Baraza la Mawaziri la Rais Mgufuli mbona Raia Wamelipotezea?

Ninavyosemaga hapa kuwa Watanzania ni magoigoi huwa sitanii.Nakuhakikishia hata kama Magufuli ataendesha hii nchi kwa mwaka mzima bila baraza la mawaziri wala hutasikia chochote kutoka kwa wananchi.Yaani wananchi kwao kila kitu ni sawa tu,kiwe kina manufaa kwa nchi,kiwe hakina manufaa kwa nchi au kiwe cha kuliangamiza Taifa kwao ni sawa tu.Ni magoigoi haswa!
Wewe ni wa taifa gani?
 
Msitari wako wa mwisho una maana sana. Hao ni kama ma-housegirl tu. Hawana maamuzi yoyote ndani ya nyumba
 
Ninavyosemaga hapa kuwa Watanzania ni magoigoi huwa sitanii.Nakuhakikishia hata kama Magufuli ataendesha hii nchi kwa mwaka mzima bila baraza la mawaziri wala hutasikia chochote kutoka kwa wananchi.Yaani wananchi kwao kila kitu ni sawa tu,kiwe kina manufaa kwa nchi,kiwe hakina manufaa kwa nchi au kiwe cha kuliangamiza Taifa kwao ni sawa tu.Ni magoigoi haswa!
Goigoi ni mtu mvivu! Nadhani ungesema ni Mazezeta.
 
Ninavyosemaga hapa kuwa Watanzania ni magoigoi huwa sitanii.Nakuhakikishia hata kama Magufuli ataendesha hii nchi kwa mwaka mzima bila baraza la mawaziri wala hutasikia chochote kutoka kwa wananchi.Yaani wananchi kwao kila kitu ni sawa tu,kiwe kina manufaa kwa nchi,kiwe hakina manufaa kwa nchi au kiwe cha kuliangamiza Taifa kwao ni sawa tu.Ni magoigoi haswa!
Itabidi uandamane kesho kuelekea ubalozi wa "ubeligiji"
 
Kuna jambo sio la kawaida linaendelea kwa sasa. Baraza la mawaziri kwa serikali yeyote ndio timu ya nchi katika utawala na chombo muhimu sana katika maendeleo ya nchi.
Lakini jambo la ajabu ni kuwa baada ya uchaguzi Mkuu wa 2020 ambao wengi wameuita uchafuzi Mkuu Rais JPM amechukua zaidi ya wiki tatu hajataja baraza lake na tofauti na zamani jambo hilo lilipokuwa la muhimu, sasa hivi hakuna hata mwenye kufuatilia au kushauri nani awe nani katika baraza.
Jee kukosekana msisimko huo ni ishara kuwa baraza chini ya JPM huwa ni muhuri tuu? Au ni upotevu wa pesa kwani hata wasipokuwepo hakuna tofauti?
Kama watu wamelipotezea wewe sio mtu unayelizungumzia? Au umeridhika na jina la nyumbu?
 
Itabidi uandamane kesho kuelekea ubalozi wa "ubeligiji"
Unajua kusoma?Kuna sehemu yoyote nimezungumzia maandamano katika comment yangu?Huu uzi unahusu maandamano?Unawezaje kuzungumzia kitu ambacho hakina uhusiano wowote na mada iliyopo mezani?!Nikikuita kuwa wewe ni goigoi usiejitambua nitakuwa nimekuonea?
 
Kuna jambo sio la kawaida linaendelea kwa sasa. Baraza la Mawaziri kwa serikali yeyote ndio timu ya nchi katika utawala na chombo muhimu sana katika maendeleo ya nchi.

Lakini jambo la ajabu ni kuwa baada ya uchaguzi Mkuu wa 2020 Rais JPM amechukua zaidi ya wiki tatu hajataja baraza lake na tofauti na zamani jambo hilo lilipokuwa la muhimu, sasa hivi hakuna hata mwenye kufuatilia au kushauri nani awe nani katika baraza.

Je, kukosekana msisimko huo ni ishara kuwa baraza chini ya JPM huwa ni muhuri tuu? Au ni upotevu wa pesa kwani hata wasipokuwepo hakuna tofauti?
Tena Mimi namshauri Rais Dk. Magufuli asiliteue hadi hata baada ya miaka Miwili hivi kwani Makatibu Wakuu wapo na Nchi itaenda vyema vile vile.
 
Ninavyosemaga hapa kuwa Watanzania ni magoigoi huwa sitanii.Nakuhakikishia hata kama Magufuli ataendesha hii nchi kwa mwaka mzima bila baraza la mawaziri wala hutasikia chochote kutoka kwa wananchi.Yaani wananchi kwao kila kitu ni sawa tu,kiwe kina manufaa kwa nchi,kiwe hakina manufaa kwa nchi au kiwe cha kuliangamiza Taifa kwao ni sawa tu.Ni magoigoi haswa!
waambie udaku sasa wa Diamond kalala na nani, watabishana mpaka kunakucha. Mambo yenye maslahi na mustakabali wao hawana habari nayo.
 
Ninavyosemaga hapa kuwa Watanzania ni magoigoi huwa sitanii.Nakuhakikishia hata kama Magufuli ataendesha hii nchi kwa mwaka mzima bila baraza la mawaziri wala hutasikia chochote kutoka kwa wananchi.Yaani wananchi kwao kila kitu ni sawa tu,kiwe kina manufaa kwa nchi,kiwe hakina manufaa kwa nchi au kiwe cha kuliangamiza Taifa kwao ni sawa tu.Ni magoigoi haswa!
Daah umenikumbusha yule mbunge wa Kilwa "Bwege" kwamba kuna wabunge wapo wapo tuu, wakiulizwa una njaa wsnajibu eeeeh, wakiulizwa wameshiba wanajibu vilevile eeeeh, kama mbumbumbu vile...
 
Subiri tubane kidogo matumizi...haka ka-sungura ka mwaka huu hakajanenepa sana...nasikia mabeberu yanagoma kutoa pumba ili kunenepesha haka kasungura.
 
Magufuli ni tabia yake,even last cabinet alichukua zaidi ya mwezi kukamilisha baraza la mawaziri. Ila uwaziri katika serikali ya Magufuli ni kazi tu hakuna mambo ya kujinufaisha.
Kama mtu anadhani uwaziri ni ulaji kakosea sana ni kinyume chake.Jengeni nchi.
 
Amesema wabunge ni wengi na anachukua miezi mitatu hadi Sita kupitia majina yao. Tarajia baraza mwezi wa Tatu 2021 na sio lote. Anaweza ibuka na mawaziri 6 baadae wanne, wawili nk. Hawezi kutangaza lote siku moja nimjuavyo Mtu yule. Ikumbukwe 2015 alichelewa Sana kutangaza pia baraza, Nani ana hamu ya kusubiri baraza lake?
Dikteta hana kanuni za utendaji.
 
Kuwe na Baraza la mawaziri au lisiwepo Mimi huwa sioni tofauti yoyote ile
Hayo ndo maoni sahihi ila ungeongezea ikiwa ni pamoja na Mwenyekiti wa Baraza ni mzigo tu kwa walipa kodi na maisha yanaweza kuendelea kama kawaida bila wao mpaka Uchafuzi mwingine. Ni karibu mwezi sasa wananchi hawajui kama Mwenyekiti mwenye jukumu la kuunda Baraza lake yupo Chamwino, Dar es Salaam au Chato. We don't miss them, we can do without them!
 
Back
Top Bottom