Kalulunga19
Member
- Sep 4, 2020
- 42
- 61
Mambo mazuri hayataki haraka....
Makatibu wetu ni Wakuu wanaoteuliwa na Rais aliye madarakani siyo Wakudumu (Permanent) ambao hubaki kwenye nafasi zao hata Serikali ikibadilika ikaja ya Chama kingine. Rais baada ya kuteua Mawaziri anateua Makatibu Wakuu na watendaji wengine mpaka Makatibu Tarafa ndo maana Rasimu ya Warioba ilipendekeza apunguziwe madaraka ili ateue wa karibu yake tu aweze kufuatilia utendaji kazi wao. Hii ingesaidia asilale na majalada ya Watendaji wake!Tena Mimi namshauri Rais Dk. Magufuli asiliteue hadi hata baada ya miaka Miwili hivi kwani Makatibu Wakuu wapo na Nchi itaenda vyema vile vile.
Uko sahihi kabisa wao wanakula mema ya nchi huku raia tunapambana na Hali zetu na hamna unafuu wowote tunaoupata kimaisha twasogeza tu siku za kuishiHayo ndo maoni sahihi ila ungeongezea ikiwa ni pamoja na Mwenyekiti wa Baraza ni mzigo tu kwa walipa kodi na maisha yanaweza kuendelea kama kawaida bila wao mpaka Uchafuzi mwingine. Ni karibu mwezi sasa wananchi hawajui kama Mwenyekiti mwenye jukumu la kuunda Baraza lake yupo Chamwino, Dar es Salaam au Chato. We don't miss them, we can do without them!
Mbona alishasema hatateua mawaziri mapema. Hivyo watz wanajua mkuu!Kuna jambo sio la kawaida linaendelea kwa sasa. Baraza la Mawaziri kwa serikali yeyote ndio timu ya nchi katika utawala na chombo muhimu sana katika maendeleo ya nchi.
Lakini jambo la ajabu ni kuwa baada ya uchaguzi Mkuu wa 2020 Rais JPM amechukua zaidi ya wiki tatu hajataja baraza lake na tofauti na zamani jambo hilo lilipokuwa la muhimu, sasa hivi hakuna hata mwenye kufuatilia au kushauri nani awe nani katika baraza.
Je, kukosekana msisimko huo ni ishara kuwa baraza chini ya JPM huwa ni muhuri tuu? Au ni upotevu wa pesa kwani hata wasipokuwepo hakuna tofauti?
Ndio maana homa za magonjwa yasioambukiza, hazimuishii.Selikali ipo MUFILISI HAZINA IMEKAUKA KABISA..
wamezidi kuongopa na takwimu zao za uongo za makusanyo ya kodi.
JIWE NI MUONGO HAIJAWAHI KUTOKEA.
Sasa hivi anasubiri ramli ya wale 100 wa Gamboshi.Mawaziri wapo kama kivuli anayeendesha ni mtu mmoja pekee
Wote anaowateua, pia huwateulia na madereva, bila hivyo ndio halali kabisa.Hii ingesaidia asilale na majalada ya Watendaji wake!
Kweli tupuSasa hivi anasubiri ramli ya wale 100 wa Gamboshi.
Nchi haiendeshwi kwa mhemko au upepo unaendaje, Bali sheria na katiba.Tena Mimi namshauri Rais Dk. Magufuli asiliteue hadi hata baada ya miaka Miwili hivi kwani Makatibu Wakuu wapo na Nchi itaenda vyema vile vile.
Ingia shambani ulime mvua zinanyesha.Ya serikali mwachie rais.Accounting Officers wa wizara ni Katibu Mkuu waziri n mwanasiasa. Muda wa siasa umekwisha sasa ni Kazi tuuu.Kuna jambo sio la kawaida linaendelea kwa sasa. Baraza la Mawaziri kwa Serikali yeyote ndio timu ya nchi katika utawala na chombo muhimu sana katika maendeleo ya nchi.
Lakini jambo la ajabu ni kuwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 Rais Magufuli amechukua zaidi ya wiki tatu hajataja baraza lake na tofauti na zamani jambo hilo lilipokuwa la muhimu, sasa hivi hakuna hata mwenye kufuatilia au kushauri nani awe nani katika baraza.
Je, kukosekana msisimko huo ni ishara kuwa baraza chini ya JPM huwa ni muhuri tuu? Au ni upotevu wa pesa kwani hata wasipokuwepo hakuna tofauti?
Watu wanajua Magufuli atakuwa Waziri wa Wizara zote, hao mawaziri watakuwa vikaragosi tu.Kuna jambo sio la kawaida linaendelea kwa sasa. Baraza la Mawaziri kwa Serikali yeyote ndio timu ya nchi katika utawala na chombo muhimu sana katika maendeleo ya nchi.
Lakini jambo la ajabu ni kuwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 Rais Magufuli amechukua zaidi ya wiki tatu hajataja baraza lake na tofauti na zamani jambo hilo lilipokuwa la muhimu, sasa hivi hakuna hata mwenye kufuatilia au kushauri nani awe nani katika baraza.
Je, kukosekana msisimko huo ni ishara kuwa baraza chini ya JPM huwa ni muhuri tuu? Au ni upotevu wa pesa kwani hata wasipokuwepo hakuna tofauti?
Kuna jambo sio la kawaida linaendelea kwa sasa. Baraza la Mawaziri kwa Serikali yeyote ndio timu ya nchi katika utawala na chombo muhimu sana katika maendeleo ya nchi.
Lakini jambo la ajabu ni kuwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 Rais Magufuli amechukua zaidi ya wiki tatu hajataja baraza lake na tofauti na zamani jambo hilo lilipokuwa la muhimu, sasa hivi hakuna hata mwenye kufuatilia au kushauri nani awe nani katika baraza.
Je, kukosekana msisimko huo ni ishara kuwa baraza chini ya JPM huwa ni muhuri tuu? Au ni upotevu wa pesa kwani hata wasipokuwepo hakuna tofauti?
nimependa comment hiiYote sawa, tuombe mvua zinyeshe tupate Mchele,mshindi na maharage....mengine Mungu anajua !
Hata Watanzania wakiongea au kulalamika nani atawasikiliza?Na hata wakisikilizwa nani ataamua kwa mapenzi yao?Ninavyosemaga hapa kuwa Watanzania ni magoigoi huwa sitanii.Nakuhakikishia hata kama Magufuli ataendesha hii nchi kwa mwaka mzima bila baraza la mawaziri wala hutasikia chochote kutoka kwa wananchi.Yaani wananchi kwao kila kitu ni sawa tu,kiwe kina manufaa kwa nchi,kiwe hakina manufaa kwa nchi au kiwe cha kuliangamiza Taifa kwao ni sawa tu.Ni magoigoi haswa!