Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 719
Anaumwa Mzee isije ikawa ya Marehemu Mgimwa.Mabadiliko yoyote bila pinda kuondoka ni kazi bureNina wasiwasi na no 2 ni tu mwogamwoga ingawaje ni mtu msomi
Anaumwa Mzee isije ikawa ya Marehemu Mgimwa.Mabadiliko yoyote bila pinda kuondoka ni kazi bureNina wasiwasi na no 2 ni tu mwogamwoga ingawaje ni mtu msomi
Kwa mamlaka aliyopewa na KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,kuna habari kuwa lawrence masha atakula shavu..kwa kuteuliwa kama mbunge,then kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani..kwa mwenye any source please.
Jamani hebu tuwe serious! Hizi tetesi nyingine hazina hadhi hata ya kuwa tetesi.Kwa mamlaka aliyopewa na KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,kuna habari kuwa lawrence masha atakula shavu..kwa kuteuliwa kama mbunge,then kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani..kwa mwenye any source please.
Tibaijuka amefanya nini wizara ya ardhi, aondolewe kabisa, waje watu wenye uwezo, profe bila taaluma na taaluma bila michango kwa maendeleo na maboresho ya sera ni kazi bure
Lugola Elimu ndogo
samweli sitta mambo ya ndani ya inchi,magufuli maliasili na utalii, mwakyembe elimu,kagasheki ujenziupo sahihi. Taja taja yangu ililenga zaidi kuchokoza mada, natarajia wachangiaje wengine waje na mapendekezo yao au kupinga ya kwangu kwa hoja kuliko siasa.
Sent from my blackberry 8520 using jamiiforums
Heeee!Yaani miaka nane amekuwa 'dhaifu' sasa hii miaka miwili itabadilisha nini?
Hakuna jipya hapo!May be we should wait 2015!