Barua hii ya Kijasusi kutoka Uingereza kuhusu uchunguzi wa mtoto wa mgombea Urais Mtarajiwa ....

Status
Not open for further replies.
mkuu unajuaje kama hii barua (kama ni geniune) haijavujishwa na wahusika wenyewe?
mchezo wa intelligensia una mambo mengi sana. hebu fuatilia hiyo barua ilitoka lini na kipindi hicho
kulikuwa na mambo gani muhimu kitaifa. ukifanya hivyo unaweza pata angalau picha kama hiyo barua ilivujishwa
kwa sababu gani.

kama ndio hivyo then hao ni wap.uuz.i hakuna chochote kipya ambacho barua inatuambia watanzania. Kwamba Lowassa is rich enough to buy properties in London? Nani alikuwa anabisha hilo?
 
mbona unatoa hoja za kusadikika wewe wa wapi kama unazo hizo barua za kusafisha si uweke hapa siyo unatuletea stori.

Inaelekea wengi wenu hata barua yenyewe hamuielewi, huyu Saanane angewatafsiria ingekuwa vizuri zaidi. Barua inaomba msaada wa due-dilligence, kwa hiyo kama haijajibiwa na FIU kama unavyodhani wewe, maana yake kuanzia hiyo 2009 mpaka leo (miaka 6!) Uingereza bado wanamchunguza Fred lowassa.
 
Mkuu Ben, nauheshimu mchango wako ila natatizwa na 'the motive behind' bandiko lako hili!, kwenye nyumba ya vioo, usirushe mawe kama haya!, tukianza kurushiana mawe ya tit for tat si unajua matokeo yake?!. Hii ni umepiga below the belt!, hala hala nilikutahadharisha, kwa vile bado hujamjua mgombea wa UKAWA, ni vizuri ukatulia kuepuka kumchokoa mtu huyu, ili wakati wa kumnadi uweze kumnadi with clear conscious vinginevyo unakazi kubwa kuja kumeza matapishi yako, wakati huo ukifika!.Pasco

alishakua kigeugeu,hajielewi,kuna mda anajifanya ana muonea huruma lowasa,mda mwingine anamponda rejea Uzi wake alipomuunga mkono makamba Jr,baadae akaja kumpongeza Bashe kwa kumjibu Nape
 
1. Mimi namzungumzia aliyevujisha toka ofisini, sio Ben Saanane aliyeileta jamvini, mtu huyo either anafanya kazi FIU barua ilikofikia au Scotland yard barua ilikotoka. Barua za kiofisi zinajibiwa kiofisi, kama mtu huyu alikuwa na access ya kupata barua hii kwa nini asiwe na same access ya kupata mwendelezo wake? Haiwezekani barua alete mtu huyo halafu eti majibu yaombwe kwa umma!

2. Barua haijamchafua lowassa wala mwanae kwa lolote lile, unless kingereza ni shida. Kwa kifupi barua inaomba msaada wa kusaidia uchunguzi uliokuwa unafanyika juu ya miamala ya fred lowassa. Uchunguzi sio kuchafuliwa especially ukizingatia kuwa uchunguzi wenyewe ulikuwa ni siri, ni mmbea tu aliyevujisha hii barua ili kumpaka matope lowassa. Chunguzi ambazo zinalenga kumshitaki mtu huwa ni public na sio siri. Kutokana na taarifa ambazo hao FIU wangewasilisha, ndipo sasa hao waingereza wangekuwa katika position ya kusema wazi kuwa wanatatizo na Lowassa au la, up to then walikuwa wana-suspect/wanahisi tu!

3. Kwenye tafsiri yako ya dhana ya siri naomba nikupinge. Duniani kote mambo ambayo yako kwenye utaratibu wa siri kama hiyo barua huwa hayajibiwi na serikali! Kwa sababu hayakutakiwa kujulikana in the first place. kama unafatilia mambo rejea ishu ya wikileaks. Siri za serikali mbali mbali zilivuja lakini hakuna serikali yoyote makini iliyojibu wala kufafanua lolote kwenye zile documents zilizovuja. Hii ni kwa sababu yaliyovuja hayakuandikwa for public consumption yalikuwa ni mawasiliano ya ndani. Wapi umeona eti jambo likivuja na jamii nayo inageuka sehemu ya intelijensia? hilo litakuwa jambo la ajabu.
Mfano Chadema hawakuwahi kutolea ufafanuzi wa sera zipi za chadema "mwana intelijensia" Wilfred Lwakatare alizokuwa anatekeleza wakati anapanga kumteka mwandishi Dennis Msacky kwenye video iliyozagaa mitandaoni. Mbona mpaka leo wamekaa kimya na video iko in public? Na hapo je vipi, unadhani jamii ina haki ya kudai kuwa "sehemu ya intelijensia" kama unavyotaka iwe kwenye uchunguzi dhidi ya mtoto wa lowassa?

4. Sina ushabiki wa aina yoyote ule, tatizo ninaloliona ni kuwa mko hell-bent kumpaka matope lowassa bila sababu. Akili ya kawaida inaniambia kuwa barua hiyo ilishajibiwa ila huyo aliyevujisha (sio aliyeileta jamvini) hataki kuweka wazi hilo.
Pili, soma barua yenyewe. Kinachoombwa na Uingereza ni msaada wa due-dilligence kuhusu vielelezo ambavyo fred lowassa aliviwasilisha uingereza kuthibitisha uhusiano wake na vyanzo vya mapato vinavyomuwezesha kufanya miamala hiyo mikubwa mikubwa. Hapo kuna kashfa? kuna tatizo? Ndugu yangu hata Mbowe akienda UK au Dubai kununua nyumba utaratibu utamtaka aseme vyanzo vyake vya mapato, na akivisema kama alivyosema fred lowassa, mamlaka ya kule ikitaka kujiridhisha zaidi, itawasiliana na FIU, ndio kazi ya FIU mkuu! Ndio maana barua inasema "for intelligence use only" maana yake ni kwa ajili ya kujifahamisha tu sio kwa ajili ya kumshitaki Lowassa!
Barua ambayo wewe unaitaka kutoka FIU itasema kimojawapo kati ya vitu viwili:
a) Ni kweli Fred lowassa ni mmiliiki wa hivyo vyanzo ALIVYODAI ANAVIMILIKI na mapato yake ni halali au b) Si kweli kuwa fred lowassa ana miliki hivyo vyanzo ALIVYODAI ANAVIMILIKI . Je wewe unaona lipi hapo ni jibu sahihi? Obviously jibu litakuwa ni hilo la kwanza na akili yangu mimi inasema tayari FIU walishajibu hilo, kwa sababu kama jibu lingekuwa ni hili la pili, Uingereza ingeshamshitaki Fred lowassa kitambo!
Mimi kwa kupitia humu humu JF nimeshasoma sana juu ya "utajiri wa lowassa" ambao umetaja kampuni zote ambazo fred lowassa kaandika humo, siwezi kupoteza usingizi kwa hilo, au wewe unabisha kuwa familia ya Lowassa haina utajiri huo wa kuweza kununua nyumba London?
Wengi hapa wanachotaka kujadili hasa ni vyanzo vya mapato vya Lowassa, hii barua ni gia tu!
cc: Pasco

cdm watajibu ?????????
 
1. Mimi namzungumzia aliyevujisha toka ofisini, sio Ben Saanane aliyeileta jamvini, mtu huyo either anafanya kazi FIU barua ilikofikia au Scotland yard barua ilikotoka. Barua za kiofisi zinajibiwa kiofisi, kama mtu huyu alikuwa na access ya kupata barua hii kwa nini asiwe na same access ya kupata mwendelezo wake? Haiwezekani barua alete mtu huyo halafu eti majibu yaombwe kwa umma!

2. Barua haijamchafua lowassa wala mwanae kwa lolote lile, unless kingereza ni shida. Kwa kifupi barua inaomba msaada wa kusaidia uchunguzi uliokuwa unafanyika juu ya miamala ya fred lowassa. Uchunguzi sio kuchafuliwa especially ukizingatia kuwa uchunguzi wenyewe ulikuwa ni siri, ni mmbea tu aliyevujisha hii barua ili kumpaka matope lowassa. Chunguzi ambazo zinalenga kumshitaki mtu huwa ni public na sio siri. Kutokana na taarifa ambazo hao FIU wangewasilisha, ndipo sasa hao waingereza wangekuwa katika position ya kusema wazi kuwa wanatatizo na Lowassa au la, up to then walikuwa wana-suspect/wanahisi tu!

3. Kwenye tafsiri yako ya dhana ya siri naomba nikupinge. Duniani kote mambo ambayo yako kwenye utaratibu wa siri kama hiyo barua huwa hayajibiwi na serikali! Kwa sababu hayakutakiwa kujulikana in the first place. kama unafatilia mambo rejea ishu ya wikileaks. Siri za serikali mbali mbali zilivuja lakini hakuna serikali yoyote makini iliyojibu wala kufafanua lolote kwenye zile documents zilizovuja. Hii ni kwa sababu yaliyovuja hayakuandikwa for public consumption yalikuwa ni mawasiliano ya ndani. Wapi umeona eti jambo likivuja na jamii nayo inageuka sehemu ya intelijensia? hilo litakuwa jambo la ajabu.
Mfano Chadema hawakuwahi kutolea ufafanuzi wa sera zipi za chadema "mwana intelijensia" Wilfred Lwakatare alizokuwa anatekeleza wakati anapanga kumteka mwandishi Dennis Msacky kwenye video iliyozagaa mitandaoni. Mbona mpaka leo wamekaa kimya na video iko in public? Na hapo je vipi, unadhani jamii ina haki ya kudai kuwa "sehemu ya intelijensia" kama unavyotaka iwe kwenye uchunguzi dhidi ya mtoto wa lowassa?

4. Sina ushabiki wa aina yoyote ule, tatizo ninaloliona ni kuwa mko hell-bent kumpaka matope lowassa bila sababu. Akili ya kawaida inaniambia kuwa barua hiyo ilishajibiwa ila huyo aliyevujisha (sio aliyeileta jamvini) hataki kuweka wazi hilo.
Pili, soma barua yenyewe. Kinachoombwa na Uingereza ni msaada wa due-dilligence kuhusu vielelezo ambavyo fred lowassa aliviwasilisha uingereza kuthibitisha uhusiano wake na vyanzo vya mapato vinavyomuwezesha kufanya miamala hiyo mikubwa mikubwa. Hapo kuna kashfa? kuna tatizo? Ndugu yangu hata Mbowe akienda UK au Dubai kununua nyumba utaratibu utamtaka aseme vyanzo vyake vya mapato, na akivisema kama alivyosema fred lowassa, mamlaka ya kule ikitaka kujiridhisha zaidi, itawasiliana na FIU, ndio kazi ya FIU mkuu! Ndio maana barua inasema "for intelligence use only" maana yake ni kwa ajili ya kujifahamisha tu sio kwa ajili ya kumshitaki Lowassa!
Barua ambayo wewe unaitaka kutoka FIU itasema kimojawapo kati ya vitu viwili:
a) Ni kweli Fred lowassa ni mmiliiki wa hivyo vyanzo ALIVYODAI ANAVIMILIKI na mapato yake ni halali au b) Si kweli kuwa fred lowassa ana miliki hivyo vyanzo ALIVYODAI ANAVIMILIKI . Je wewe unaona lipi hapo ni jibu sahihi? Obviously jibu litakuwa ni hilo la kwanza na akili yangu mimi inasema tayari FIU walishajibu hilo, kwa sababu kama jibu lingekuwa ni hili la pili, Uingereza ingeshamshitaki Fred lowassa kitambo!
Mimi kwa kupitia humu humu JF nimeshasoma sana juu ya "utajiri wa lowassa" ambao umetaja kampuni zote ambazo fred lowassa kaandika humo, siwezi kupoteza usingizi kwa hilo, au wewe unabisha kuwa familia ya Lowassa haina utajiri huo wa kuweza kununua nyumba London?
Wengi hapa wanachotaka kujadili hasa ni vyanzo vya mapato vya Lowassa, hii barua ni gia tu!
cc: Pasco

asante mkuu
 
sasavipi barua yenyewe haina muhuri unaodhibitisha imetoka kwa polisi wa london hata mm naweza tunga kama hyo......au mnataka nifanye hvyo ILA PONGEZI KWA KUTAMBUA MGOMBEA WA CCM NI ENL T2015
 
Ufisadi unaifanywa na familia au yeyote hauwezi kuisha sababu ya muda Fulani umepita maana Mali ya Watanzania imeliwa tuendeleee kusema na kudai
 
#Ben Saanane.... i thought ur washing Josephine clothes
this time, kumbe uko huku..!!?

Ur Slaa's house boy, na ndio maana unaleta BARUA HII YA KITAMBO SANA, na haina maana, KUNUNUA NYUMBA UK, sio guilty ww kenge, as long as u hv to indicate ur MONEY sources....!!! So huna point...!!!

Mwambie Kibabu Slaa....Lowassa atawakimbiza sana mwaka huu....swine ww
 
Kama ni serious kiasi hiki,je Barua hii ya kijasusi kuhusu uchunguzi wa 'money laundering' dhidi ya huyu mtoto wa Mgombea Urais mtarajiwa imefikia wapi?Ilishawahi kutolewa ufafanuzi na vyombo vyetu vya usalama au wahusika wenyewe?

attachment.php


We kima nani kakwambia Lowassa ni mgombea?
 
Mkuu Pasco,Shukrani sana!

Kuna watu walisema oh ni mfanya biashara mkubwa.Kuna maswala ya kodi.Kuna haja ya kujua muendelezo wa barua hii pia.Lengo langu ni kuondoa doubts zote tu kwa nia njema kabisa ili asije akaonewa huko baadae...

Siku chache zijazo nitakuja na nyingine watanzania watakua shocked....!
Mkuu Ben Saanane, nakushauri hiyo nyingine iweke akiba kwanza kumsubiria mgombea wa UKAWA, haswa kuzingati sina uhakika kama una ajira nyingine yoyote zaidi ya iteligensia ya chama!, huwezi kukata tawi la mti ulioukalia!.

Mtu mzuri wa inteligensia ya chama, angetafuta taarifa za kiiteligensia baada ya kufunguliwa kwa ile kesi inayohusisha ile 'bonafide genuine', mkanda upo, aliyeurekodi yupo, aliyerekodiwa yupo, aliyeusambaza yupo, aliyeufikisha kwenye vyombo vya dola yupo!, inteligensia yako inge find out kwa nini hiyo kesi haiendeshwi sasa!, kinasubiriwa nini?!, hapo ungekisaidia zaidi chama chako, kuliko kutaka kuzuia mawimbi ya mahari kwa mikono!.

Kumbuka hapa unazungumzia barua tuu, wakati mna watu sio wana barua bali kesi za jinai na ushahidi upo!.

Haya wee endelea tuu kutupia hayo mawe nyumba ya jirani ambayo ni ya vioo, huku na nyinyi mnaishi nyumba ya vioo!.

Endelea...ila usije humu kulalamika wakati kibao kitakapogeuka!, you'll never know with politics!, hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu!, only a common interests, hivyo muda huo ukifika Mkuu Ben, utakuwa mgeni wa nani?!.

Endelea tuu, humu jf tutakusifu na kukumwagia thanks kibao, lakini hii 'ill motive behind' won't help you wala chama chako!, kwa kifupi 'jamaa' is simply 'the wind!', endelea kuzuia kuvuma kwa huu upepo!

Pasco
 
Mkuu Ben Saanane, nakushauri hiyo nyingine iweke akiba kwanza kumsubiria mgombea wa UKAWA, haswa kuzingati sina uhakika kama una ajira nyingine yoyote zaidi ya iteligensia ya chama!, huwezi kukata tawi la mti ulioukalia!.

Mtu mzuri wa inteligensia ya chama, angetafuta taarifa za kiiteligensia baada ya kufunguliwa kwa ile kesi inayohusisha ile 'bonafide genuine', mkanda upo, aliyeurekodi yupo, aliyerekodiwa yupo, aliyeusambaza yupo, aliyeufikisha kwenye vyombo vya dola yupo!, inteligensia yako inge find out kwa nini hiyo kesi haiendeshwi sasa!, kinasubiriwa nini?!, hapo ungekisaidia zaidi chama chako, kuliko kutaka kuzuia mawimbi ya mahari kwa mikono!.

Kumbuka hapa unazungumzia barua tuu, wakati mna watu sio wana barua bali kesi za jinai na ushahidi upo!.

Haya wee endelea tuu kutupia hayo mawe nyumba ya jirani ambayo ni ya vioo, huku na nyinyi mnaishi nyumba ya vioo!.

Endelea...ila usije humu kulalamika wakati kibao kitakapogeuka!, you'll never know with politics!, hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu!, only a common interests, hivyo muda huo ukifika Mkuu Ben, utakuwa mgeni wa nani?!.

Endelea tuu, humu jf tutakusifu na kukumwagia thanks kibao, lakini hii 'ill motive behind' won't help you wala chama chako!, kwa kifupi 'jamaa' is simply 'the wind!', endelea kuzuia kuvuma kwa huu upepo!

Pasco

Mkuu Pasco

Kwanza, kwa isahihi zaidi mimi sipo katika idara ya Intelijensia ya CHADEMA

Pili,Lengo langu hapa ni kutaka doubts zote ziwe cleared tu

Tatu,UKAWA imejitosheleza.Huyo unayesema ni upepo uvumao kashindwa hata kuvuma ndani ya chama chake na kama ni mafuriko basi mafuriko yanayoweza kuzuiwa kwa mikono ya Nape hayana madhara hata kidogo

Hata juzi nilimtetea sana lakini naye akashindwa kupigania haki yake.Nilimshauri yale makundi aliyoandaa ya kwenda nyumbani kwake ayageuzi kuwa makundi ya shinikizo dhidi ya chama kiwaruhusu kutoa hisia zao na haki yao ya kumtaka agombee kuliko uonevu uliofanyika kuzuia hisia zao.

Akaufyata!

Si unaona,sasa hivi kimyaaa!
 
Last edited by a moderator:
1. Mimi namzungumzia aliyevujisha toka ofisini, sio Ben Saanane aliyeileta jamvini, mtu huyo either anafanya kazi FIU barua ilikofikia au Scotland yard barua ilikotoka. Barua za kiofisi zinajibiwa kiofisi, kama mtu huyu alikuwa na access ya kupata barua hii kwa nini asiwe na same access ya kupata mwendelezo wake? Haiwezekani barua alete mtu huyo halafu eti majibu yaombwe kwa umma!

2. Barua haijamchafua lowassa wala mwanae kwa lolote lile, unless kingereza ni shida. Kwa kifupi barua inaomba msaada wa kusaidia uchunguzi uliokuwa unafanyika juu ya miamala ya fred lowassa. Uchunguzi sio kuchafuliwa especially ukizingatia kuwa uchunguzi wenyewe ulikuwa ni siri, ni mmbea tu aliyevujisha hii barua ili kumpaka matope lowassa. Chunguzi ambazo zinalenga kumshitaki mtu huwa ni public na sio siri. Kutokana na taarifa ambazo hao FIU wangewasilisha, ndipo sasa hao waingereza wangekuwa katika position ya kusema wazi kuwa wanatatizo na Lowassa au la, up to then walikuwa wana-suspect/wanahisi tu!

3. Kwenye tafsiri yako ya dhana ya siri naomba nikupinge. Duniani kote mambo ambayo yako kwenye utaratibu wa siri kama hiyo barua huwa hayajibiwi na serikali! Kwa sababu hayakutakiwa kujulikana in the first place. kama unafatilia mambo rejea ishu ya wikileaks. Siri za serikali mbali mbali zilivuja lakini hakuna serikali yoyote makini iliyojibu wala kufafanua lolote kwenye zile documents zilizovuja. Hii ni kwa sababu yaliyovuja hayakuandikwa for public consumption yalikuwa ni mawasiliano ya ndani. Wapi umeona eti jambo likivuja na jamii nayo inageuka sehemu ya intelijensia? hilo litakuwa jambo la ajabu.
Mfano Chadema hawakuwahi kutolea ufafanuzi wa sera zipi za chadema "mwana intelijensia" Wilfred Lwakatare alizokuwa anatekeleza wakati anapanga kumteka mwandishi Dennis Msacky kwenye video iliyozagaa mitandaoni. Mbona mpaka leo wamekaa kimya na video iko in public? Na hapo je vipi, unadhani jamii ina haki ya kudai kuwa "sehemu ya intelijensia" kama unavyotaka iwe kwenye uchunguzi dhidi ya mtoto wa lowassa?

4. Sina ushabiki wa aina yoyote ule, tatizo ninaloliona ni kuwa mko hell-bent kumpaka matope lowassa bila sababu. Akili ya kawaida inaniambia kuwa barua hiyo ilishajibiwa ila huyo aliyevujisha (sio aliyeileta jamvini) hataki kuweka wazi hilo.
Pili, soma barua yenyewe. Kinachoombwa na Uingereza ni msaada wa due-dilligence kuhusu vielelezo ambavyo fred lowassa aliviwasilisha uingereza kuthibitisha uhusiano wake na vyanzo vya mapato vinavyomuwezesha kufanya miamala hiyo mikubwa mikubwa. Hapo kuna kashfa? kuna tatizo? Ndugu yangu hata Mbowe akienda UK au Dubai kununua nyumba utaratibu utamtaka aseme vyanzo vyake vya mapato, na akivisema kama alivyosema fred lowassa, mamlaka ya kule ikitaka kujiridhisha zaidi, itawasiliana na FIU, ndio kazi ya FIU mkuu! Ndio maana barua inasema "for intelligence use only" maana yake ni kwa ajili ya kujifahamisha tu sio kwa ajili ya kumshitaki Lowassa!
Barua ambayo wewe unaitaka kutoka FIU itasema kimojawapo kati ya vitu viwili:
a) Ni kweli Fred lowassa ni mmiliiki wa hivyo vyanzo ALIVYODAI ANAVIMILIKI na mapato yake ni halali au b) Si kweli kuwa fred lowassa ana miliki hivyo vyanzo ALIVYODAI ANAVIMILIKI . Je wewe unaona lipi hapo ni jibu sahihi? Obviously jibu litakuwa ni hilo la kwanza na akili yangu mimi inasema tayari FIU walishajibu hilo, kwa sababu kama jibu lingekuwa ni hili la pili, Uingereza ingeshamshitaki Fred lowassa kitambo!
Mimi kwa kupitia humu humu JF nimeshasoma sana juu ya "utajiri wa lowassa" ambao umetaja kampuni zote ambazo fred lowassa kaandika humo, siwezi kupoteza usingizi kwa hilo, au wewe unabisha kuwa familia ya Lowassa haina utajiri huo wa kuweza kununua nyumba London?
Wengi hapa wanachotaka kujadili hasa ni vyanzo vya mapato vya Lowassa, hii barua ni gia tu!
cc: Pasco

JMAll

Sio vyanzo vya mapato tu na je, Kodi inalipwa accordingly?

Vipi unakumbuka SFO waligundua ufisadi kwenye Ununuzi wa Rada

Wale waliotajwa kama wahusika akiwepo Mwanasheria mkuu wa Serikali uliona wameshtakiwa?

Na je,kwa hili kama jibu lingekua ni hilo la Pili unadhani Uingereza wangefanya nini?

Ni kipi kilichokusukuma kufikia hitimisho kuwa jibu ni hilo la kwanza maana siku hizi mali za watoto wa vigogo wa Afrika nyingi zimekuwa freezed nje ya nchi kimya kimya unless wao wenyewe watangaze au mamlaka ya nchi hizo itangaze

Mtoto wa Rais Mbasongo wa Equitorial Guinea nyumba na mali zake kule Malibu zilikua Freezed na haikujulikana kuwa kumbe kuna nyingine zilikua freezed kule Ufaransa hadi iliposikika ile Ya Malibu -Marekani baada ya mahakama kutumika

Wengi wao hata zikiwa freezed huumia kimya kimya na bahati mbaya kwa system yetu rotten hata ikipewa taarifa za aina hiyo haichukui hatua au hata ikigundua kuna madudu inaweza kugeuka kumtetea culprit tu.

Umesahau matamshi ya Hosea aliponukuliwa akizungumza na balozi wa Marekani kama ilivyovujishwa na mtandao wa Wikileaks?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pasco
Kwanza, kwa isahihi zaidi mimi sipo katika idara ya Intelijensia ya CHADEMA
Pili,Lengo langu hapa ni kutaka doubts zote ziwe cleared tu
Mkuu,Ben Saanane kwa wewe kuwa ni mtu wa inteligensia it's you nature!, some people are born intelligent and some acquire intelligence!, madam uko Chadema and you are among the few intelligent they have among the bunch of fools!, you have a vision ya kuona mbali, hivyo kuna moves ukifanya, is not nothing but a calculated move!, ndio manna nikakuambia natatizwa na "the motive behind" bandiko lako hili na kwangu it is "ill motive!".

Hiyo statement yako kuwa eti lengo lako is to clear the doubt, hapa ndipo tunapotofautiana pale unaposema hili, lakini sisi tulio deep, tunakuona hadi ndani yako!, hata mimi nikiishatambua na kukubali kuwa you adore Dr. Slaa, ikitokea nikapata data ya sababu ya kuivunja ile nadhiri yake ya 'celibacy', nikija hapa na Bandiko "Hivi Chadema Inakijua Kilichomtoa Dr. Slaa kwenye Upadirisho", kisa nikasema lengo ni to clear the doubt kuhusu huyu next president wetu Dr. Slaa, ni wajinga wajinga tuu ndio watakubaliana na mimi nilichosema lakini walio deep watabaini the motive behind!, hivyo nakusisitizia, the motive behind sio to clear the doubt!.

Nimesema wewe anza, wakati muafaka ukifika sisi tutamaliza!, ila tu ukumbuke, he who laugh last, last most na he who cried last, cried most!, kati ya hawa wawili, tuwafuatilie na kuangalia ni yupi atacheka mwisho na ni yupi atalia mwisho!, the end will justify the means!.

Endelea kufukunyua clearance za your doubts, huku ni kurusha mawe nyumba ya vioo!, usisahau what goes around comes around, wakati haya mawe unaoyavurumisha yakianza kurudi!, utatafuta pa kutokea usipaone!.

Kwa intellekt yako, hili ulipaswa kuliona!, kumbuka UKAWA bado haina mgombea, situkane wakunga, wala mwendesha mtumbwi kabla hujauvuka mto, "Usimuudhi mchinja mbwa wazimu utakurudia!", subiria subiria umjue mgombea wa UKAWA ndipo uvurumishe haya makombora!.

Pasco
 

Mkuu,Ben Saanane kwa wewe kuwa ni mtu wa inteligensia it's you nature!, some people are born intelligent and some acquire intelligence!, madam uko Chadema and you are among the few intelligent they have among the bunch of fools!, you have a vision ya kuona mbali, hivyo kuna moves ukifanya, is not nothing but a calculated move!, ndio manna nikakuambia natatizwa na "the motive behind" bandiko lako hili na kwangu it is "ill motive!".

Hiyo statement yako kuwa eti lengo lako is to clear the doubt, hapa ndipo tunapotofautiana pale unaposema hili, lakini sisi tulio deep, tunakuona hadi ndani yako!, hata mimi nikiishatambua na kukubali kuwa you adore Dr. Slaa, ikitokea nikapata data ya sababu ya kuivunja ile nadhiri yake ya 'celibacy', nikija hapa na Bandiko "Hivi Chadema Inakijua Kilichomtoa Dr. Slaa kwenye Upadirisho", kisa nikasema lengo ni to clear the doubt kuhusu huyu next president wetu Dr. Slaa, ni wajinga wajinga tuu ndio watakubaliana na mimi nilichosema lakini walio deep watabaini the motive behind!, hivyo nakusisitizia, the motive behind sio to clear the doubt!.

Nimesema wewe anza, wakati muafaka ukifika sisi tutamaliza!, ila tu ukumbuke, he who laugh last, last most na he who cried last, cried most!, kati ya hawa wawili, tuwafuatilie na kuangalia ni yupi atacheka mwisho na ni yupi atalia mwisho!, the end will justify the means!.

Endelea kufukunyua clearance za your doubts, huku ni kurusha mawe nyumba ya vioo!, usisahau what goes around comes around, wakati haya mawe unaoyavurumisha yakianza kurudi!, utatafuta pa kutokea usipaone!.

Kwa intellekt yako, hili ulipaswa kuliona!, kumbuka UKAWA bado haina mgombea, situkane wakunga, wala mwendesha mtumbwi kabla hujauvuka mto, "Usimuudhi mchinja mbwa wazimu utakurudia!", subiria subiria umjue mgombea wa UKAWA ndipo uvurumishe haya makombora!.

Pasco

Ur always triying to act smart but ur an idiot bafoon
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom