Baridi ya Njombe

Baridi ya Njombe

Jana usiku nimelala chumbani nasikia wenyeji nje wanalalamikia baridi imezidi. Nikajiuliza kama wenyeji wanalalamika hivi mimi ni nani nijikaze na hii baridi.
Haizoeleki mkuu sasa ninachojiuliza mkuu mbona baridi ya huku inafanya uwe mweusi lakini ya ulaya unang'aa kama nn yan
 
Jana usiku nimelala chumbani nasikia wenyeji nje wanalalamikia baridi imezidi. Nikajiuliza kama wenyeji wanalalamika hivi mimi ni nani nijikaze na hii baridi.
Ungejitia ushujaa na kuwaambia..."msifadhaike ndugu zangu.Tumeiweza korona nini baridi.Iweni na uvumilivu.Makoti,masweta na mashuka tupeni kuleee"...!
 
Haizoeleki mkuu sasa ninachojiuliza mkuu mbona baridi ya huku inafanya uwe mweusi lakini ya ulaya unang'aa kama nn yan
Kuna vijiji vipo hko ukipitia ilembura Yan hakueleweki , mchana linawaka jua Kali Kama usangu na unababuka af usiku barid Kali ya makambako ....utaipenda
 
Kawaida Sana huko, Tena Bora njombe , makambako unapga baridi ikiwa ndan ya kifungashio Cha upepo, ngoma inapenya kwenye mifupa hasa kutoka mizan Hadi green city hall
🤣🤣🤣🤣 makambako kuna upepo mkali unatokea upande wa njombe ila nikiwa njombe upepo siusikii ina maana ile baridi ya njombe huwa inasukumiziwa makambako au!
 
Kuna vijiji vipo hko ukipitia ilembura Yan hakueleweki , mchana linawaka jua Kali Kama usangu na unababuka af usiku barid Kali ya makambako ....utaipenda
Mafinga jua kali la saa saba lakini unavaa koti na mzura pamoja na groves na bado unaskia baridi
 
Mwaka jana Makambako pale karibu na sokoni kuna nyumba ilizungushiwa utepe wakadai kuna mgonjwa wa corona so wameiweka nyumba lockdown ilikua inalindwa na askari police
Upumbavu mkubwa kwa hyo polisi wao corona hawaogopi?
 
Ndio mana ngwengwe inasumbua huko, hali ya hewa inahamasisha watu kunyanduana kwenda mbele! 🤣
 
Back
Top Bottom