Baridi ya Njombe

Baridi ya Njombe

Mwaka jana Makambako pale karibu na sokoni kuna nyumba ilizungushiwa utepe wakadai kuna mgonjwa wa corona so wameiweka nyumba lockdown ilikua inalindwa na askari police
Kuna Basi ilisemekana Lina mgonjwa wakalipiga ban mizan pale watu tukakaa mbali mita hamsin no body in nobody out likapelekwa lockdown magegere kila mtu kwa gharama zake kuja kupima tena hakuna mgonjwa just imagine hasara yake.... sometimes mk is very fucking🤕
 
Wakati nakuja nilisimama Iringa kununua maji pale karibu na Ipogolo, nashangaa muuza duka anatoa maji kwenye katoni ananipa nikamwambia nataka ya baridi akashangaa nataka baridi gani tena kumbe ac ya gari ilikua inanidanganya. Kufika huku njombe yale maji niliyonunua nayaangalia tu hata kuyanywa sitamani kwa ule ubaridi.
 
Kuna Basi ilisemekana Lina mgonjwa wakalipiga ban mizan pale watu tukakaa mbali mita hamsin no body in nobody out likapelekwa lockdown magegere kila mtu kwa gharama zake kuja kupima tena hakuna mgonjwa just imagine hasara yake.... sometimes mk is very fucking🤕
😅😅😅
 
Hapana mkuu ametusaidia sana yule mzee kuna kitu kakijenga watanzania angalia mama anavyopata upinzani kila akivaa barakoa hakuna mtu anamfuata kuvaa yan anatafta gia lakini wapi watu bado wanamuamini mwendazake na mbinu yake hii
Tulilishwa ujinga tangu kale.Mwingine alitutungia kitabu aka ki-entitle "How Europe underdeveloped Africa"!Ni uzembe mtupu kukubali visingizio.Walikuwa wapi hadi wanakuwa "underdeveloped"?
 
Wakati nakuja nilisimama Iringa kununua maji pale karibu na Ipogolo, nashangaa muuza duka anatoa maji kwenye katoni ananipa nikamwambia nataka ya baridi akashangaa nataka baridi gani tena kumbe ac ya gari ilikua inanidanganya. Kufika huku njombe yale maji niliyonunua nayaangalia tu hata kuyanywa sitamani kwa ule ubaridi.
Maji yanaubaridi kama yametoka kwenye friji mkuu
 
Hapana mkuu ametusaidia sana yule mzee kuna kitu kakijenga watanzania angalia mama anavyopata upinzani kila akivaa barakoa hakuna mtu anamfuata kuvaa yan anatafta gia lakini wapi watu bado wanamuamini mwendazake na mbinu yake hii
Ni kweli yule mzee aliicheza karata dume kwenye corona, watanzania hawana hofu na covid tofauti na wananchi wa nchi zingine wengi wanakufa kwa hofu
 
huko ni mwendo wa kuunganishiana magridi ya taifa na baridi hilo, na vile imeshuka mpaka 27k,
 
Huko sioni haja ya serikali kupoteza pesa zake kuwajengea mochwari.

Marehemu unamlaza TU nje yuu ya TURUBAI, Wiki nzima haozi
 
Kama ni mzururaj usiku huwa inadrop Hadi tano,....huko makete na lupembe ni balaa had mimea huwa Ina kauka

Niliwahi kuwa Lupembe kuna sehemu moja iko chini kuna kiwanda cha Chai, aisee ngoma ilifika 4 au 5 degrees Centigrade. Chakushangaza kuna mtoto asubuhi nilikutana nae yuko kifua wazi. Mimi nilipewa chai midomo ikababuka, yaani ile baridi ni balaa.
 
Duh aisee hii ni hatari, kama itafika 6 basi naomba hali hiyo isinikutie huku.
Leo usiku mida ya saa 7 , ilikuwa 5 degree, na mie nipo njombe nimeingia usiku ila silali hapa asee ,nitaenda oga iringa au mtera
 
ACHA KUDEKA MKUU.

Hapa Ni "Oymyakon"
joto linasoma -60°C na watu bado wanaishi.

images-190.jpg
images-189.jpg
images-191.jpg
 
Niliwahi kuwa Lupembe kuna sehemu moja iko chini kuna kiwanda cha Chai, aisee ngoma ilifika 4 au 5 degrees Centigrade. Chakushangaza kuna mtoto asubuhi nilikutana nae yuko kifua wazi. Mimi nilipewa chai midomo ikababuka, yaani ile baridi ni balaa.
Ni noma huko
 
Lakn unaweza kutana na watu wanasema leo angalau kuna joto😂😂😂
Hiyo nimekutana nayo mkuu, kuna jamaa nilikutana nae Makambako nikawa nalalamika akasema hapa mbona joto baridi ipo huko makete kwao, jamaa mwingine akadakia akasema Makete mbona joto kule baridi ipo Isimani sijui wapi akasema.
Nikabaki mdomo wazi!
 
Wakuu naombeni ushauri, kajua kametoka sasa shemeji yenu ananilazimisha nikaoge eti kisa keshachemsha maji. Me nimemwambia sijisikii kuoga maana sio lazima. Hapa tumekwazana kwa ajili ya hilo.
Eti jamani kuna haja ya kulazimishana kuoga wakati kila mtu na mwili wake halafu siku zenyewe ambazo sijaoga ni tatu yaani siku tatu tu.
 
Back
Top Bottom