Baridi ya mji kasoro bahari imenishinda ...msaada please!

Baridi ya mji kasoro bahari imenishinda ...msaada please!

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
8,097
Reaction score
10,945
Nipo Morogoro kwa muda ,ila baridi hili la masika linanisumbua ,wadada wa morogoro npieni kampani.
 
Pitia Kaumba lazima utafanikisha blanketi chapa mtu nizuri sana kipindi hiki cha baridi hapo Moro ushindwa tafuta gesti yenye hadhi ili upewe blanketi nzito sana.
 
Na mie mgeni daslamu, natafuta blanket jamani na mwamvuli. Msaada tutani.
 
heh, badala ya kunisaidia unanicheka jamani. masweta na mablanket daslamu ntapata wapi? nahitaji na mtumbwi pia tafadhali

ha ha ha mkuu sa huo mtumbwi utaupandia wapi ama wataka kwenda zenji weye ! He he he
 
heh, badala ya kunisaidia unanicheka jamani. masweta na mablanket daslamu ntapata wapi? nahitaji na mtumbwi pia tafadhali

Nakucheka kwanini hukuweka akiba kipindi cha kiangazi umesubiri had msimu .utapata yaliyotoboka bure
 
Back
Top Bottom