka Mtwara

Barua kwa Mhe. Zitto kutoka Mtwara

Kweli umepokea email. Ila ungewajulisha CDM kwa ujumla wao, au angaliwajulisha CDM kwa ujumla wao na siyo ZZK. Huu ujumbe una-tourch

Mkuu chadema wote wanashinda humu.nadhani ujumbe umewafika wote.Amemuagiza Zitto kwa sababu amesema nanukuu
"Muheshimiwa rais mungu amekujalia wewe binafsi kuwa na huruma hebu tuhurumie sisi vijana wa Mtwara, hebu tumia hiyo huruma yako kuiokoa Tanzania, hebu tumia huruma yako kuondosha balaa, na katika hili usimuamini mtu njoo uongee na sisi wamachinga, uongee na sisi bodaboda na wengine wengi"
 
Mkuu chadema wote wanashinda humu.nadhani ujumbe umewafika wote.Amemuagiza Zitto kwa sababu amesema nanukuu
"Muheshimiwa rais mungu amekujalia wewe binafsi kuwa na huruma hebu tuhurumie sisi vijana wa Mtwara, hebu tumia hiyo huruma yako kuiokoa Tanzania, hebu tumia huruma yako kuondosha balaa, na katika hili usimuamini mtu njoo uongee na sisi wamachinga, uongee na sisi bodaboda na wengine wengi"

hata wale wanao okota makopo barabarani walianza hivihivi, ko jiangalie mi nakwona unadalili zote za ukichaa
 
Huu ni ujumbe mzuri sna ambao unapaswa kuwafikia watawala ambao bado wanaamini ya kuwa watanzania wa leo wanaweza kuburuzwa tu na kupewa majibu mepesi kwa masuala mazito yanayowahusu wao na vizazi vyao vya baadae.

Niungane na mwandishi wa waraka huu, kukiri kuwa kusini kuna matatizo,kusini kunafukuto la hatari ambalo kama halitaangaliwa kwa umakini na kutafutiwa dawa kungali mapema, KITANUKA!
Wananchi wa kule wamechoka kuburuzwa na kurubuniwa kula kukicha,WAKO TAYARI KWA LOLOTE!HAWATANII.

Pamoja na ujumbe mzuri uliomo kwenye waraka huo, mimi nina mashaka na aliyelieta bandiko hili kama ni kweli anaguswa na matatizo ya watu wa kusini au ameamua kujivika jukumu la kutaka kuuaminisha umma kuwa wana kusini wana mtambua ZZK kama ndiye rais wao na si JK.
Nadhani anafanya kazi ya kuwalisha maneno wana kusini!SIO FAIR HATA KIDOGO

Mwandishi wa waraka huu ni mtu makini sana, ninamfahamu vizuri kiasi kwamba siamini kama hafahamu kuwa JK ndiye rais na ndiye aliyemlenga kwenye waraka wake.
Aliyebandika humu amefanya editing ya kwake tena kwa malengo anyoyajua yeye ili umma uamini kuwa aliyelengwa na mwandishi ni ZZK na si JK..Cha kushangaza amekosa umakini kwa kugonganisha mambo humo ndani,.
Ameitaja CHADEMA ili tuamini kuwa amelengwa ZZK na wakati huo huo anawataja kina KINANA NA WALE MAWAZIRI WALIOZOMEWA KULE MTWARA, huku akiwarefer kama vijana wa mh Rais.SASA JE TANGU LINI KINANA NA WALE MAWAZIRI NI VIJANA WA ZZK?

Ninachokuomba ndugu uliyebandika waraka huu, muombe radhi ndugu Baltazar Komba kwa kuutumia waraka wake kufanikusha hila zako kinyume na madhumuni ya waraka wake!

ASANTE!
 
SALAM KWA RAIS WANGU MPENDWA…..MTWARA KUNA TATIZO.

Na Baltazar B.komba.

Muheshimiwa Rais wangu naomba unisikiliza kuhusu masuala mawili makubwa yanayo zizima hapa Mtwara swala la kwanza ni suala la gesi, wananchi hawajui chochote kuhusu gesi na unajua kama ulivyo sema siku ile ukihutubia pale Dar salaam wakati timu yetu ya ushindi ikiwa inapongezwa nakumbuka ulisema hivi nanukuu wao wakisema tusipo jibu hata kama ni uongo utakuwa ni ukweli.

Muumini Safi , dhumuni lako halisi ni lipi ?
Mbona maelezo yote na mfano hapo nilipo bold yanaonyesha barua inaenda kwa JK na sio Zitto ?
Tuache siasa uchwara, kwanza hazimsaidii Zitto zaidi ya kumbomolea taswira yake mbele ya watu makini ,
Mh Zitto ana uwezo mzuri wa kujenga hoja na akafanikiwa zaidi badala ya kutumia njia za uchochoroni kama hizi ili kuaminisha umma ana umaarafu kila sehemu.
Vijana, hizi cheap popularity hudumu muda mfupi vilevile , kama kweli una uwezo jenga hoja utaheshimika mpaka na vitukuu wa vitukuu vyetu
 
Huu ni ujumbe mzuri sna ambao unapaswa kuwafikia watawala ambao bado wanaamini ya kuwa watanzania wa leo wanaweza kuburuzwa tu na kupewa majibu mepesi kwa masuala mazito yanayowahusu wao na vizazi vyao vya baadae.

Niungane na mwandishi wa waraka huu, kukiri kuwa kusini kuna matatizo,kusini kunafukuto la hatari ambalo kama halitaangaliwa kwa umakini na kutafutiwa dawa kungali mapema, KITANUKA!
Wananchi wa kule wamechoka kuburuzwa na kurubuniwa kula kukicha,WAKO TAYARI KWA LOLOTE!HAWATANII.

Pamoja na ujumbe mzuri uliomo kwenye waraka huo, mimi nina mashaka na aliyelieta bandiko hili kama ni kweli anaguswa na matatizo ya watu wa kusini au ameamua kujivika jukumu la kutaka kuuaminisha umma kuwa wana kusini wana mtambua ZZK kama ndiye rais wao na si JK.
Nadhani anafanya kazi ya kuwalisha maneno wana kusini!SIO FAIR HATA KIDOGO

Mwandishi wa waraka huu ni mtu makini sana, ninamfahamu vizuri kiasi kwamba siamini kama hafahamu kuwa JK ndiye rais na ndiye aliyemlenga kwenye waraka wake.
Aliyebandika humu amefanya editing ya kwake tena kwa malengo anyoyajua yeye ili umma uamini kuwa aliyelengwa na mwandishi ni ZZK na si JK..Cha kushangaza amekosa umakini kwa kugonganisha mambo humo ndani,.
Ameitaja CHADEMA ili tuamini kuwa amelengwa ZZK na wakati huo huo anawataja kina KINANA NA WALE MAWAZIRI WALIOZOMEWA KULE MTWARA, huku akiwarefer kama vijana wa mh Rais.SASA JE TANGU LINI KINANA NA WALE MAWAZIRI NI VIJANA WA ZZK?

Ninachokuomba ndugu uliyebandika waraka huu, muombe radhi ndugu Baltazar Komba kwa kuutumia waraka wake kufanikusha hila zako kinyume na madhumuni ya waraka wake!

ASANTE!

Mkuu,umemaliza kila kitu
 
Wana bodi, huu ujumbe ni mrefu, lakini umebeba ujumbe mkubwa sana!! Hongera sana kwa aliye uleta hapa na hasa yule aliye uandika.
Naona wadau wanataka kupoteza maana na kusema raisi ni ZZK, hapana raisi anajulikana.
Kama leo yale majimbo yaliyo semwa ni Ngome yanapata mwamko huu, hii ni hatua kubwa sana kitaifa. Hao wana mtwara wasipokuwa makini watakuwa kama wana nyamongo, watakufa kwa risasi, maana watafanya uvamizi baada ya gesi kuanza chimbwa, BORA wakaweka huo msimamo, na wakaitaka serikali iseme wanamtwara wanapata nini. Hebu wadau semeni, Shinyanga, kahama, Musoma na Mwanza mnapata nini kwa ajili ya maendeleo kutokana na uchimbaji wa madini, upasuaji wa baruti!!! hamna maendeleo hamna ajira kwa maeneo hayo.
Kwenye jambo la ARDHI hilo kwa kweli kama nchi haitaweka sheria nzuri, wananchi watakuwa wavamizi. kila sehemu ambako upimaji umefanyika umeacha maumivu, Mwanza ilibidi waende na FFU, hiyo ni halali? Nimesikia Rais naye analalamika bei ya ardhi kwa wananchi ni kubwa sana, ipunguzwe, kweli??? nashindwa jua nani anapanaga bei ya ardhi, navigezo gani vinatumika. matokeo ni Iflation.
Je hicho kikao cha vyama mtwara kimekucha na suluhisho gani?, hebu waliopo huku watujuze .
 
Salama kabisa mkuu Shard Cole.
Naona bila kumtaja Juliana Shonza huna raha.
Watu wa mtwara wamepeleka kilio chao kwa rais wao Zitto kabwe we unaanza kutaja taja majina ya watu.
Au hujui kwamba Zitto ndie rais ajae?
Mikoa yote ya kusini watampa kura maana Mbeya mlikokuwa mnategea ndo washamshtukia mzee wa kadi mbili mbili.
Kanda ya ziwa wazee wa kura nyingi wao mnawajua msimamo wao kitambo.

Hiyo Arusha mnayoitegemea hamuwezi pata kura zote mtagawana na Zitto nadhani mnakumbuka mapokezi ya rais ajaye Karatu miezi michache iliyopita!
Zitto go go go goooo!
your votes count!
Your votes count!
 
Wana bodi, huu ujumbe ni mrefu, lakini umebeba ujumbe mkubwa sana!! Hongera sana kwa aliye uleta hapa na hasa yule aliye uandika.
Naona wadau wanataka kupoteza maana na kusema raisi ni ZZK, hapana raisi anajulikana.
Kama leo yale majimbo yaliyo semwa ni Ngome yanapata mwamko huu, hii ni hatua kubwa sana kitaifa. Hao wana mtwara wasipokuwa makini watakuwa kama wana nyamongo, watakufa kwa risasi, maana watafanya uvamizi baada ya gesi kuanza chimbwa, BORA wakaweka huo msimamo, na wakaitaka serikali iseme wanamtwara wanapata nini. Hebu wadau semeni, Shinyanga, kahama, Musoma na Mwanza mnapata nini kwa ajili ya maendeleo kutokana na uchimbaji wa madini, upasuaji wa baruti!!! hamna maendeleo hamna ajira kwa maeneo hayo.
Kwenye jambo la ARDHI hilo kwa kweli kama nchi haitaweka sheria nzuri, wananchi watakuwa wavamizi. kila sehemu ambako upimaji umefanyika umeacha maumivu, Mwanza ilibidi waende na FFU, hiyo ni halali? Nimesikia Rais naye analalamika bei ya ardhi kwa wananchi ni kubwa sana, ipunguzwe, kweli??? nashindwa jua nani anapanaga bei ya ardhi, navigezo gani vinatumika. matokeo ni Iflation.
Je hicho kikao cha vyama mtwara kimekucha na suluhisho gani?, hebu waliopo huku watujuze .

Ni kweli mkuu rais anajulikana.
Tzzk 2015
 
Wana bodi, huu ujumbe ni mrefu, lakini umebeba ujumbe mkubwa sana!! Hongera sana kwa aliye uleta hapa na hasa yule aliye uandika.
Naona wadau wanataka kupoteza maana na kusema raisi ni ZZK, hapana raisi anajulikana.
Kama leo yale majimbo yaliyo semwa ni Ngome yanapata mwamko huu, hii ni hatua kubwa sana kitaifa. Hao wana mtwara wasipokuwa makini watakuwa kama wana nyamongo, watakufa kwa risasi, maana watafanya uvamizi baada ya gesi kuanza chimbwa, BORA wakaweka huo msimamo, na wakaitaka serikali iseme wanamtwara wanapata nini. Hebu wadau semeni, Shinyanga, kahama, Musoma na Mwanza mnapata nini kwa ajili ya maendeleo kutokana na uchimbaji wa madini, upasuaji wa baruti!!! hamna maendeleo hamna ajira kwa maeneo hayo.
Kwenye jambo la ARDHI hilo kwa kweli kama nchi haitaweka sheria nzuri, wananchi watakuwa wavamizi. kila sehemu ambako upimaji umefanyika umeacha maumivu, Mwanza ilibidi waende na FFU, hiyo ni halali? Nimesikia Rais naye analalamika bei ya ardhi kwa wananchi ni kubwa sana, ipunguzwe, kweli??? nashindwa jua nani anapanaga bei ya ardhi, navigezo gani vinatumika. matokeo ni Iflation.
Je hicho kikao cha vyama mtwara kimekucha na suluhisho gani?, hebu waliopo huku watujuze .

sio kupoteza maana.ukweli ni kwamba zitto anaonekana kukubalika kitaifa zaidi from kigoma tu mtwara..muda si mrefu utasikia rombo
 
Zitto ni magwanda halisi bungeni,naweza sema ni rais wa chadema bungeni ila awapo njee dr.slaa ndilo jembe na kila mtu analijua hilo. Kuitwa Zitto kusini mwa Tz sipati shda sana kwani wengine mikoa ya huko kusini wanaamini kuwa, Hayati Nyerere yupo hai na bado ni rais wao pia. Ninachoweza sema ni kwamba,ktk uchaguzi ujao 2015, Zitto awe bega kwa bega na dr.wa ukweli nchi nzima hasa kusini kwani wananchi pia wanamkubali sana na jimbo kwake hana mpinzani hvyo hakuna haja ya kupoteza muda kupiga kampeni.

umenena vema mkuu ni zamu ya Dr. Slaa kumsaidia Zitto kampeni 2015 maaba yeye ameshawasaidia Mbowe na Slaa.
Ila tumuombe arejeshe kadi yake CCM kwanza.
 
Quadrat Jr Mkuu naomba usipotoshe chochote kwenye waraka huu.
Mm ndio nimeuleta na nimetumiwa kwenye email yangu ya public service nimfikishie zitto
Aliyenitumia picha ninayo na ninamwasiliano naye.

Sasa wewe unaposema nimeedit nakuomba sana urekebishe kauli.
Yawezekana wazi una hila kuona zitto ameitwa rais na sio vinginevyo.Lakini hila zako za kuzuia baraka za zitto kuitwa Mh. rais hazitafanikiwa kabisa. Zaidi ya mungu wa juu aliye mbinguni.
 
Last edited by a moderator:
sio kupoteza maana.ukweli ni kwamba zitto anaonekana kukubalika kitaifa zaidi from kigoma tu mtwara..muda si mrefu utasikia rombo

Kama nilivyandika kwenye bandiko langu hapo juu, we ndugu una malengo yako na wala husukumwi na matatizo ya wana kusini.
Lengo la mwandishi wa waraka huo ni kufikisha kilio cha ndugu zetu wa huko kwa mh JK na wala sio kama ambavyo unafanya wewe kumfanyia kampeni ndugu ZZK!

Kitendo hiki ndugu yangu ni dhambi kubwa, lakini wala hutaki kulitambua hilo.

Ni kweli kuwa ZZK ni kiongozi kijana shupavu na anakubalika kila kona ya nchi hii lakini sidhani kama amekutuma uutumie waraka wa ndugu Komba kwa kuongeza neno chadema ili umfanyie kampeni.

EBU ONA AIBU NDUGU!
 
Tutashauriana na chama tufanye tena ziara kusini, ziara ya kusikiliza wananchi
 
Mkuu naomba usipotoshe chochote kwenye waraka huu.
Mm ndio nimeuleta na nimetumiwa kwenye email yangu ya public service nimfikishie zitto
Aliyenitumia picha ninayo na ninamwasiliano naye.Sasa wewe unaposema nimeedit nakuomba sana urekebishe kauli.
Yawezekana wazi una hila kuona zitto ameitwa rais na sio vinginevyo.Lakini hila zako za kuzuia baraka za zitto kuitwa Mh.rais hazitafanikiwa kabisa.Zaidi ya mungu wa juu aliye mbinguni.

Ndugu sina hila yoyote, kama umetumiwa na wewe hujafanya editing yoyote kufanikisha malengo yako ,KWA NINI HUKUSOMA VIZURI KUONA HIZO EDITING ZA HOVYO ZILIZOFANYWA?
Huo sio utetezi ndugu.
Ninachokuomba ebu usome tena huo waraka ulioubandika halafu tueleze kama upo sawa sawa na unacholazomisha tukikubali!
 
Muumini Safi , siasa za kitoto kama hizi zinamuabisha Zitto , kama hawa ndo watu wanaompigia propaganda Zitto ,
Basi Zitto bado ana safari ndefu sana , unadhani kwa mtu yeyote mwenye akili sawa akiisoma hii article hatashindwa kutambua inaelekezwa kwa JK na sio Zitto ,
unafaidika nini na hizi siasa uchwara ?
 
There are currently 98 users browsing this thread. (31 members and 67 guests)

 
Tutashauriana na chama tufanye tena ziara kusini, ziara ya kusikiliza wananchi

bila shaka namba zake zipo hapo unaweza faanya naye mawasiliano kuandaa mkutano
 
Tutashauriana na chama tufanye tena ziara kusini, ziara ya kusikiliza wananchi

Ndugu Zitto , umeusoma waraka huu wote ?
Unapojaribu kutoa jibu sahihi kwa swali lilikosewa , unajiweka katika kundi gani ?
Unakubaliana na cheap politics anazokufanyia Muumin Safi ?
 
Muumini Safi , siasa za kitoto kama hizi zinamuabisha Zitto , kama hawa ndo watu wanaompigia propaganda Zitto ,
Basi Zitto bado ana safari ndefu sana , unadhani kwa mtu yeyote mwenye akili sawa akiisoma hii article hatashindwa kutambua inaelekezwa kwa JK na sio Zitto ,
unafaidika nini na hizi siasa uchwara ?
wewe Unachohangaika chote hapa nikwasababu ameandikiwa zitto lete email yako nikutumie copy yenye picha n.kNifanye eding ili iweje?
Nimeipataje mm hii taarifa?Ningekuwa na uwezo wa kufanya eding wala msingeona hata hao aikana hawa ghasia wala nini.Mm nimeipokea nimeisoma na kuileta kama ilivyo.
Hivi unadhani ningeamua kufanya editing si ningefanya?sasa nimewaletea fresh milk.Mnaona kisirani kwasababu inakwenda kwa zitto
 
hongereni wana Mtwara kwa kutambua haki zenu, ila muache kuwapa CCM kura za bwerere.
 
Back
Top Bottom