mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Watarudishwa kulingana na Mgawanyo wa mikoa Kangi hatoweza kupata kwa kuwa Mawaziri wa Mkoa wake hawajaguswa kabisa
teh teh, hilo ndo linashusha ufanisi wa taifa hili!Watarudishwa kulingana na Mgawanyo wa mikoa Kangi hatoweza kupata kwa kuwa Mawaziri wa Mkoa wake hawajaguswa kabisa
Yeye mwenyewe hana maadili, atawapata wapi wenye maadili??*Mkuu wa kaya ana kazi kubwa maana viongozi waadilifu wameadimika.ni mtihan mkubwa,yote haya na choko zote zimeaneishwa na cdm
ni upuuzi kufikiria mtu kuwa waziri kwa sababu ya matukio. mfano, huyo lugola kuchangia tu bungeni tena siku moja imekuwa tiketi ya kuukwaa uwaziri? narudia kusema ni upuuzi kufikiria mtu kuwa waziri kwa sababu ya tukio tena kwa kuongea tu bungeni badala ya utendaji kazi wake wa siku zote. kwa staili hii hata kibajaji, sugu, lema, kiwia na nkamia nao wanaweza kuukwaa siku moja. upuuzi.
Mkuu wa kaya ana kazi kubwa maana viongozi waadilifu wameadimika.ni mtihan mkubwa,yote haya na choko zote zimeaneishwa na cdm
Watoke wote na asiingie hata mmoja. Wizara ziongozwe na makatibu wakuu. Maccm yote
mizigo.
Mchambuzi,
Zile sababu zilizomfanya Mh. Lowasa atoke madarakani hazitakuwa na mashiko tena? Na kama ni hivyo, kwanini basi asirudi kwenye nafasi aliyoondokea? Bado naamini ikija suala la utendaji atafanya vizuri zaidi ya Mh. Magufuli.
Nifahamuvyo mimi Waziri Mkuu lazima awe mbunge wa kuchaguliwa. Asha ni mbunge wa kuteuliwa, hivyo hawezi kuwa PM, unless mkuu JK anataka kuisigina katibaNadania Mama Migiro anaandaliwa kuwa Waziri wa mambo ya nje ama Waziri Mkuu
A judge and a prosecutor-the same personNadhani JK hawezi kufanya kosa la kurudisha Mawaziri Mizigo na wale walioondolewa. Nina maana kuwa, hawezi kurudisha watu kama Nchimbi, Kagasheki, Nahodha, Mathayo, Chiza, Kawambwa, Hawa Ghasia, Malima na Maghembe. Hao ni ukoma kwenye Baraza lake la Mawaziri. Pia, aepuke watu wenye shule zao lakini wezi kama Dr. Kafumu ambaye aliondoka kwenye Ukamishina baada ya kupiga dili la nguvu la Kabulo. Yeye akijua wazi nia ya Serikali kumiliki eneo hilo, akapiga dili la USD 7 mil kumilikisha watu binafsi eneo hilo. Pia, wapo watu kama Ole Sendeka, Mwigulu, Lugola wanatajwa kuwa wanafaa, lakini wote hao ni 000000000000000000. Kuhusu Dr. Migiro, taarifa zake kule UN ziko wazi kuwa alichemka. Ni vyema akaachwa kupumzika. Mfupa uliomshinda fisi .............. Kinachofanya Baraza letu kuvunjwa mara kwa mara ni JK kuteua watu kwa majaribio. Nichinjeni lakini hayo ni yangu ya moyoni. Nataka uteuzi wa JK safari hii uwe makini ili aokoe chama changu. Tumechoka kutukanwa kwa sababu ya wazembe wachache. JK Pleaseeeeeeeeeeeeeeeeeeee, usifanye makosa safari hii. Weka watu Mwakyembe/ Magufuli style.
Lowassa awe wazuri, popote huyu jamaa ataweza.