Barua hii ya Kijasusi kutoka Uingereza kuhusu uchunguzi wa mtoto wa mgombea Urais Mtarajiwa ....

Status
Not open for further replies.
Waberoya,

Acha zako.Unajua unachopaswa kuleta hapa.Yaani mtu ujiuzulu siasa kwa kuhoji kuhusu mashaka au barua ya kijasusi?

Mbona na wewe umeambukizwa udikteta msomi mzuri kiasi hiki?

Kwamba eti siruhusiwi kuhoji kama nilivyohoji kuhusu tuhuma hizo na uchunguzi umefikia wapi?

Nilidhani mtamkemea Kikwete aliyemsafisha na Wana-CCM wanaoimba wana Imani na Lowassa maana huo ni unafiki wa hali ya juu

Leo unataka mimi nijiuzulu siasa badala ya kuwataka wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wajiuzulu kuwa wana Imani na Lowassa badala ya Mwenyekiti wao ?

Huu sasa si utakua uonevu na wewe utaonekana una Double Standard bila kujali heshima yako hapa jukwaani?
 
Kama ni serious kiasi hiki,je Barua hii ya kijasusi kuhusu uchunguzi wa 'money laundering' dhidi ya huyu mtoto wa Mgombea Urais mtarajiwa imefikia wapi?Ilishawahi kutolewa ufafanuzi na vyombo vyetu vya usalama au wahusika wenyewe?

attachment.php




-----------------------
UPDATES:
-----------------------

Imethibitika kuwa hakukuwa na ushahidi wa Ufisadi katika Mchakato huo.


Hivi leo huwa mnajisikiaje mlivyomkumbatia EL huko Chadema?
 
Waberoya,

Acha zako.Unajua unachopaswa kuleta hapa.Yaani mtu ujiuzulu siasa kwa kuhoji kuhusu mashaka au barua ya kijasusi?

Mbona na wewe umeambukizwa udikteta msomi mzuri kiasi hiki?

Kwamba eti siruhusiwi kuhoji kama nilivyohoji kuhusu tuhuma hizo na uchunguzi umefikia wapi?

Nilidhani mtamkemea Kikwete aliyemsafisha na Wana-CCM wanaoimba wana Imani na Lowassa maana huo ni unafiki wa hali ya juu

Leo unataka mimi nijiuzulu siasa badala ya kuwataka wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wajiuzulu kuwa wana Imani na Lowassa badala ya Mwenyekiti wao ?

Huu sasa si utakua uonevu na wewe utaonekana una Double Standard bila kujali heshima yako hapa jukwaani?
Ben pole sana chief..
Hii ndio dhambi ya kula ulimi wako mwenyewe...
Watu wanakupiga mtungo na maneno yako mwenyewe bila huruma...

Ulipochagua kuhamishia choo cha shimo sebuleni haya ndio matokeo yake.. lazima ukubali kuishi na harufu... japo umejipungizia mwendo wa kukifuata choo kilipokuwepo awali lakini kadhia yake unaipata freshi bila chenga...
Mbwembwe zote kwishnei!! Chaali..

Hivi ilikuaje lakini???
Seriously you didn't see it coming... did you??
 
Ninachoona hapa ni Great thinkers uchwara tu ambao hawaleti thread hata moja kutoka kwangu ya kutuhumu au kumsafisha mhusika.

Wameenda kuibua hii.Bahati mbaya hawajui kuwa nilianzisha Thread kwa kuhoji kutaka majibu.

Comprehension Skills !

Sasa mwenye thread yangu kutuhumu au kusafisha alete.Nitatoa maelezo kama ni muhimu.So far hakuna

So CCM msijifariji.Mkija kihivyo nitawarudisha mkutano mkuu wa chama chenu na kauli za Kikwete.Itakula kwenu.Nyamazeni tu !
 
API Gravity,

Leta thread au post yoyote niliyomuita Dr.Slaa Msaliti. Nitaomba radhi na kujifukuzisha JF.

Vinginevyo,ahidi na wewe kama huna uombe radhi na kujifukuzisha JF

Niliwahi kuandika humu na kwingineko tena nikatoa taarifa rasmi kukanusha taarifa kuwa naita press kumshambulia Dr.Slaa

Nilisema sitawahi kumtusi au kumdharau Dr.Slaa.Na nikasema aliyefanya angalao Robo ya alichofanya katika harakati za mageuzi ya nchi hii basi atoke mbele amtukane.Na akifanya hivyo sitakua na haja ya kumshambulia Dr.Slaa

Mchango wake katika hii struggle nauheshimu.Mchango wake kwangu kiuongozi nitauenzi siku zote.Nimelelewa hivyo

Nina principles.Nitazisimamia
 
Waberoya,

Acha zako.Unajua unachopaswa kuleta hapa.Yaani mtu ujiuzulu siasa kwa kuhoji kuhusu mashaka au barua ya kijasusi?

Mbona na wewe umeambukizwa udikteta msomi mzuri kiasi hiki?

Kwamba eti siruhusiwi kuhoji kama nilivyohoji kuhusu tuhuma hizo na uchunguzi umefikia wapi?

Nilidhani mtamkemea Kikwete aliyemsafisha na Wana-CCM wanaoimba wana Imani na Lowassa maana huo ni unafiki wa hali ya juu

Leo unataka mimi nijiuzulu siasa badala ya kuwataka wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wajiuzulu kuwa wana Imani na Lowassa badala ya Mwenyekiti wao ?

Huu sasa si utakua uonevu na wewe utaonekana una Double Standard bila kujali heshima yako hapa jukwaani?
Kamandaaaaa
 
Iletwe Post ambayo inaonesha kuwa nipo inconsitent hapa.Iletwe...

Nilikua nahoji kuhusu Barua hiyo na majibu yake yakoje.Na nilieleza right from the beginning.Otherwise....

Hakuna hoja !
Teh Teh...
 
API Gravity,

Leta thread au post yoyote niliyomuita Dr.Slaa Msaliti. Nitaomba radhi na kujifukuzisha JF.

Vinginevyo,ahidi na wewe kama huna uombe radhi na kujifukuzisha JF

Niliwahi kuandika humu na kwingineko tena nikatoa taarifa rasmi kukanusha taarifa kuwa naita press kumshambulia Dr.Slaa

Nilisema sitawahi kumtusi au kumdharau Dr.Slaa.Na nikasema aliyefanya angalao Robo ya alichofanya katika harakati za mageuzi ya nchi hii basi atoke mbele amtukane.Na akifanya hivyo sitakua na haja ya kumshambulia Dr.Slaa

Mchango wake katika hii struggle nauheshimu.Mchango wake kwangu kiuongozi nitauenzi siku zote.Nimelelewa hivyo

Nina principles.Nitazisimamia
Kama ulivyosimamia principle zako na kumkaribisha bwana mvi nyingi...
 
Haha si mlete hizo thread au post? Nimechoka kuwasubiri hadi muda huu saa 4 Usiku. Au ndio mna-enjoy video ya mkutano mkuu "Tuna Imani na Lowassa"?

Ama Matamshi ya Former Chairman Kikwete kuwa "Lowassa ni Msafi-Alisingiziwa"?
 
Chadema kwa vijana kama hawa haitoki, inahitaji mabadiliko makubwa tatizo waliomo wengi vilaza na wajuaji ndo hawa jamii ya kina Ben saa ngapi sijui!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom