Baridi ya Njombe

Baridi ya Njombe

Acha uchafu Mkuu ukiamka baadaye hebu oga banaaa huwezi kukauka.
Dah huku acha wakae wenyeji hii baridi hapana. Nina siku ya tatu leo sijaoga wala sina mpango. Ntaenda kuoga hata iringa au ruaha mbuyuni
 
Nipo Njombe kwa shughuli zangu binafsi na hii ndio hali ya hewa ya leo. Baridi kali 9°C asubuhi hii na usiku ndio ilikua kali zaidi.
Nawatakia siku njema waungwana.

View attachment 1821202
inachangia mshawasha kwa wanawake na kupelekea "ngono" ya hali ya juu na ndio sababu kuna UKIMWI sana huu mkoa na pia kuna mimba nyingi sana za watoto.
 
Haizoeleki mkuu sasa ninachojiuliza mkuu mbona baridi ya huku inafanya uwe mweusi lakini ya ulaya unang'aa kama nn yan
Kinachofanya mtu awe mweus ni jua..ulaya hakuna jua kabisa..jua ni la manati...huku jua kali..tena ukienda huku nyanza za juu kusin..maana ya nyanda za juu manake ukipima kimo/urefu kutoka Dar kwenye bahar ni zero..huko utakuta znazoma 2500m-3000m juu...yaan ni sawa uwepo dar halaf upande ngazi yenye urefu wa mita 3000 kwenda juu. Unakuta barid kali na jua ni kali so mwil unatengeneza melanin ya kutosha ili kukukinga na mionz ya jua so hyo melanin ndo inafanya huo weusi...mkiambiwa Mungu fundi muwe munaelewa.
 
huko ni mwendo wa kuunganishiana magridi ya taifa na baridi hilo, na vile imeshuka mpaka 27k,
Niliwai fanya project moja pale na shirika flan.hapo makete...kijij kizima watu wameathirika maani.na...na wana afya mbaya...wanakula viazi tu ..dah.nkasema hii dunia inamana hata kondom elim hawana..mtu anakuuliza kondom unaivaa wap
 
Mkuu ukifika makete kule ndo kuna balaa..

Kuna kipindi inapiga hadi mazao yanakauka.

Mi nilikuepo mwaka jana kuanzia mwezi wa 6-8 kuna baridi la hatari..

Na hivi najipanga nirudi tena
Ulipata mama ya kujifariji nayo lakini?
 
Back
Top Bottom