Barua hii ya Kijasusi kutoka Uingereza kuhusu uchunguzi wa mtoto wa mgombea Urais Mtarajiwa ....

Status
Not open for further replies.
mbona unatoa hoja za kusadikika wewe wa wapi kama unazo hizo barua za kusafisha si uweke hapa siyo unatuletea stori.

membe atahangaika sana lakini ajue kuwa hauziki bidhaa inayouzika ni lowasa ....hiyo barua waliitengeneza kumchafua lowasa baada ya kuskia kikwete amemteua kuwa waziri wa TAMISEMI membe akampa riz ela kuhakksha jina la lowasa linaondolewa kwan aliamn lowasa atajipanga kisiasa na akatumia gazeti la raia mwema kumchafua fre lowasa ili aonekane lowasa ni mchafu ila tunajua hakuna mchafu na mfitini kama membe ikulu ataishia kuiona kwa macho....aman karume ameshawaonya wahuni (kina nape)wanaotumia jina la ccm kuuza bidhaa( mgombea) isiyouzika kuwa waache mara moja na uongozi wa juu wa chama uwaonye kwani watanzania wakizuiwa kununua bidhaa wanayoitaka ata kwa kuwekewa majabali watayavunja ili wampate mgombea wao ambaye yeye anaamini bidhaa inayouzika ndani ya ccm ni lowasa
 
This was a very serious crime and the government of Kikwete stayed quite. What a shame. Now this thief Lowassa wants to be the president. I will be leaving this country to Rwanda if Lowassa becomes one.
 
[h=3]Raia Mwema - Taarifa ya Lowassa kuchunguzwa balaa[/h]

Taarifa ya Lowassa kuchunguzwa balaa


Mwandishi Wetu

Toleo la 162

1 Dec 2010













  • Raia Mwema lapata msukosuko
  • Nakala 10,000 zaharibiwa zisisomwe



“Baadaye niliitwa kwa bosi wao na kuambiwa natakiwa kwenda kwa Meneja Mkuu, aitwaye Shaber, ambako nilijulishwa kwamba ni lazima habari kuu (inayomhusu Lowassa) iondolewe vinginevyo gazeti halitochapwa kabisa,” anasema Mwendapole.
Kutokana na amri hiyo ya wachapaji, wafanyakazi wote wa Raia Mwema na watu wengine wote waliokuwamo kiwandani wakati huo waliamriwa kutoka eneo la uchapaji na kupekuliwa kuhakikisha hawabebi hata nakala moja ya gazeti hilo.




“Sasa nashangaa watu hawa hili wamelitoa wapi? Na ifahamike kuwa mimi nafanya biashara nyingi tu, na moja ya biashara zangu ni kampuni ya Alphatel. Sisi ni mawakala wa Vodacom. Tunover (mzunguko wa fedha) yetu kwa mwezi ni zaidi ya Sh bilioni 8.0. Hizi ni fedha zinazotumiwa kama sehemu ya mtaji na faida kwa kununua bidhaa na kuuza. Sasa walitarajia mfanyabiashara kama mimi nishindwe kutumia kiasi hicho nje ya nchi? Nanunua vitu kutoka Uingereza, China, Falme za Kiarabu (Dubai), Afrika Kusini, Italia na sehemu nyingine. Watu wa ajabu kweli hawa.

Natumai kodi walitulipa maana kama mfanyakazi anayepata 170100 analipia hiyo nyongeza ya 100 kwa 13% hawa mabilioni kwa mwezi kama wanalipa kodi sawa sawa tungekuwa mbali sana.
 
membe atahangaika sana lakini ajue kuwa hauziki bidhaa inayouzika ni lowasa ....hiyo barua waliitengeneza kumchafua lowasa baada ya kuskia kikwete amemteua kuwa waziri wa TAMISEMI membe akampa riz ela kuhakksha jina la lowasa linaondolewa kwan aliamn lowasa atajipanga kisiasa na akatumia gazeti la raia mwema kumchafua fre lowasa ili aonekane lowasa ni mchafu ila tunajua hakuna mchafu na mfitini kama membe ikulu ataishia kuiona kwa macho....aman karume ameshawaonya wahuni (kina nape)wanaotumia jina la ccm kuuza bidhaa( mgombea) isiyouzika kuwa waache mara moja na uongozi wa juu wa chama uwaonye kwani watanzania wakizuiwa kununua bidhaa wanayoitaka ata kwa kuwekewa majabali watayavunja ili wampate mgombea wao ambaye yeye anaamini bidhaa inayouzika ndani ya ccm ni lowasa
Membe simtaki.tunaomba nyumba ya lowasa iliyopo London iuzwe pesa irudi serikalini
 
Natumai kodi walitulipa maana kama mfanyakazi anayepata 170100 analipia hiyo nyongeza ya 100 kwa 13% hawa mabilioni kwa mwezi kama wanalipa kodi sawa sawa tungekuwa mbali sana.

MP Kalix

Umewashtua mapema ...wacha waje wajichanganye kwanza tuende hatua ya pili

Pasco, haya masuala ya intergrity haya....
 
Last edited by a moderator:
Mi simkubali lowassa lakini fred lowassa alishatolea ufafanuzi tuache wivu , alisema kampuni moja tu ya alpha tel inaingiza mabilioni kwa mwezi washindwe kununua nyumba ya thamani hiyo ....
 
OK,kama walimchunguza waligundua nini sasa?Acheni siasa za kuchafua watu,alichokibariki Mungu amekibariki tu
 
Kama ni serious kiasi hiki,je Barua hii ya kijasusi kuhusu uchunguzi wa 'money laundering' dhidi ya huyu mtoto wa Mgombea Urais mtarajiwa imefikia wapi?Ilishawahi kutolewa ufafanuzi na vyombo vyetu vya usalama au wahusika wenyewe?
Mkuu Ben, nauheshimu mchango wako ila natatizwa na 'the motive behind' bandiko lako hili!, kwenye nyumba ya vioo, usirushe mawe kama haya!, tukianza kurushiana mawe ya tit for tat si unajua matokeo yake?!. Hii ni umepiga below the belt!, hala hala nilikutahadharisha, kwa vile bado hujamjua mgombea wa UKAWA, ni vizuri ukatulia kuepuka kumchokoa mtu huyu, ili wakati wa kumnadi uweze kumnadi with clear conscious vinginevyo unakazi kubwa kuja kumeza matapishi yako, wakati huo ukifika!.Pasco
 
Mkuu Ben, nauheshimu mchango wako ila natatizwa na 'the motive behind' bandiko lako hili!, kwenye nyumba ya vioo, usirushe mawe kama haya!, tukianza kurushiana mawe ya tit for tat si unajua matokeo yake?!. Hii ni umepiga below the belt!, hala hala nilikutahadharisha, kwa vile bado hujamjua mgombea wa UKAWA, ni vizuri ukatulia kuepuka kumchokoa mtu huyu, ili wakati wa kumnadi uweze kumnadi with clear conscious vinginevyo unakazi kubwa kuja kumeza matapishi yako, wakati huo ukifika!.Pasco

Acha uoga, operations ziko na mkakati, na options zipo sana.
 
Hata riz1 kikwete alikamatwa na dawa za kulevya china na babake alisafiri usiku kucha kumuokoa.
 
This was a very serious crime and the government of Kikwete stayed quite. What a shame. Now this thief Lowassa wants to be the president. I will be leaving this country to Rwanda if Lowassa becomes one.

''Hatukukutana Barabarani''
 
Mkuu Ben, nauheshimu mchango wako ila natatizwa na 'the motive behind' bandiko lako hili!, kwenye nyumba ya vioo, usirushe mawe kama haya!, tukianza kurushiana mawe ya tit for tat si unajua matokeo yake?!. Hii ni umepiga below the belt!, hala hala nilikutahadharisha, kwa vile bado hujamjua mgombea wa UKAWA, ni vizuri ukatulia kuepuka kumchokoa mtu huyu, ili wakati wa kumnadi uweze kumnadi with clear conscious vinginevyo unakazi kubwa kuja kumeza matapishi yako, wakati huo ukifika!.Pasco


Duh! Haya ni yale ya sisi wote wamoja siyo!
Kwamba UKAWA kutakuwa na mgombea Fisadi kwa hiyo tunyamaze! Any way pengine mnajuana na Ben kama washirika wa kulinda maovu!

CC Ben Saanane



 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ben, nauheshimu mchango wako ila natatizwa na 'the motive behind' bandiko lako hili!, kwenye nyumba ya vioo, usirushe mawe kama haya!, tukianza kurushiana mawe ya tit for tat si unajua matokeo yake?!. Hii ni umepiga below the belt!, hala hala nilikutahadharisha, kwa vile bado hujamjua mgombea wa UKAWA, ni vizuri ukatulia kuepuka kumchokoa mtu huyu, ili wakati wa kumnadi uweze kumnadi with clear conscious vinginevyo unakazi kubwa kuja kumeza matapishi yako, wakati huo ukifika!.Pasco

Mkuu Pasco,Shukrani sana!

Kuna watu walisema oh ni mfanya biashara mkubwa.Kuna maswala ya kodi.Kuna haja ya kujua muendelezo wa barua hii pia.Lengo langu ni kuondoa doubts zote tu kwa nia njema kabisa ili asije akaonewa huko baadae...

Siku chache zijazo nitakuja na nyingine watanzania watakua shocked....!
 
Last edited by a moderator:
Duh! Haya ni yale ya sisi wote wamoja siyo!
Kwamba UKAWA kutakuwa na mgombea Fisadi kwa hiyo tunyamaze! Any way pengine mnajuana na Ben kama washirika wa kulinda maovu!

CC Ben Saanane




Mp Kalix2

Tafadhali sana mkuu,

Pasco anafanya makusudi tu. Usimwamini na ushirika huo anaoniwekelea lengo lake ni kuhakikisha imani ya wengi dhidi yangu/yetu inajeruhiwa tu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ben, nauheshimu mchango wako ila natatizwa na 'the motive behind' bandiko lako hili!, kwenye nyumba ya vioo, usirushe mawe kama haya!, tukianza kurushiana mawe ya tit for tat si unajua matokeo yake?!. Hii ni umepiga below the belt!, hala hala nilikutahadharisha, kwa vile bado hujamjua mgombea wa UKAWA, ni vizuri ukatulia kuepuka kumchokoa mtu huyu, ili wakati wa kumnadi uweze kumnadi with clear conscious vinginevyo unakazi kubwa kuja kumeza matapishi yako, wakati huo ukifika!.Pasco
Usitake kunichefua mkuu.inamaana umeona ukawa ndio kimbilio la mafisadi? Hebu tumia akili unapotoa hoja zako hapa ili ujijengee heshima.nasikia ni mwandishi wa habari sasa wewe kama mwandishi mpaka sasa hujui mtu safi ni nani ni hatari sana.au na wee umenunuliwa mnashinda kwa lowasa kusubiri wageni mpige picha?
 
Huyu aliyeileta hii, ameileta kwa sababu ndiyo aliyokuwa nayo hadi sasa. Yeye anaamini kuwa huyu LOWASSA bado hajasafishwa, maana hajaiona hiyo nyingine ya kumsafisha LOWASSA. Cha msingi ni hiki: kama wewe unayo hiyo nyingine ambayo imemsafisha LOWASSA, basi ilete jamvini tuione. Huwezi kusema LOWASSA alishasafishwa bila kutuwekea barua ya kumsafisha. Swala jingine kuhusu "For Intelligence Use Only": Ni nani aliyekuambia kuwa kila lililo la siri basi ni la siri? Litakuwa la siri kama limeendelea kuwa la siri, bali likishabumburuka kwa watu haliwi la siri tena. Hata kama limeandikwa ni la kiintelijensia, basi nasi tunakuwa sehemu ya intelijensia hiyo maana tumeshalifahamu tayari! Acha ushabiki, kuwa na uchungu kwa taifa lako Mkuu.

1. Mimi namzungumzia aliyevujisha toka ofisini, sio Ben Saanane aliyeileta jamvini, mtu huyo either anafanya kazi FIU barua ilikofikia au Scotland yard barua ilikotoka. Barua za kiofisi zinajibiwa kiofisi, kama mtu huyu alikuwa na access ya kupata barua hii kwa nini asiwe na same access ya kupata mwendelezo wake? Haiwezekani barua alete mtu huyo halafu eti majibu yaombwe kwa umma!

2. Barua haijamchafua lowassa wala mwanae kwa lolote lile, unless kingereza ni shida. Kwa kifupi barua inaomba msaada wa kusaidia uchunguzi uliokuwa unafanyika juu ya miamala ya fred lowassa. Uchunguzi sio kuchafuliwa especially ukizingatia kuwa uchunguzi wenyewe ulikuwa ni siri, ni mmbea tu aliyevujisha hii barua ili kumpaka matope lowassa. Chunguzi ambazo zinalenga kumshitaki mtu huwa ni public na sio siri. Kutokana na taarifa ambazo hao FIU wangewasilisha, ndipo sasa hao waingereza wangekuwa katika position ya kusema wazi kuwa wanatatizo na Lowassa au la, up to then walikuwa wana-suspect/wanahisi tu!

3. Kwenye tafsiri yako ya dhana ya siri naomba nikupinge. Duniani kote mambo ambayo yako kwenye utaratibu wa siri kama hiyo barua huwa hayajibiwi na serikali! Kwa sababu hayakutakiwa kujulikana in the first place. kama unafatilia mambo rejea ishu ya wikileaks. Siri za serikali mbali mbali zilivuja lakini hakuna serikali yoyote makini iliyojibu wala kufafanua lolote kwenye zile documents zilizovuja. Hii ni kwa sababu yaliyovuja hayakuandikwa for public consumption yalikuwa ni mawasiliano ya ndani. Wapi umeona eti jambo likivuja na jamii nayo inageuka sehemu ya intelijensia? hilo litakuwa jambo la ajabu.
Mfano Chadema hawakuwahi kutolea ufafanuzi wa sera zipi za chadema "mwana intelijensia" Wilfred Lwakatare alizokuwa anatekeleza wakati anapanga kumteka mwandishi Dennis Msacky kwenye video iliyozagaa mitandaoni. Mbona mpaka leo wamekaa kimya na video iko in public? Na hapo je vipi, unadhani jamii ina haki ya kudai kuwa "sehemu ya intelijensia" kama unavyotaka iwe kwenye uchunguzi dhidi ya mtoto wa lowassa?

4. Sina ushabiki wa aina yoyote ule, tatizo ninaloliona ni kuwa mko hell-bent kumpaka matope lowassa bila sababu. Akili ya kawaida inaniambia kuwa barua hiyo ilishajibiwa ila huyo aliyevujisha (sio aliyeileta jamvini) hataki kuweka wazi hilo.
Pili, soma barua yenyewe. Kinachoombwa na Uingereza ni msaada wa due-dilligence kuhusu vielelezo ambavyo fred lowassa aliviwasilisha uingereza kuthibitisha uhusiano wake na vyanzo vya mapato vinavyomuwezesha kufanya miamala hiyo mikubwa mikubwa. Hapo kuna kashfa? kuna tatizo? Ndugu yangu hata Mbowe akienda UK au Dubai kununua nyumba utaratibu utamtaka aseme vyanzo vyake vya mapato, na akivisema kama alivyosema fred lowassa, mamlaka ya kule ikitaka kujiridhisha zaidi, itawasiliana na FIU, ndio kazi ya FIU mkuu! Ndio maana barua inasema "for intelligence use only" maana yake ni kwa ajili ya kujifahamisha tu sio kwa ajili ya kumshitaki Lowassa!
Barua ambayo wewe unaitaka kutoka FIU itasema kimojawapo kati ya vitu viwili:
a) Ni kweli Fred lowassa ni mmiliiki wa hivyo vyanzo ALIVYODAI ANAVIMILIKI na mapato yake ni halali au b) Si kweli kuwa fred lowassa ana miliki hivyo vyanzo ALIVYODAI ANAVIMILIKI . Je wewe unaona lipi hapo ni jibu sahihi? Obviously jibu litakuwa ni hilo la kwanza na akili yangu mimi inasema tayari FIU walishajibu hilo, kwa sababu kama jibu lingekuwa ni hili la pili, Uingereza ingeshamshitaki Fred lowassa kitambo!
Mimi kwa kupitia humu humu JF nimeshasoma sana juu ya "utajiri wa lowassa" ambao umetaja kampuni zote ambazo fred lowassa kaandika humo, siwezi kupoteza usingizi kwa hilo, au wewe unabisha kuwa familia ya Lowassa haina utajiri huo wa kuweza kununua nyumba London?
Wengi hapa wanachotaka kujadili hasa ni vyanzo vya mapato vya Lowassa, hii barua ni gia tu!
cc: Pasco
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom