Traviana Tray
JF-Expert Member
- Jul 8, 2017
- 546
- 457
kama ndyo huyo mbona wa kawaida sanaaaa alafu anapelekesha wenzie.Naomba nisiongeze neno tafadhali...View attachment 812983
kama ndyo huyo mbona wa kawaida sanaaaa alafu anapelekesha wenzie.Naomba nisiongeze neno tafadhali...View attachment 812983
Naona mmeanza kufukua hadi picha zake..Kama ndio huyu, ebu tutake radhi mkuu....
View attachment 812982
Labda anadhani wako chumbani na sio kaziniHuyu mwanadada/mwanamama ndo anayeongoza kipindi cha asubuhi cha Power breakfast,lakini amekuwa na tabia ya kuwakaripia kina masoud kipanya na ciza.
Kuna kipindi wakati Ciza ndo ameingia kwenye PB,alikuwa anamkatisha katisha wakati jamaa alikuwa anaongea,tena vitu vinavyomake sense,,mara amtishie atamzimia Mic mara vile,yaani vurugu tupu..
Sasa jana kazira kipindi kizima kisa Masoud kipanya alimwambia akae kimya,yeye aongee..na hii ndo tabia yake kukaripia wenzake,lakini yeye kidogo tu anazira..
Huyu mwanamama inabidi ajirekebisha..anakera sana
Barbra Hassan unaiharibu Power BreakfastHuyu mwanadada/mwanamama ndo anayeongoza kipindi cha asubuhi cha Power breakfast,lakini amekuwa na tabia ya kuwakaripia kina masoud kipanya na ciza.
Kuna kipindi wakati Ciza ndo ameingia kwenye PB,alikuwa anamkatisha katisha wakati jamaa alikuwa anaongea,tena vitu vinavyomake sense,,mara amtishie atamzimia Mic mara vile,yaani vurugu tupu..
Sasa jana kazira kipindi kizima kisa Masoud kipanya alimwambia akae kimya,yeye aongee..na hii ndo tabia yake kukaripia wenzake,lakini yeye kidogo tu anazira..
Huyu mwanamama inabidi ajirekebisha..anakera sana
Kuna wakati nilidhani ni drama zao, lakin zinapokuja kwenye issue Makini alafu unasikia Drama!! Kuna tatizo sehemu! Shukran kwa mrejesho.Akiwepo ciza,pj na kipanya mambo yanaenda fresh,ila yeye akiwepo,kila kitu anajifanya anakijua,na ubabe wa kuwazimia mic wenzake..
ukisikia tabia za kike ndio hzio,mwanamke kumpangia kazi na wanaume lazima ataonesha tu udhaifu wake,mungu alikua na sababu kuwaweka chini viumbe hawaHuyu mwanadada/mwanamama ndo anayeongoza kipindi cha asubuhi cha Power breakfast,lakini amekuwa na tabia ya kuwakaripia kina masoud kipanya na ciza.
Kuna kipindi wakati Ciza ndo ameingia kwenye PB,alikuwa anamkatisha katisha wakati jamaa alikuwa anaongea,tena vitu vinavyomake sense,,mara amtishie atamzimia Mic mara vile,yaani vurugu tupu..
Sasa jana kazira kipindi kizima kisa Masoud kipanya alimwambia akae kimya,yeye aongee..na hii ndo tabia yake kukaripia wenzake,lakini yeye kidogo tu anazira..
Huyu mwanamama inabidi ajirekebisha..anakera sana
Halafu linavyojifanya linajua kizungu basi. Kizungu chenyewe cha kuunga unga. Yaani ni lilimbukeni balaa.mi mwenyewe linanikera sana lile li mwanamke
alafu linapenda sifa sjui lipoje.
Hapana mkuu, Jf ni hazina ya kilakitu... tehteehhhNaona mmeanza kufukua hadi picha zake..
vampireNaomba nisiongeze neno tafadhali...View attachment 812983
anajitia aibu mnooooHalafu linavyojifanya linajua kizungu basi. Kizungu chenyewe cha kuunga unga. Yaani ni lilimbukeni balaa.
Utadhani Balloon..... tehteehhhvampire
Sijui kama anajua hilo.anajitia aibu mnoooo
Nadhani ulimaanisha baboon, hahahahahahUtadhani Balloon..... tehteehhh
Mkuu, nimekuambia Jf nikama chungu cha bibi...Kumbe kuna mdau ashaongea haya tokea 2016
Nadhani ulimaanisha baboon, hahahahahah