Barua hii ya Kijasusi kutoka Uingereza kuhusu uchunguzi wa mtoto wa mgombea Urais Mtarajiwa ....

Status
Not open for further replies.
mambo ya 2009 leo ya nini

acha kutumika kama tissue ww

unaokota gazetti la zamani kisha unataka liuza kma jipya

shame on u and who ever sent u
 
Inaonekana washabiki wa mafisadi ni kwa namna gani hamna uzalendo wala uchungu na taifa . Ninyi ni wasaliti wa umma na diyo maana kumbe hamjali uchafu wala kashifa za watu na historia zao kwenye mauaji ya taifa.

Unasemaje wewe kuhusu ujumbe ulioko kwenye huu waraka. Una umuhiimu wowote kwa maslahi ya taifa ama hauna?

Naomba ujibu hoja.
hapo hamna hoja ya kujibu mkuu, hizo ni habari za kijasusi wanazopeana vyombo vya ulinzi
ben ameleta hapa kisiasa tu maana kama kuuliza imefikia wapi kwanini asiulize kwa wahusika FIU au MP
 
Ninasikitika huoni mantiki ya kinachosemwa kwenye hiyo barua hata kama kinakwenda kwenye vyombo vya ulinzi. Au wewe ingekuwa inasemwa na nani au ingekuwa inakwenda kwa nani ndiyo ungeona kuna suala la maslahi ya taifa?

Ninatamani sana ungepanua wigo wa kuona. Vyombo vya ulinzi na usalama vinalinda watu na mali zao. Sitegemei utashindwa kuhusisha taarifa za usalama kwa uhusiao na maisha ya binadamu. Maisha ya watu katikanyannja zote likiwemo hli la kutakatifishwa fedha haramu. Fedha haramu zimetakatifishwa na mtoto wa Lowasa. Lowsa aliyetimuliwa uweziri mkuu kwa sababu ya wizi na udanganyifu. Udanganyifu na wizi wake ambao hataki kuuongelea hata siku moja badala yake ameing'an'gan kuongeza udanganyifu mwingine wa kisanii ili aende ikulu. Mtu mwizi kama huyu na fmiliya yake, unampeleka ikulu ili akafanye nini zaidi ya kumalizia raslimali zilizobaki?

Hukumsikia aiongea na masheh wa bagamoyo waende wamwambie kikwete kwamba ataanzia pale aliipoishia kikwete? Kikwete ameishia wapi zaidi ya kushusha graphs zote zinaelekea zero, Lowasa anataka kuzipeleka kwenye hasi na ninyi hamwoni?


Mnashindwaje kuona uovu huu ulio dhahiri?

Mchana Mwema.


hapo hamna hoja ya kujibu mkuu, hizo ni habari za kijasusi wanazopeana vyombo vya ulinzi
ben ameleta hapa kisiasa tu maana kama kuuliza imefikia wapi kwanini asiulize kwa wahusika FIU au MP
 
Barua hii ni mawasiliano ya kinteligensia kati ya vyombo viwili. Ndio maana imeandikwa kabisa "for intelligence use only". Hii barua imevujishwa na watu wenye malengo yao binafsi. Haikulengwa kwa jamii. Hivyo hata majibu yake yatarudi kwa aliyeandika. Kama wewe unataka kujua kuhusu majibu yake unatakiwa kumuuliza huyo aliyeivujisha hii. Mimi nadhani huyo aliyevujisha hataki kuvujisha mrejesho wa barua hii kwa sababu naamini uchunguzi UMEMSAFISHA mtuhumiwa! Badala yake anapendelea ibaki hii hii moja ili watu waendelee kuwa na mashaka na lowassa.
Uingereza hawana mchezo kama tuhuma hizi zingekuwa za kweli kingeshanuka zamani. Hakuna kitu hapo.

mkuu unajuaje kama hii barua (kama ni geniune) haijavujishwa na wahusika wenyewe?
mchezo wa intelligensia una mambo mengi sana. hebu fuatilia hiyo barua ilitoka lini na kipindi hicho
kulikuwa na mambo gani muhimu kitaifa. ukifanya hivyo unaweza pata angalau picha kama hiyo barua ilivujishwa
kwa sababu gani.
 
Mtoto huyo naye atakuwa kiongozi wa Taifa hili.Ameanza kuwa na sifa tuzitakazo mapema kabisa

Naendelea kuamini kua membe is poor and weak leader hii stor aliitengeneza 2009 baada ya kuskia JK anampa lowasa uwazri wa Tamisem akampa riz pesa akahakkshe jina la lowasa linaondolewa ktk list ya mawaziri kwa sababu aliofia lowasa akipewa uwazri wa Tamisemi atajiimarsha kwenye mbio za urais akatengeneza stor kumchafua lowasa kupitia mtoto wake fred ambaye anafanya clean bussness kuptia Vodacom tofaut na wengne wanafanya dirty busnes kama kuuza unga....lowasa ndiye chaguo letu watanzania
 
mambo ya 2009 leo ya nini

acha kutumika kama tissue ww

unaokota gazetti la zamani kisha unataka liuza kma jipya

shame on u and who ever sent u

Acha ushamba historia ndiyo ina hukumu mtu, inawezekana baba yako huko nyuma alikuwa mwizi wakati wa kukupa madaraka nilazima tujue historia yako isije kujirudia.
 
Inamaana mtoto akishikwa wizi na baba pia aende jela? Hii wala haitamchafua lowassa, endeleeni kutumika lakini rais ajae ni Lowassa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom