Ni utaratibu tu,Sasa mkuu kwanini wanafunga muda huo, sababu ni baridi, ushirikina au wateja hamna?
Pole sana mkuu, baridi la Iringa huwa linanishinda, huko Njombe nitaganda kabisaDah huku acha wakae wenyeji hii baridi hapana. Nina siku ya tatu leo sijaoga wala sina mpango. Ntaenda kuoga hata iringa au ruaha mbuyuni
😅😅kwamba kifo hakina chamaVua shati ufanye jogging kuanzia hapo ulipo hadi Ruhuji na kurudi.Hautatamani koti tena mkuu.Usijaribu.Kifo hakina chama.😂😂😂😂
Basi muache agande na barafuMtawa huyo mkuu.
Kumbe bado kuna joto.Miaka ya Nyuma ilikuwa inagonga negative.Nipo Njombe kwa shughuli zangu binafsi na hii ndio hali ya hewa ya leo. Baridi kali 9°C asubuhi hii na usiku ndio ilikua kali zaidi.
Nawatakia siku njema waungwana.
View attachment 1821202
Kililala mbele na yule mdingi, ama kweli hakina chama hahahaaakwamba kifo hakina chama
Usalama, makambako Kuna kadogo wamewahi piga mabelo ya vitenge mengi af ni wadogo kichiz...ilibid wachangiwe warudishwe vijijin SI unajua watt wa mitaan asilimia kubwa wanatokea bush....pia muda mapumziko na kadhalika lakn mitaa ya posta Kuna maduka ya nakawia kufungwa na mengine yanakesha pamoja na migahawa maeneo ya goldtowerSasa mkuu kwanini wanafunga muda huo, sababu ni baridi, ushirikina au wateja hamna?
Ok nimeelewa mkuu, angalau saa hz nimetoka nje nataka nikatembee kidogo niuone mji ila kabla ya saa kumi narudi ndani maana kabaridi bado kapoUsalama, makambako Kuna kadogo wamewahi piga mabelo ya vitenge mengi af ni wadogo kichiz...ilibid wachangiwe warudishwe vijijin SI unajua watt wa mitaan asilimia kubwa wanatokea bush....pia muda mapumziko na kadhalika lakn mitaa ya posta Kuna maduka ya nakawia kufungwa na mengine yanakesha pamoja na migahawa maeneo ya goldtower
Acha uoga mzee Ila huko unaweza kunywa chai ya Moto na ukaichkulia POA ukashtuka mdomo unabanduka ngozOk nimeelewa mkuu, angalau saa hz nimetoka nje nataka nikatembee kidogo niuone mji ila kabla ya saa kumi narudi ndani maana kabaridi bado kapo
Kuna jamaa kanishawishi niende nae tena kwa pikipiki nimekataa, baridi hii na pikipiki si nitaganda na kuwa barafu!Mkuu ukifika makete kule ndo kuna balaa..
Kuna kipindi inapiga hadi mazao yanakauka.
Mi nilikuepo mwaka jana kuanzia mwezi wa 6-8 kuna baridi la hatari..
Na hivi najipanga nirudi tena![]()
Mkuu nimekaa miaka sita nilikua mweupe pee ila nikageuka kuwa mweupe si mweupe black si blackDah huku acha wakae wenyeji hii baridi hapana. Nina siku ya tatu leo sijaoga wala sina mpango. Ntaenda kuoga hata iringa au ruaha mbuyuni
Mpaka leo wanafanya hivyo? Nilijua huu ushamba wameacha mafinga pale unakutwa mnafukuzwa kabisa wanafunga kamba soko zimaSasa mkuu kwanini wanafunga muda huo, sababu ni baridi, ushirikina au wateja hamna?