Baridi ya Njombe

Baridi ya Njombe

Sasa mkuu kwanini wanafunga muda huo, sababu ni baridi, ushirikina au wateja hamna?
Usalama, makambako Kuna kadogo wamewahi piga mabelo ya vitenge mengi af ni wadogo kichiz...ilibid wachangiwe warudishwe vijijin SI unajua watt wa mitaan asilimia kubwa wanatokea bush....pia muda mapumziko na kadhalika lakn mitaa ya posta Kuna maduka ya nakawia kufungwa na mengine yanakesha pamoja na migahawa maeneo ya goldtower
 
Usalama, makambako Kuna kadogo wamewahi piga mabelo ya vitenge mengi af ni wadogo kichiz...ilibid wachangiwe warudishwe vijijin SI unajua watt wa mitaan asilimia kubwa wanatokea bush....pia muda mapumziko na kadhalika lakn mitaa ya posta Kuna maduka ya nakawia kufungwa na mengine yanakesha pamoja na migahawa maeneo ya goldtower
Ok nimeelewa mkuu, angalau saa hz nimetoka nje nataka nikatembee kidogo niuone mji ila kabla ya saa kumi narudi ndani maana kabaridi bado kapo
 
Mkuu ukifika makete kule ndo kuna balaa..

Kuna kipindi inapiga hadi mazao yanakauka.

Mi nilikuepo mwaka jana kuanzia mwezi wa 6-8 kuna baridi la hatari..

Na hivi najipanga nirudi tena
Kuna jamaa kanishawishi niende nae tena kwa pikipiki nimekataa, baridi hii na pikipiki si nitaganda na kuwa barafu!
 
Back
Top Bottom