FarLeftist
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 363
- 20
Wadau jana kwenye hotuba Bungeni nilimsikia akisema kwamba ataunda baraza bila kujali vyama, je kuna dalili yoyote akachagua mawaziri kutoka vyama vingine? hii itakuaje na msimamo wetu CHADEMA uko wazi tayari..