Baraza la Mawaziri la Rais Mgufuli mbona Raia Wamelipotezea?

Kuna jambo sio la kawaida linaendelea kwa sasa. Baraza la Mawaziri kwa Serikali yeyote ndio timu ya nchi katika utawala na chombo muhimu sana katika maendeleo ya nchi.

Lakini jambo la ajabu ni kuwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 Rais Magufuli amechukua zaidi ya wiki tatu hajataja baraza lake na tofauti na zamani jambo hilo lilipokuwa la muhimu, sasa hivi hakuna hata mwenye kufuatilia au kushauri nani awe nani katika baraza.

Je, kukosekana msisimko huo ni ishara kuwa baraza chini ya JPM huwa ni muhuri tuu? Au ni upotevu wa pesa kwani hata wasipokuwepo hakuna tofauti?
Ulitaka wewe ndio uwe mshauri wake? Kila mtu ana kazi yake mwacheni JPM afanye kazi yake, baada ya miezi miwili ya kampeni nchi nzima bado unataka akurupuke, lazima ajiridhishe maana amepewa dhamana kubwa kuwaweka Mawaziri wenye uwezo wa kuwavusha Watanzania.
 
Kuna jambo sio la kawaida linaendelea kwa sasa. Baraza la Mawaziri kwa Serikali yeyote ndio timu ya nchi katika utawala na chombo muhimu sana katika maendeleo ya nchi.

Lakini jambo la ajabu ni kuwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 Rais Magufuli amechukua zaidi ya wiki tatu hajataja baraza lake na tofauti na zamani jambo hilo lilipokuwa la muhimu, sasa hivi hakuna hata mwenye kufuatilia au kushauri nani awe nani katika baraza.

Je, kukosekana msisimko huo ni ishara kuwa baraza chini ya JPM huwa ni muhuri tuu? Au ni upotevu wa pesa kwani hata wasipokuwepo hakuna tofauti?
Ss tunaendelea na maisha Hilo Baraza halitusaidii lolote.
 
Kuna jambo sio la kawaida linaendelea kwa sasa. Baraza la Mawaziri kwa Serikali yeyote ndio timu ya nchi katika utawala na chombo muhimu sana katika maendeleo ya nchi.

Lakini jambo la ajabu ni kuwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 Rais Magufuli amechukua zaidi ya wiki tatu hajataja baraza lake na tofauti na zamani jambo hilo lilipokuwa la muhimu, sasa hivi hakuna hata mwenye kufuatilia au kushauri nani awe nani katika baraza.

Je, kukosekana msisimko huo ni ishara kuwa baraza chini ya JPM huwa ni muhuri tuu? Au ni upotevu wa pesa kwani hata wasipokuwepo hakuna tofauti?
Tokea matokeo ya uchaguzi (uchafuzi) wa Oktoba 28, hakuna jambo lingine lenye msisimuko hapa nchini kwa sasa tofauti na mkutano (maamuzi) ya kamati ya bunge la EU yaliyofanyika juzi...
 
Nadhani ikipita tafiti ya nchi IPI imejaa mafala au inaongoza duniani lazima TZ ichukue uongozi kutokana na watu wa aina hii
Naomba ujiullize kwa umakini.....tangu uwe na akili timamu wewe zuzu.....baraza la mawaziri hapa Tanzania limekusaidia nini maishani mwako? Ulikuwa hufanyi kazi au kufanya mambo yako bila hilo baraza? Tumia akili dogo, usipende kujilazimisha ujinga.
 
Amesema wabunge ni wengi na anachukua miezi mitatu hadi Sita kupitia majina yao. Tarajia baraza mwezi wa Tatu 2021 na sio lote. Anaweza ibuka na mawaziri 6 baadae wanne, wawili nk. Hawezi kutangaza lote siku moja nimjuavyo Mtu yule. Ikumbukwe 2015 alichelewa Sana kutangaza pia baraza, Nani ana hamu ya kusubiri baraza lake?
Hivi bunge la February litafanyika vipi ikiwa mawaziri hawatakuwepo??
 
Kuna jambo sio la kawaida linaendelea kwa sasa. Baraza la Mawaziri kwa Serikali yeyote ndio timu ya nchi katika utawala na chombo muhimu sana katika maendeleo ya nchi.

Lakini jambo la ajabu ni kuwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 Rais Magufuli amechukua zaidi ya wiki tatu hajataja baraza lake na tofauti na zamani jambo hilo lilipokuwa la muhimu, sasa hivi hakuna hata mwenye kufuatilia au kushauri nani awe nani katika baraza.

Je, kukosekana msisimko huo ni ishara kuwa baraza chini ya JPM huwa ni muhuri tuu? Au ni upotevu wa pesa kwani hata wasipokuwepo hakuna tofauti?
Kazi ya cabinet ni kumshauri rais ila huyu hashauriki na anajiona ama akili kuliko watu wote, kumbe ni kinyume kabisa
 
Kuna jambo sio la kawaida linaendelea kwa sasa. Baraza la Mawaziri kwa Serikali yeyote ndio timu ya nchi katika utawala na chombo muhimu sana katika maendeleo ya nchi.

Lakini jambo la ajabu ni kuwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 Rais Magufuli amechukua zaidi ya wiki tatu hajataja baraza lake na tofauti na zamani jambo hilo lilipokuwa la muhimu, sasa hivi hakuna hata mwenye kufuatilia au kushauri nani awe nani katika baraza.

Je, kukosekana msisimko huo ni ishara kuwa baraza chini ya JPM huwa ni muhuri tuu? Au ni upotevu wa pesa kwani hata wasipokuwepo hakuna tofauti?
Hakuna haja ya mawaziri katika utawala wa Mkulu huyu. Hata huyo waziri mkuu anabahati naye angesubiri kuchaguliwa. Kabudi hakuwa na jinsi maana kama kuna wizara inamyima usingizi ni hiyo ya nchi za nje.

Hivi kwanini awe na mawaziri? Kwa mfano aliyekuwa waziri wa afya Ummy Mwalimu wakati wa sakata la Korona hivi alifanya nini? Si alikuwa anacheza ngoma kwa mtindo mkulu anavyopiga: Chukua takwimu - Anachukua; Kuanzia Leo achana na takwimu- anafuata; Hakuna barakoa-anafuata basi ilimradi.

Mimi namuunga mkono hakuna haja ya mawaziri - Ni upotevu wa pesa tu, bora hiyo pesa iende kwa wanafunzi aka BOOM.
 
Ninavyosemaga hapa kuwa Watanzania ni magoigoi huwa sitanii.Nakuhakikishia hata kama Magufuli ataendesha hii nchi kwa mwaka mzima bila baraza la mawaziri wala hutasikia chochote kutoka kwa wananchi.Yaani wananchi kwao kila kitu ni sawa tu,kiwe kina manufaa kwa nchi,kiwe hakina manufaa kwa nchi au kiwe cha kuliangamiza Taifa kwao ni sawa tu.Ni magoigoi haswa!
Mkuu, ugoigoi na kutokujali (state of apathy) ni vitu viwili tofauti.
 
We fala ebu jiulize 2015 #JPM alichukua muda gani kutangaza baraza lake la mawaziri?

Ukikosa hoja nenda haja kubwa na ndogo kisha kalale!
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom