Hapo bado hadi ifike chini ya sufuri.Nipo Njombe kwa shughuli zangu binafsi na hii ndio hali ya hewa ya leo. Baridi kali 9°C asubuhi hii na usiku ndio ilikua kali zaidi.
Nawatakia siku njema waungwana.
View attachment 1821202
Vua shati ufanye jogging kuanzia hapo ulipo hadi Ruhuji na kurudi.Hautatamani koti tena mkuu.Usijaribu.Kifo hakina chama.![]()




Haujapazoea tu.Kuna watoto kuanzia miaka mitano wapo saa hizi barabarani wanacheza tu na baiskeli zao za mbao zinaitwa "vibagadu"!Wako full shangwe!![]()




Sikuhizi hata Mbeya Mjini ilikuwa baridi lakini naona kwa sasa kuna joto hamna kitu yaani Sumbawanga ina barid kuliko MbeyaKumbe bado kuna joto.Miaka ya Nyuma ilikuwa inagonga negative.
Nipo Njombe kwa shughuli zangu binafsi na hii ndio hali ya hewa ya leo. Baridi kali 9°C asubuhi hii na usiku ndio ilikua kali zaidi.
Nawatakia siku njema waungwana.
Matamba itakuwa -ve kama Njombe imefika 2Makete ile baridi ya mwezi wa sita ni kiboko!
Njombe miti inazuia upepo , makambako hakuna🤣🤣🤣🤣 makambako kuna upepo mkali unatokea upande wa njombe ila nikiwa njombe upepo siusikii ina maana ile baridi ya njombe huwa inasukumiziwa makambako au!
Wale watoto cha sana ni wana mafua yasioisha tena yalr mazito..wenyeji wanasema yamekomaa...dah..miguu peku...wamepauka mashavu kwaajili ya baridi..dah..sitak kbs huko mimiHaujapazoea tu.Kuna watoto kuanzia miaka mitano wapo saa hizi barabarani wanacheza tu na baiskeli zao za mbao zinaitwa "vibagadu"!Wako full shangwe!😂😂😂😂
Huko hata upate deal la maana ngumu kusurvive..arghYaani balaa mkuu, kwa baridi hii huku ni kuja na kuondoka sio pa kuweka makazi ya kudumu.
Hata mm huko kwa hicho kiwanda nilifika kesho nikageuzaNiliwahi kuwa Lupembe kuna sehemu moja iko chini kuna kiwanda cha Chai, aisee ngoma ilifika 4 au 5 degrees Centigrade. Chakushangaza kuna mtoto asubuhi nilikutana nae yuko kifua wazi. Mimi nilipewa chai midomo ikababuka, yaani ile baridi ni balaa.
Wakuu naombeni ushauri, kajua kametoka sasa shemeji yenu ananilazimisha nikaoge eti kisa keshachemsha maji. Me nimemwambia sijisikii kuoga maana sio lazima. Hapa tumekwazana kwa ajili ya hilo.
Eti jamani kuna haja ya kulazimishana kuoga wakati kila mtu na mwili wake halafu siku zenyewe ambazo sijaoga ni tatu yaani siku tatu tu.



!Ye anune tu me siogi

!Wakuu naombeni ushauri, kajua kametoka sasa shemeji yenu ananilazimisha nikaoge eti kisa keshachemsha maji. Me nimemwambia sijisikii kuoga maana sio lazima. Hapa tumekwazana kwa ajili ya hilo.
Eti jamani kuna haja ya kulazimishana kuoga wakati kila mtu na mwili wake halafu siku zenyewe ambazo sijaoga ni tatu yaani siku tatu tu.




Ndo me nashangaa yaani siku tatu tu analalamika ikiwa hata jasho sitokwiMueleweshe shemeji yetu, mwambie wastani wa mwanaume kukaa bila kuoga ni wiki 2... na hiyo ni kwa Dar!
Kwa huko mkoani wastani ni mwezi mmoja!
Kwahiyo hizo siku 3 unapaswa uongezee na zingine angalau 27 ndo kitaalam inakaa sawa!